The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,108
- 115,842
Wadau Ile mechi ambayo iliepekwa saa moja usiku halafu Yanga wakagoma wakaondoka.
Taarifa yake ya fedha ikoje!?Zile hela zilienda wapi?Au ndo zimeliwa?
Kuna anaekumbuka labda maelezo yeyote?
Nazungumzia mechi ya Simba na Yanga ilioshindikana kuchezwa huku watu walishaingia uwanjani
Taarifa yake ya fedha ikoje!?Zile hela zilienda wapi?Au ndo zimeliwa?
Kuna anaekumbuka labda maelezo yeyote?
Nazungumzia mechi ya Simba na Yanga ilioshindikana kuchezwa huku watu walishaingia uwanjani