pesa

  1. Robert Heriel Mtibeli

    Wazazi acheni kulaumu wake zetu, Sisi hatuna Pesa za kuwapa wala hatujalogwa

    Assalamu alyekum! Sina maneno mengi leo si mnajua ni weekend. Nijikite kwenye mada. Wazazi nataka kuwaambia kuwa mnawaonea wake zetu(ambao mi wakamwana wenu) Kwa kuwatuhumu wametuloga, wametufumbata, wametuweka kiganjani Kama online business kisa tunashindwa kuwahudumia na kuwatumia pesa huko...
  2. YoyoTheDeveloper

    Pokea pesa kutoka Paypal kuja M-Pesa, Tigo Pesa na Airtel Money

    Habari zenu wakuu, Kutokana na Paypal kutoruhusiwa kupokea pesa Tanzania, nafikiria kuanzisha huduma itakayosajiliwa ambayo itawawezesha watanzania kupokea pesa kutoka paypal na kuingia kwenye mitandao ya simu ya Tanzania kama M-Pesa, Tigo Pesa na Airtel Money. Napokea maoni, ushauri na...
  3. I

    Serikali kila siku inapewa pesa kuboresha elimu. Kwanini haiajiri walimu?

    Leo hii Serikali imepewa euro mil 25 lakini walimu bado wako vilevile as if hakuna uhitaji. Ubelgiji imetoa euro mil 25 purposely kwa ajiri ya elimu. Ningetarajia Serikali iajiri walimu wawe wengi hata ikiajiri walimu laki moja kwa mkupuo hakuna shida.
  4. L

    Thamani ya pesa

    DEFLATION Hiki ni kipindi ambacho bei za bidhaa hushuka, na hufanya thamani ya pesa kuongezeka. Hapa ndio unajikuta ukienda sokoni na 10,000 unanunua mahitaji yote ya week na change inabaki. Chanzo cha kushuka kwa bei. 1.Economies of scale. Kampuni ikiweza kuzalisha bidhaa nyingi na...
  5. Sky Eclat

    Hasira ya kumfumania mume wake na rafiki yake wa karibu mke aamua kuchoma pesa

  6. sky soldier

    Watu hupenda kunikabidhi pesa zao niwatunzie, Naogopa siku nikizipoteza au zikiibiwa, Niwe natunzaje kwa usalama zaidi?

    Kuna baadhi ya watu wakipata hela za vibarua, faida, mishahara midogo midogo, n.k huwa wanakuja kuzitunza pesa zao kwangu. wengi huwa wanasema wao kama wao hawawezi ku manage pesa zao kwa sababu nyingi zikiwemo uraibu. Nimejaribu kuwaelimisha hata mambo ya benki na mpesa hizi lakini wanakomaa...
  7. koba lee

    Washindi wa Mchongo Pesa ni halali au uhuni unafanyika?

    Wakuu habari za majukumu, Nisiwachoshe nidumbukie kwenye mada. Najua wengi hamko tayari kukiri ila ni ukweli kua wengi huwa tunacheza hii michezo ya kubahatisha ukiwemo huu wa mchongo pesa. Sasa tatizo ni kua mbona wanashinda wengine? Mimi nina entries zaidi ya 120 lakini kushinda sishindi...
  8. Lycaon pictus

    Sites za picha kama Pinterest, stock, flickr zinapataje pesa?

    Eti wakuu, hizi sites za photo zinapata vipi pesa?
  9. LIKUD

    Unatuma Pesa ya nauli Kwa mwanamke, kumbe ni mke wa mtu, mara baada ya kutuma nauli mume wa mwanamke huyo anakutumia ujumbe huu na video hii

    Asante Sana kaka Kwa kumtumia mke wangu nauli. Na mimi nimekatamo ka Hela ka pombe .
  10. Sky Eclat

    Kuna umuhimu wa kuifundisha jamii elimu ya uchumi na pesa

    Kwa wanafunzi mashuleni kuwe na mtaala wa kufundisha somo hili. Zamani kuna mada katika somo la Sayansi Kimu au maarifa ya nyumbani lilizungumzia misingi ya uchumi na faida za kuweka akiba. Kwa wale wenye vyeti na hata stashahada za uchumi mnaweza kufundisha jumuia za kanisani I, msikitini au...
  11. Kipenzi Changu

    Pesa za kununua mechi zipo, za kulipa deni hazipo?

    SAKATA LA MTIBWA DHIDI YA YANGA 🔋 Wakati Yanga wanakubaliana uhamisho wa Kinda Abou Msheri kutoka Mtibwa, walitaka kulipa ada ya uhamisho kwa mikupuo miwili (installments) 🔋Mtibwa walisema wazi kuwa wao wanachotaka ni pesa yote kamili kwakuwa hawana haraka nayo, Mtibwa ikaomba ipewe tarehe...
  12. Kichwamoto

    Usiogope tambua heshima Pesa ionekane kwenye wallet yako: Fuatilia mkasa wote

    Habari JF family! Gawiza? Story hii inamixer zote uwe mvumilivu. Way back mwaka 2012-2013, hii miaka sikuwa na gari kabisa ila already nilikuwa na viwanja si haba kimara bonyokwa 40x50, Mapinga bagamoyo eka moja na nusu eka, Mpiji magoe sio mbali na Dr. Mvungi R.I.P mwamba, eka moja, CCM chama...
  13. B

    Kampuni ya PIGA BET ni wezi wakubwa mmeamua kuniibia pesa yangu

    habari wakuu, kampuni tajwa hapo juu ni kampuni ya kubett ijulikanayo kama piga bet ambayo inajihusisha na michezo ya kubahatisha, jana jioni nikapata pesa yangu sehemu ,nikasema ngoja niizalishe basi nikaweka kwenye acc,nikabett live matches match zikaisha zimetoa kasoro moja tu. nikasubiri...
  14. Samia atosha tukutane2030

    Huyo unayemwita fundi wako ndiye mtu anayekupiga sana huku ukimchekea

    Habari! Kuna mafundi aina nyingi, na kwakuwa binadamu tumejaa woga basi tunamchagua mtu mmoja ndiye fundi wako katika sekta fulani. Ukweli ni kwamba huyo ndiye mtu anayekupiga sana huku ukimchekea. Mifano ni mingi njtakuja kuwaletea. Usimwamini fundi!
  15. TEAM 666

    Naweza kukopa pesa benki dhamana ikiwa pesa zilizokuwepo kwenye account yangu?

    Habari wakuu naweza kupata mkopo bank dhamana ikiwa pesa zilizokuwepo kwenye account yangu? Mfano, kwenye account Nina million 40 nataka kununua Guta nifanyie biashara hivyo sitaki kushusha salio la balance yangu iliyokuwepo kwenye account hivyo Sasa nataka kukopa milion 4. Je inawezekana?
  16. L

    Marekani inadaiwa kuchukua pesa za Waafghanistan ikitetea haki duniani

    Rais Joe Biden wa Marekani hivi majuzi alitia saini amri ya rais kuhusu fedha ya Benki Kuu ya Afghanistan iliyozuiliwa nchini Marekani, na kutangaza kuwa fedha hizo, dola bilioni 7 za Kimarekani zitagawanywa katika sehemu mbili: nusu itatumika kuwalipa fidia wahasiriwa wa tukio la Septemba 11...
  17. Sky Eclat

    Alijikuta ameshiriki tendo na familia nzima

    Binti mrembo aliyebahatika kuolewa na kijana mhangaikaji sana. Yule kijana alifikia kufungua mini supermarket. Aliagizs tambua na makopo ya nyanya kutoka Italy, sabuni, na vyombo vya ndani kutoka Uturuki na bidhaa nyingi kutoka chini. Yote haya yalimfanya kijana kuwa busy mno, muda wake wa...
  18. John Haramba

    Iringa: Wakala wa malipo anaswa akidaiwa kuiba TSh Bilioni 2.1, Polisi wafanikiwa kuokoa TSh Milioni 956

    Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Allan L. Bukumbi ametoa ripoti ya matukio kadhaa ikiwemo lililohusisha wizi wa zaidi ya Shilingi Bilioni mbili mkoani humo. Jeshi la Polisi mkoani Iringa linafanya Uchunguzi/Upelelezi dhidi ya watuhumiwa wa wizi wa fedha za kitanzania kiasi cha TSh...
  19. sky soldier

    Hali za kawaida kiuchumi kwa waganga wengi ni kwasababu wao ni madalali wa majini na wanaotaka fedha, hawataki balaa za pesa za majini

    FAHAMU MGANGA ANAKUPA UTAJIRI YEYE ANABAKI MASIKINI Sababu kubwa kuliko zote mganga anajua madhara ya pesa za masharti, kwahiyo hawezi kuhatarisha maisha yake na familia yake. Ukienda kwa mganga unataka utajiri atachofanya mganga anakuwa kama dalali wa kukuitia majini watakaokupa huo utajiri...
  20. Countrywide

    Sitamchangia pesa Mwanasiasa yoyote

    Moja ya vitu ambavyo hushangaza kwa sisi watu ambao tupo kwenye ulimwengu wa 3 ni namna tunavyofanya maamuzi. Ukweli usiopingika ni kuwa tunahitaji wanasiasa watuongoze na ndio mfumo upo hivyo na wala sio jambo baya. Siasa katika nchi zetu ni biashara kubwa pengine kuliko zilivyo biashara...
Back
Top Bottom