Paula anaweza kuwa msichana mwenye mafanikio mpaka dunia ikashangaa

sinza pazuri

JF-Expert Member
Aug 16, 2014
2,522
7,370
210294339_158455072909263_1518354224971412796_n.jpg


Nimeona mitandao ikimbeza sana Supastaa wetu mpya wa kike Tanzania mtoto wa Kajala aitwae Paula.

Wengi wanamchukulia Paula kama mtoto wa kike aliyeshindikana na amepoteza uelekeo wa maisha.

Wengine sababu ya elimu sababu hakufanya vizuri darasani. Na kuna wanafki wanasema kaanza mapenzi akiwa mdogo.

Mimi nataka niwaambie endapo Paula akisimamiwa vizuri na akaitumia mitandao kama sehemu ya kupiga hela basi atakuwa na pesa nyingi mpaka watu washangae.

Anachohitaji sasa hivi ni kupata management nzuri na branding nzuri.

Habari za Paula zinafatiliwa kuliko sociolite yoyote wa kike kwa hapa bongo sasa hivi. Huu ni mtaji mkubwa sana kwake kuliko hivyo veti mnavyoona ndio dili. Kazi ni kwake kubadili kelele za mitandao kuwa pesa atajenga ataendesha gari analotaka na anaweza kuwa na biashara kubwa tu akiwa na umri mdogo.

Watu wa showbiz nafikiri watanielewa zaidi.
 
Hakuna kitu kama hicho, ukipanda kwa mwili utavuna uharibifu,
Upo gizani sana, pengine hujui hata socialite wanatengenezaje pesa.
Paula tayri ni brand anachotakiwa ni kuset trend then pesa itamfata kama mfereji wa maji.

Bongo hakuna uhaba wa pesa bongo kuna uhaba wa watengeneza pesa. Watu wana opt kusoma sana sababu ndio only way waliokalilishwa watatoboa.
 
Upo gizani sana, pengine hujui hata socialite wanatengenezaje pesa.
Paula tayri ni brand anachotakiwa ni kuset trend then pesa itamfata kama mfereji wa maji.

Bongo hakuna uhaba wa pesa bongo kuna uhaba wa watengeneza pesa. Watu wana opt kusoma sana sababu ndio only way waliokalilishwa watatoboa.
Mfano mzuri mzee mpili now anapiga pesa haswa kusoma haimaanishi ndio kufanikiwa kimaisha mdau umetoa ushauri mzuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom