Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 3,611
- 8,739
kuna msemo unaotumiwa na ccm ukiwafanya watu wawe maskini watasikia njaa na hiyo njaa itapunguza kufikiri na kuwaza.
Yani hizi tv online za bongo hakuna ubunifu ili mradi tu wakusisitizia ulike na follow tv yao.wakati wengine ukiingia hayo mambo uwezi kukuta ila kilicho andaliwa kitakufanya umfatilie.
Mpaka sasa tv online ni udaku yani habari moja kila mtu ndio anafatilia ni kero utazani wapo stendi.
Yani hizi tv online za bongo hakuna ubunifu ili mradi tu wakusisitizia ulike na follow tv yao.wakati wengine ukiingia hayo mambo uwezi kukuta ila kilicho andaliwa kitakufanya umfatilie.
Mpaka sasa tv online ni udaku yani habari moja kila mtu ndio anafatilia ni kero utazani wapo stendi.