The Nyumbani Children's Home was founded by Father Angelo D'Agostino and Sister Mary Owens in 1992 to serve mostly abandoned children created by the AIDS pandemic. Since then, three more programs (Nyumbani Village, Lea Toto and Nyumbani Diagnostic Laboratory) have been added to the organization.
Baada ya Jana kijana kutoka Tanga Yusuphu Shemahonga Poulsen kuwazuia Bayern kutangaza ubingwa ikiwa imesalia sec 1 Leo Bayer Leverkusen wameamua kutupa taulo na kuwaruhusu Bayern kubeba ndoo na kumpa Harry Kane medal ya kwanza ya ubingwa wa kombe kubwa
Sio tu harry atakaefurahia ubingwa huu...
Tofauti na waislam ambao wanaruhusiwa kujenga misikiti yao binafsi na kuikabidhi kwenye uongozi,hali iko tofauti kwa kanisa katoliki
Huwezi kujijengea kanisa na kulikabidhi kwa jimbo bila kufuata taratibu rasmi walizojiwekea kama kanisa
Ukifika Chato pembeni ya nyumba ya Hayati Magufuli...
Hii mahususi kwa watu wangu hasa kizazi Cha miaka ya 70, mpaka 80 hivi enzi hizo nchi Tanzania mikoa mingi bado mapori, watu wakimaliza darasa la saba kama wapo wanafunzi 200 wanachaguliwa kwenda kidato Cha kwanza ni watu wawili au mmoja mnaobakia kama mzazi uwezo hana wakukupeleka shule...
Madereva wa malori - Safari ya kupeleka mzigo inaweza kuwa wiki 3 unarudi nyumbani siku 4 unaamsha upya,
Ulinzi - unaweza kuwa na geto na kitanda lakini siku 6 unalalia mabox kazini, kulalia kitanda ni siku moja ukiwa off
Bodaboda - kutoka asubuhi kurudi usiku, unafika kwako upo hoi chalii...
Pamoja na mambo mengine kinachoikwamisha Azam ni kukosa mashabiki.
Stella wakiwa ugenini ni wakali kuliko kwao
Kule kwao hawana mashabiki kabisa kama Azam
Simba itakuwa kama iko kwa Mkapa tu.
Mchawi wetu atakuwa VAR,tusiruhusu goli hata la offside,wala kugongana na hao wazulu koko kAribu na...
mjusi kafiri (anayejulikana pia kama mjusi wa nyumbani au house gecko – Hemidactylus frenatus) ana mchango muhimu sana katika mazingira ya ndani ya nyumba, ingawa wengi humchukulia kama kero. Hii hapa kazi yake kitaalamu:
1. Mdhibiti wa wadudu (Biological Pest Control)
Mjusi hula mbu, nzi...
Katika jamii yoyote yenye maadili mema, jukumu la kuwahudumia na kuwatunza watu wa nyumbani ni la msingi sana. Biblia katika 1 Timotheo 5:8 inasema: “Kama mtu hawatunzi wale wa jamaa yake, hasa wale wa nyumbani mwake mwenyewe, ameikana imani, tena ni mbaya kuliko yeye asiyeamini.”
Mbele za...
Watu waliokuwa wananifanyia figisu kazini mwaka 2014 mpaka 2018, nikikutana nao Kariakoo au pahala pengine, wananichangamkia na kuniambia "Karibu nyumbani utusalimie siku moja"
Sasa ninajiuliza, wanataka niende makwao ili wakaniwekee sumu kwenye chakula ama vp?? Maana ninawaona kama vile...
Mwaka Jana mwezi wa kumi nilinunua kuku wa kienyeji ili niwafuge kwenye nyumba yangu ambayo haijaisha vizuri huko Boko, Chasimba.
Nilikuwa na kuku saba broiler na wawili wa kienyeji, dume na jike.
dume a.k.a jogoo alikuwa mwekundu, na Yule jike alikuwa mweupe mwenye mabaka mekundu.
Broiler...
“Nafahamu wote kwa pamoja tuna hamu ya kupata matokeo katika mechi hii lakini matokeo haya kuyapata kwa kushinda na kufuzu. Sisi tumeweka mazingira mazuri ambayo yataiwezesha timu yetu kufuzu.”
“Nipo hapa kuwataka Watanzania kujitokeza kwa wingi Uwanja wa Mkapa alkini ningependa kutoa taarifa...
Wakuu habari.
Mimi kwa sasa , ninafanya kazi Kama Diaspora Messenger.
Kazi ninazofanya ni Kama kuwawakilisha watanzania wote waliopo nje ya nchi kwa kufanya Kazi zao mbali mbali.
Ikiwa wewe ni Diaspora unahitaji MTU mwaminifu utakayekuwa unamtuma kufatilia Kazi zako , naomba tuwasiliane...
S.Aleykum , Bwana asifiwe.
Tafadhali mada hapo juu yahusika.
Niko America mwaka wa pili huu nimejifunza mengi kwa kweli-
a)Bila kazi hakuna maisha, kazi ndo itakuwezesha kumudu gharama za food, cloth, shelter.
B)Bila Saving hutoboi hata wao wenyewe wanakwambia saving ni kitu cha...
Tuliambiwa siku za mwisho watatokea manabii wa uongo,watatokea watakaojifanya ndio Kristo,watatokea na wapinga Kristo!
Mimi sikubaliani kabisa na Hawa manabii kina mwamposa na wenzake!
Sasa hapa jf nimekutana na sio tu wapinga Kristo,Wanapinga mpaka uwepo wa Mungu mwenyewe!!!
Shikamoo Jamii Forums
Hapa no kilimo cha matunda, mbogamboga na baadhi ya mazao ya chakula
Huhitaji tena kwenda kununua mboga zisizo salama.. Na wala huhitaji kulalamika kuwa huna eneo la bustani
BOB MARLEY:-
"How can you be sitting there
Telling me that you care
That you care?
When every time I look around,
The people suffer in the suffering
In every way, in everywhere
Say, na-na-na-na-na (na-na, na-na!)
We're the survivors
Yes, the Black survivors"
WAKE UP AFRIKA!
Laying this infrastructure was a crucial step.
My first encounter with Demi
Kupost picha yangu humu as if nipo Facebook...
Kuwa crushed na kupewa rules and regs..
Mshana Jr na Uzi wake wa meditation...
Alivyosoent his time in a Buddhist Monastery .. south Africa
Uzi wa Naomba kuongea na...
Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa mara, Chacha Heche mapema leo amefika kwa Baba wa Taifa, Julius Nyerere akiwa na ujumbe wake wenye vielelezo vya matukio yaliyojitokeza katika chaguzi za TanzAnia 2019 - 2024 kuzungumza na familia ya Baba wa Taifa Mwitongo Butiama
Katika taarifa aliyowasilisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.