themagnificient
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 988
- 3,318
Yaani kwa sasa wameshakopa sasa wamefikia kikomo wanatafuta mahali pa kukamua kuendana na hayo madeni, ni mwendo wa kubuni kodi za vichwa sasa maana huwezi kata kodi akiba ya mtu ambayo hajaifanyia kazi or kuuza kitu hiyo sio kodi badi ni unyang'anyi.
Umemuingizia mshahara mtu umemkata kodi, kisha anaenda kuitoa pesa yake unadai unamkata kodi nyingine pesa ambayo hajauza kitu wala kuifanyia biashara ni yake ila umemkata kodi, na akiipeleka kwenye Biashara unataka kodi nyingine tena sasa kwa mwendo huu kuna mtu anatataka kulipa kodi TRA wakati kashakamuliwa kwenye miamala huko.
Lameck ajitafakari kumshauri mama njia nzuri za kukusanya mapato hivi wanazidi kuharibu mbona awamu zote zilizopita haya mambo ya unyonyaji hayakuwepo na nnchi ilienda?
Mnawakaba wananchi alafu mmeacha uchochoro wa bidhaa za Kichina zinaingia nchini kama utitiri nyingi hata hao TBS na TRA hawazijui ila zimejaa nchini kila kona zinauzwa, yaani wachina na makampuni ya wahindi kama wangebanwa ipasavyo hizi kodi za ajabu ajabu zisingekuwepo.
Laiti tungezingatia rasilimali zetu kuanzia madini na mambo mengine tungeuza nnje kwa wingi tusingekuwa tunasumbuana hivi, ogopa sana kununua bidhaa nnje alafu wewe hauuzi ni hatari mwisho wa siku utabaki na idea ya kukamua wananchi.
Umemuingizia mshahara mtu umemkata kodi, kisha anaenda kuitoa pesa yake unadai unamkata kodi nyingine pesa ambayo hajauza kitu wala kuifanyia biashara ni yake ila umemkata kodi, na akiipeleka kwenye Biashara unataka kodi nyingine tena sasa kwa mwendo huu kuna mtu anatataka kulipa kodi TRA wakati kashakamuliwa kwenye miamala huko.
Lameck ajitafakari kumshauri mama njia nzuri za kukusanya mapato hivi wanazidi kuharibu mbona awamu zote zilizopita haya mambo ya unyonyaji hayakuwepo na nnchi ilienda?
Mnawakaba wananchi alafu mmeacha uchochoro wa bidhaa za Kichina zinaingia nchini kama utitiri nyingi hata hao TBS na TRA hawazijui ila zimejaa nchini kila kona zinauzwa, yaani wachina na makampuni ya wahindi kama wangebanwa ipasavyo hizi kodi za ajabu ajabu zisingekuwepo.
Laiti tungezingatia rasilimali zetu kuanzia madini na mambo mengine tungeuza nnje kwa wingi tusingekuwa tunasumbuana hivi, ogopa sana kununua bidhaa nnje alafu wewe hauuzi ni hatari mwisho wa siku utabaki na idea ya kukamua wananchi.