Naombeni ushauri nataka kujifunza Data analytics Online

MrsPablo1

JF-Expert Member
Jun 9, 2013
792
1,309
Mimi ni mwanamke nipo below 35yrs ,nilikuwa natafuta skills mpya ya kujifunza ndiyo nikajipata kwenye hiyo data analytics, mimi chuo nimesoma procurement&supplies management je nitaweza kutoboa kwenye hiyo course ya data analytics au ni course ya watu wale vipanga wa PCB?

Please ushauri wenu ni muhimu sana ili niweze kufanya maamuzi kabla deadline ya ku apply na kufanya malipo ni 27/feb. Asanteni.

Kama kuna member wameshafanya hizi programs za Alx africa naombeni uzoefu wenu je nitatoboa?

Muda ninao,pc ninayo mchawi ni bando tuu ila nitajitahidi kama inawezekana.

F768F7D1-C3D1-4B23-8E4C-51859079211E.jpeg
 
Mimi ni mwanamke nipo below 35yrs ,nilikuwa natafuta skills mpya ya kujifunza ndiyo nikajipata kwenye hiyo data analytics, mimi chuo nimesoma procurement&supplies management je nitaweza kutoboa kwenye hiyo course ya data analytics au ni course ya watu wale vipanga wa PCB? .please ushauri wenu ni muhimu sana ili niweze kufanya maamuzi kabla deadline ya ku apply na kufanya malipo ni 27/feb. Asanteni .
kama kuna member wameshafanya hizi programs za Alx africa naombeni uzoefu wenu je nitatoboa? muda ninao,pc ninayo mchawi ni bando tuu ila nitajitahidi kama inawezekana.View attachment 2905961
Hapo nadhani sio chuo umesoma nini? Kusoma nini chuo itategemea na kama requirements zao zinatakabkoz flan ya chuo. Vinginevyo inatakiwa ujue pre-requirements za hio koz, yaan unatakiwa uwe na misingi ya vitu gani kichwani?

Dada analytics zimegawika sana. Kuna watu husoma statistics ya art, hio unatakiwa kuwa msingi wa hisabati uliokomaa kidogo. Japo ukomavu wa msingi utategemea na kozi yenyewe wanafundisha nini. Mfano kuna takwimu utatakiwa ujue ku integrate na ku differentiate huu ni mfano tu ndio tunarudi kusema unatakiwa kujua sai wanataka uwe na vigezo gani kama foundation.

Kuna takwimu ya sayansi hii imepinda kidogo. Hisabati iwe vizuri kichwani+computer skills kwa ajili ya practice.

Zamani analytics zilikua zinafanyika manually ndio maana walitaka sana mtu mwenye uelewa wa hisabati, ila sasa ivi software ndio habari ya mjini. Kibongobongo bado vyuoni watu wanakomaa na ma theory sana kufundisha hizi koz wakati software zinaweza kufanya kila kitu (japo kuna maana kubwa sana pia kuijua theory kindakindaki).

Ushauri kabisa, nenda ukasome mahitaji yao, wanataka uwe na skills zipi ili uweze ku join kisha linganisha na skills zako ndio utajua
 
Mimi ni mwanamke nipo below 35yrs ,nilikuwa natafuta skills mpya ya kujifunza ndiyo nikajipata kwenye hiyo data analytics, mimi chuo nimesoma procurement&supplies management je nitaweza kutoboa kwenye hiyo course ya data analytics au ni course ya watu wale vipanga wa PCB? .please ushauri wenu ni muhimu sana ili niweze kufanya maamuzi kabla deadline ya ku apply na kufanya malipo ni 27/feb. Asanteni .
kama kuna member wameshafanya hizi programs za Alx africa naombeni uzoefu wenu je nitatoboa? muda ninao,pc ninayo mchawi ni bando tuu ila nitajitahidi kama inawezekana.View attachment 2905961
Unatoboa tu mkuu.
Kama hata sisi watu wa hkl tumeweza jifunza models za AI za python na models za kuchambua data kwanini ushindwe.
 
Hapo nadhani sio chuo umesoma nini? Kusoma nini chuo itategemea na kama requirements zao zinatakabkoz flan ya chuo. Vinginevyo inatakiwa ujue pre-requirements za hio koz, yaan unatakiwa uwe na misingi ya vitu gani kichwani?

Dada analytics zimegawika sana. Kuna watu husoma statistics ya art, hio unatakiwa kuwa msingi wa hisabati uliokomaa kidogo. Japo ukomavu wa msingi utategemea na kozi yenyewe wanafundisha nini. Mfano kuna takwimu utatakiwa ujue ku integrate na ku differentiate huu ni mfano tu ndio tunarudi kusema unatakiwa kujua sai wanataka uwe na vigezo gani kama foundation.

Kuna takwimu ya sayansi hii imepinda kidogo. Hisabati iwe vizuri kichwani+computer skills kwa ajili ya practice.

Zamani analytics zilikua zinafanyika manually ndio maana walitaka sana mtu mwenye uelewa wa hisabati, ila sasa ivi software ndio habari ya mjini. Kibongobongo bado vyuoni watu wanakomaa na ma theory sana kufundisha hizi koz wakati software zinaweza kufanya kila kitu (japo kuna maana kubwa sana pia kuijua theory kindakindaki).

Ushauri kabisa, nenda ukasome mahitaji yao, wanataka uwe na skills zipi ili uweze ku join kisha linganisha na skills zako ndio utajua
hawana vigezo vigumu wanachotaka uwe unajua english,uwe na laptop na strong internet connection
1F631DF8-8014-44D4-8841-60B501857D24.jpeg
83E7D1BB-6112-4E23-ACC8-5DF9DE8A8F6B.jpeg
02A3A06D-56A4-4CB4-A789-7DC03892A548.jpeg
 
Kitu kigumu kwako kitakuwa kwenye Data Query na skills za excel kwa sababu nimeona wanafundisha na Power BI...
excel yenyewe niliofundishwa chuo nimesahau,kwa hiyo hapo naweza kutoboa kweli maana nitakuwa mwenyewe sina mtu wa kunifundisha pembeni endapo nitakwama kama inavyokuwaga chuo
 
Back
Top Bottom