Wakuu,
Tupo kwenye hatua za mwisho kuja na JF yenye mwonekano mpya ambayo inaendana na mabadiliko ya teknolojia. Kwa wanaohitaji kuwa sehemu ya majaribio, mnakaribishwa...
Katika mabadiliko haya, huenda ukakutana na kitu kikakufurahisha, kikakuchanganya, kikakufanya uone kuna haja ya kuongeza...
Watanzania wengi tunamatatizo ya Ushamba hasa katika ujenzi wa nyumba, kiukweli sisi ambao tumekulia sana nchi za nje tunaona mambo ni tofauti sana.
Katika ujenzi wa nyumba hapa nchini, nyumba nyingi ni nzuri sana kwa nje na zimejengwa kwa gharama kubwa nje kuliko ndani, utadhani huko nje ya...
Habari wadau.
Wanaume wengi wa kikristo wanalalamika tabia za wake zao huwa wanabadilika baada tu ya kufunga ndoa kanisani ama uzeeni kwa kiburi cha ndoa haivunjiki na pia migogoro ya mali ni mingi sana.
Sheria ya ndoa ya Tanzania inatambua ndoa 3.
Ambazo ni ndoa za kidini, ambazo ni ndoa ya...
Eti hivi kuna tofauti ipi kati ya vilainishi hivi, Ky Jelly na Kly jelly. Sina uzoefu navyo msaada jamani na ipi nzuri maana hata majina hayafanani, moja ni ky, nyingine kly
Natafuta gari tajwa hapo juu mwenye nayo isiwe ya udalali. Nahitaji gari safi ilionyooka bila vipengele offer yangu 9M.
Nicheki DM fasta angalizo gari iwe number D yeyote ile ila gari iwe imetunzwa vizuri.
Kama gari yako imepasuka vitasa au dashboard na body iliobondeka bondeka kausha. Hii ni...
Nataka kununua fridge ya mlango mmoja kwa ajili ya matumizi ya nyumbani.Nimeona fridge za kampuni zifuatazo;
1.Mr Uk
2.Boss na
3.Hisense.
Hisense compressor yake iko nje na haina bulb kwa ndani.
Mwenye ufahamu na hizi fridge naomba ushauri nichukue ipi?
Aliyekuwa mbunge wa Iringa mjini kupitia CHADEMA Mchungaji Peter Msigwa amempongeza Rais Samia Suluhu Hassani kwa kazi uzuri na ubunifu wa Filamu maarufu ya kitalii ya THE ROYAL TOUR.
Kiongozi huyo wa CHADEMA wa nyanda za juu kusini amesema kuwa inawezekana labda kuna mapungufu madogomadogo...
Na Waganga wenye Akili huwa hawachezi na bahati ya Siku bali hucheza sana na bahati ya tarehe na bahati nzuri tarehe 30 huwa inaipendelea Timu isiyo Mwenyeji Kuiumiza Timu inayoiamini na kuipenda Siku ya Jumamosi.
Wakuu, nimetoka. Kuangalia movie za nchi tajwa hapo juu za kihistoria ambazo zina akisi yaliyotokea. Into fiction movie , movie hizo ni:
1. SACRIFICE.
2. The BRIGDE AT toko -Ri
3. The steel helmet
4. My way
Zote hizo hapo juu zina potray. Historical true war periods that happened...
===
Anaandika Vicent Kasala Twiter
HALI YA USALAMA TEMEKE NI MBAYA! DC Jokate Mwegelo,
Salam,
Nakuandikia kwa dhamana yako kama Mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama wa Wilaya ya Temeke. Awali ya yote pole kwa majukumu ya kuwatumikia wananchi.
Mimi ni mwanachi wako katika Wilaya ya Temeke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.