Tibilisi, Georgia
Wafa mwenye umri wa miaka 25, na dada yake Maha mwenye umri wa miaka 28, waliwalaghai wanafamilia ya kwamba wanasafiri kwenda mji wa Ranyah, huko Saudi Arabia kumtembelea kaka yao.
Wakiwa katika mji mkuu wa Saudia, Riyadh, mabinti hawa walifanikiwa kupata passport na tiketi...