nyumbani

The Nyumbani Children's Home was founded by Father Angelo D'Agostino and Sister Mary Owens in 1992 to serve mostly abandoned children created by the AIDS pandemic. Since then, three more programs (Nyumbani Village, Lea Toto and Nyumbani Diagnostic Laboratory) have been added to the organization.

View More On Wikipedia.org
  1. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania Harry Kane anachukua ubingwa akiwa nyumbani katulia

    Baada ya Jana kijana kutoka Tanga Yusuphu Shemahonga Poulsen kuwazuia Bayern kutangaza ubingwa ikiwa imesalia sec 1 Leo Bayer Leverkusen wameamua kutupa taulo na kuwaruhusu Bayern kubeba ndoo na kumpa Harry Kane medal ya kwanza ya ubingwa wa kombe kubwa Sio tu harry atakaefurahia ubingwa huu...
  2. mdukuzi

    JamiiForums Tanzania Kama una nyumba usimpangishe askari polisi ataleta laana nyumbani kwako

    Huo ndio ushari Usipangishe polisi Nyumba yako itageuka laana
  3. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Nimeumia kuona moja ya picha ya crime scene nyumbani kwa mdude kuna choo cha mtoto.

    Mtoto mdogo kama huyu unakuta alishuhudia baba yake anapigwa and maybe anaweza asimuone tena
  4. mdukuzi

    JamiiForums Tanzania Hayati Magufuli alijenga kanisa nyumbani kwake, Askofu Niwemwigizi akagoma kulipokea

    Tofauti na waislam ambao wanaruhusiwa kujenga misikiti yao binafsi na kuikabidhi kwenye uongozi,hali iko tofauti kwa kanisa katoliki Huwezi kujijengea kanisa na kulikabidhi kwa jimbo bila kufuata taratibu rasmi walizojiwekea kama kanisa Ukifika Chato pembeni ya nyumba ya Hayati Magufuli...
  5. REJESHO HURU

    JamiiForums Tanzania Kipi kilikusuma kuondoka , kijijini, mkoani na kukimbilia mjini, au nyumbani kwenda kupanga ghetto wazee wakujilipua tubushane

    Hii mahususi kwa watu wangu hasa kizazi Cha miaka ya 70, mpaka 80 hivi enzi hizo nchi Tanzania mikoa mingi bado mapori, watu wakimaliza darasa la saba kama wapo wanafunzi 200 wanachaguliwa kwenda kidato Cha kwanza ni watu wawili au mmoja mnaobakia kama mzazi uwezo hana wakukupeleka shule...
  6. R

    JamiiForums Tanzania Ukifanya shughuli hizi utaishi zaidi kazini, nyumbani kunakuwa sehemu ya kutembelea na kujiegesha

    Madereva wa malori - Safari ya kupeleka mzigo inaweza kuwa wiki 3 unarudi nyumbani siku 4 unaamsha upya, Ulinzi - unaweza kuwa na geto na kitanda lakini siku 6 unalalia mabox kazini, kulalia kitanda ni siku moja ukiwa off Bodaboda - kutoka asubuhi kurudi usiku, unafika kwako upo hoi chalii...
  7. mdukuzi

    JamiiForums Tanzania Stellebosch ni kama Azam iliyochangamka.timu haina mashabiki kwao,wabongo walioko huko wanatosha kuifanya Simba ijisikie iko nyumbani

    Pamoja na mambo mengine kinachoikwamisha Azam ni kukosa mashabiki. Stella wakiwa ugenini ni wakali kuliko kwao Kule kwao hawana mashabiki kabisa kama Azam Simba itakuwa kama iko kwa Mkapa tu. Mchawi wetu atakuwa VAR,tusiruhusu goli hata la offside,wala kugongana na hao wazulu koko kAribu na...
  8. The redemeer

    JamiiForums Tanzania Umuhimu wa mjusi wa nyumbani ndani

    mjusi kafiri (anayejulikana pia kama mjusi wa nyumbani au house gecko – Hemidactylus frenatus) ana mchango muhimu sana katika mazingira ya ndani ya nyumba, ingawa wengi humchukulia kama kero. Hii hapa kazi yake kitaalamu: 1. Mdhibiti wa wadudu (Biological Pest Control) Mjusi hula mbu, nzi...
  9. Setfree

    JamiiForums Tanzania Mtu asiyewatunza watu wa nyumbani kwake ni mbaya kuliko atheist

    Katika jamii yoyote yenye maadili mema, jukumu la kuwahudumia na kuwatunza watu wa nyumbani ni la msingi sana. Biblia katika 1 Timotheo 5:8 inasema: “Kama mtu hawatunzi wale wa jamaa yake, hasa wale wa nyumbani mwake mwenyewe, ameikana imani, tena ni mbaya kuliko yeye asiyeamini.” Mbele za...
  10. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Vituko vya wababa wanapoachwa na watoto nyumbani

    Baadhi ya picha ni Photoshop.. Nyingi ni halisi.. Nyingine ni maigizo
  11. R

    JamiiForums Tanzania Maadui zangu wananichekea na kuniambia "SIKU MOJA KARIBU NYUMBANI UTUSALIMIE"

    Watu waliokuwa wananifanyia figisu kazini mwaka 2014 mpaka 2018, nikikutana nao Kariakoo au pahala pengine, wananichangamkia na kuniambia "Karibu nyumbani utusalimie siku moja" Sasa ninajiuliza, wanataka niende makwao ili wakaniwekee sumu kwenye chakula ama vp?? Maana ninawaona kama vile...
  12. KING MIDAS

    JamiiForums Tanzania Fumbo hili la kuku lina maana gani nyumbani kwangu?

    Mwaka Jana mwezi wa kumi nilinunua kuku wa kienyeji ili niwafuge kwenye nyumba yangu ambayo haijaisha vizuri huko Boko, Chasimba. Nilikuwa na kuku saba broiler na wawili wa kienyeji, dume na jike. dume a.k.a jogoo alikuwa mwekundu, na Yule jike alikuwa mweupe mwenye mabaka mekundu. Broiler...
  13. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania CEO wa Simba: Kama mechi haikuhusu baki nyumbani (Simba Vs Al Masry - Aprili 9, 2025)

    “Nafahamu wote kwa pamoja tuna hamu ya kupata matokeo katika mechi hii lakini matokeo haya kuyapata kwa kushinda na kufuzu. Sisi tumeweka mazingira mazuri ambayo yataiwezesha timu yetu kufuzu.” “Nipo hapa kuwataka Watanzania kujitokeza kwa wingi Uwanja wa Mkapa alkini ningependa kutoa taarifa...
  14. Diaspora Messenger

    JamiiForums Tanzania Diaspora Messenger, nipo hapa, usihofu tena kuwekeza Nyumbani kwa kuibiwa , kutapeliwa na ndugu au watu ambao sio waaminifu karibu unitume.

    Wakuu habari. Mimi kwa sasa , ninafanya kazi Kama Diaspora Messenger. Kazi ninazofanya ni Kama kuwawakilisha watanzania wote waliopo nje ya nchi kwa kufanya Kazi zao mbali mbali. Ikiwa wewe ni Diaspora unahitaji MTU mwaminifu utakayekuwa unamtuma kufatilia Kazi zako , naomba tuwasiliane...
  15. D

    JamiiForums Tanzania Kwanini uliamua kurudi nyumbani?

    S.Aleykum , Bwana asifiwe. Tafadhali mada hapo juu yahusika. Niko America mwaka wa pili huu nimejifunza mengi kwa kweli- a)Bila kazi hakuna maisha, kazi ndo itakuwezesha kumudu gharama za food, cloth, shelter. B)Bila Saving hutoboi hata wao wenyewe wanakwambia saving ni kitu cha...
  16. shibela

    JamiiForums Tanzania JF Kwa kidengereko nyumbani pa wenye kufikiri Kwa undani a.k.a Akili nyingi!

    Tuliambiwa siku za mwisho watatokea manabii wa uongo,watatokea watakaojifanya ndio Kristo,watatokea na wapinga Kristo! Mimi sikubaliani kabisa na Hawa manabii kina mwamposa na wenzake! Sasa hapa jf nimekutana na sio tu wapinga Kristo,Wanapinga mpaka uwepo wa Mungu mwenyewe!!! Shikamoo Jamii Forums
  17. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Ubunifu: Kilimo cha nyumbani ukiwa na eneo dogo

    Hapa no kilimo cha matunda, mbogamboga na baadhi ya mazao ya chakula Huhitaji tena kwenda kununua mboga zisizo salama.. Na wala huhitaji kulalamika kuwa huna eneo la bustani
  18. H

    JamiiForums Tanzania Hizi ni fikira chanya za manabii/mitume wa Kiafrika wasiokubalika nyumbani kwao AFRIKA,tuziweke hapa:-

    BOB MARLEY:- "How can you be sitting there Telling me that you care That you care? When every time I look around, The people suffer in the suffering In every way, in everywhere Say, na-na-na-na-na (na-na, na-na!) We're the survivors Yes, the Black survivors" WAKE UP AFRIKA!
  19. Light Saber Imetosha Sasa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jamii Forums . Nyumbani,. kudos To Maxcence,Mike Mushi na Team Nzima ya Staff members Bila kusahau All members

    Laying this infrastructure was a crucial step. My first encounter with Demi Kupost picha yangu humu as if nipo Facebook... Kuwa crushed na kupewa rules and regs.. Mshana Jr na Uzi wake wa meditation... Alivyosoent his time in a Buddhist Monastery .. south Africa Uzi wa Naomba kuongea na...
  20. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CHADEMA waipeleka 'No Reform, No Election' nyumbani kwa baba wa taifa

    Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa mara, Chacha Heche mapema leo amefika kwa Baba wa Taifa, Julius Nyerere akiwa na ujumbe wake wenye vielelezo vya matukio yaliyojitokeza katika chaguzi za TanzAnia 2019 - 2024 kuzungumza na familia ya Baba wa Taifa Mwitongo Butiama Katika taarifa aliyowasilisha...
Back
Top Bottom