Paula kaenda kusomea kitu gani huko Uturuki?

kyagata

JF-Expert Member
Oct 18, 2016
6,801
13,028
Katika pita pita zangu huko Insta, nimeona Paula Kajala yuko uturuki kimasomo.

Hivi huyu form 4 si alifeligi au kaenda kusomea mambo gani huko uturuki?
 
Unaposema form four alifeli unamaanisha hakupata cheti kabisa?
Halafu pia ngoja nikukumbushe kitu.
Vyuo vya nje vingine wanadahili bila ku regard makaratasi yetu ya form 4 au 6.
Anaweza akawa bora katika fani atakayoisomea huko kuliko yule atakayesomea UDSM mwenye division one ya bongo.
 
Unaposema form four alifeli unamaanisha hakupata cheti kabisa?
Halafu pia ngoja nikukumbushe kitu.
Vyuo vya nje vingine wanadahili bila ku regard makaratasi yetu ya form 4 au 6.
Anaweza akawa bora katika fani atakayoisomea huko kuliko yule atakayesomea UDSM mwenye division one ya bongo.
Kwa hiyo tutegemee Paula nae akirudi atakua kaiva kwenye hiyo fani aliyokwenda kusomea?
 
Katika pita pita zangu huko insta,nimeona Paula Kajala yuko uturuki kimasomo.
Hivi huyu form 4 si alifeligi au kaenda kusomea mambo gani huko uturuki?

na muonea huruma reyvanny
IMG_1390.jpg
 
Back
Top Bottom