In computer technology and telecommunications, online indicates a state of connectivity, and offline indicates a disconnected state. In modern terminology this usually refers to an Internet connection, but (especially when expressed "on line" or "on the line") could refer to any piece of equipment or functional unit that is connected to a larger system. Being online means that the equipment or subsystem is connected, or that it is ready for use."Online" has come to describe activities performed on and data available on the Internet, for example: "online identity", "online predator", "online gambling", "online shopping", "online banking", and "online learning". Similar meaning is also given by the prefixes "cyber" and "e", as in the words "cyberspace", "cybercrime", "email", and "ecommerce". In contrast, "offline" can refer to either computing activities performed while disconnected from the Internet, or alternatives to Internet activities (such as shopping in brick-and-mortar stores). The term "offline" is sometimes used interchangeably with the acronym "IRL", meaning "in real life".
Wasalaam
Leo ni siku muhimu watu wanataka kutoa fedha waka-enjoy na familia zao.
Jambo la kusikitisha hampatikani online kwenye kutoa hela kwa mawakala na ATM
Binafsi nilikuwa nawaamini sana sasa nimeanza kuwa na mashaka.
Mnapotea hewani siku ya muhimu kama hii
What a pity?
Miaka ya nyuma kidogo baada ya Wasafi TV na FM kuingia mjini, basi Dizzim online nayo ikafata na kuingia mjini na mbwembwe nyingi wakifanya interviews bab kubwa na mambo kadha wa kadha. Maendeleo yalizindi kukua na kupelekea kufungua kituo cha TV na Radio na kuoneshwa kwenye Ving'amuzi...
Kwa heshima na taadhima ninamuomba Waziri wa Tamisemi asitishe mafunzo haya kwani katana tija na ni upotevu mkubwa wa fedha Za umma.
1. Mafunzo Haya watumishi wanasafiri kipindi cha sikujua Za mwisho wa mwaka
2. Mafunzo Haya tafanyikie kwenye kila mkoa au kila Wilaya
3. Fedha Za mafunzo Haya...
Habari zenu jamani,
Nilikua nina apply cheti cha kuzaliwa online nikaambatanisha kitambulisho cha baba na leaving certificate wakadai ni-update kitambulisho cha mama na cheti cha la saba ila sasa nikitaka kuremove ili ni update walivyodai vile vya mwanzo vinagoma kuremove nifanyeje jamani msaada.
Wanajamvi habari za leo, nataka kufanya Masters in Computer security online, nimepata collage moja ipo spain inaitwa tech technological university, wapo nchini spain na wamekuwa wakinipigia simu mara kwa mara ili nijiunge nao.
Sasa kabla sijafikia maamuzi naomba ushauri kwenye hili jambo kama...
Jinsi ya Kujenga Blogu Inayofanikiwa na Kupata Pesa Mtandaoni 💨
Chagua mada unayopenda na inayoweza kuwa na hadhira inayoweza. Fanya utafiti kuhusu mada na mwenendo wa sasa ili kupata niche unayoweza kuandika.
Unda blogu kwa kutumia jukwaa kama WordPress au Blogger. Chagua jina la kikoa...
Habari za majukumu kila mmoja,
Niko nchini Israel kwa sasa ila Huwa nikipata pesa huku (shekhel) Huwa nakutumia kwa kadi yangu ya visa ya crdb ambayo ninayo huku.
Tatizo ni kuwa Sina uwezo wa kujua kama pesa yangu ipo kwa account yangu kama nilivyotuma.
Ndipo wazo la online banking likanijia...
NItakupa sababu mbili muhimu kwanini usitumie kadi yako ya TIGO mastercard kununua vitu online.
1. Hii kadi wameunganisha mojamoja na akaunti ya Tigopesa, hamna control ambayo mteja unakua nayo kudhibiti kiwango cha juu ya muamala pale ambapo akaunti yako inakiasi cha kutosha kufanya muamala...
Kuna wakati niliwahi kuja na uzi hapa nikimlalamikia Waziri wa Fedha kutwa na usiku anasaini mikataba ya kuomba mikopo ilihali kwenye data base yake ya kuhusu watu wanao omba leseni za biashara mbalimbali wamewasilisha Maombi ili waweze kukata leseni na kufanya biashara.
Binafsi nilikuwa mhanga...
Je, ni kweli unaweza kufanya kazi na kupata pesa kupitia mtandao?
Ndiyo, inawezekana kufanya kazi na kupata pesa kupitia mtandao.
Je, ni kazi gani mtu anazoweza kufanya kupitia mtandao?
Ni kazi nyingi karibu kila kazi inayoweza kufanywa ukiwa mbali (remotely) inaweza kufanyika mtandaoni na...
Kuna mtu mpaka sasa haamini kua watu wanapata pesa kupitia hizi kampuni za kubet, michezo sana sana slots na mingine kama Aviator na Zeppelin ya Sokabet.
Naomba niongelee kidogo na kwa ufupi bonasi inaitwa free spins katika slots na unavyoweza kuzipata.
Kwanza kabisa ijulikane ni ubashiri na...
Serikali kupitia BoT, wamekuja na utaratibu mpya unaoelekeza mikopo ya Watumishi kutolewa online ambapo Mtumishi ataomba mkopo mtandaoni kuputia Watumishi Portal.
Hongereni sana kwa utaratibu huu unaondoa kero ya wafanyakazi kukaa foleni benki kusubiri kuonana na Afisa Mikopo wa Benki na...
Nakuja mbele yenu maomba msaada wa:,
1/ Sites bora za kuagiza bidhaa haswa nguo online.
2/Mtaji
3/Muda wa bidhaa kukufikia haswa toka China
4/Agents wa uhakika wa kusafirisha bidhaa
5/Tips za kuwa makini.
Bila mbeleko wala maelekezo toka juu,
Yashika nafasi ya pili Afrika Kwa kufuatiliwa katika mtandao wa Instagram kwa mwezi September
Na Kwa wasijua namba hizi zinareflect kile ambacho Yanga anaenda kufanya kimataifa
Kwa kimataifa namanisha Klabu Bingwa na Klabu Bingwa Dunia
Mafanikio bila...
Wakubwaa eh
Msaada tutani hiyo imekaa vipi nilimtumia mtu message ya wasap jana lkn ameisoma leo lkn bado mpokea ujumbe last seen anaonekana muda wa jana
Ukiangalia ukurasa rasimi wa X wa CAF Champions League tangu kuingia kwa makundi utajionea kitu Cha kushangaza na kufurahisha pia
Tangu admin wa ukurasa ule alipoanza kutoa kadi za pongezi Kwa miamba iliyoingia CL ni kadi mbili tu ambazo zimepata engagements kubwa sana
Na hapa namanisha...
Ukifuatilia ukurasa wa CAF kule mtandao wa X Kwa siku ya Jana tu timu ya Yanga ndo ilioongoza kwa engagements.
Ukiangalia kadi zote zilizopostiwa za kuvipongeza vilabu vilivyofuzu kuingia makundi ya CAF CL hakuna iliyoongoza kama uya Wananchi
Hivyo mkiambiwa kuwa siye ni watatu kwa Afrika...
Waziri wa Mawasiliano, Nape Nnauye akiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiweka Jiwe la Msingi Hospitali ya Mkoa ya Rufaa, Lindi amejisifu kuwa na digital divide kubwa mbali na kuwa yeye ndiye Waziri wa mawasiliano, tukiamini anafanya kazi kuhakikisha watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.