Kwa haya yanayoendelea mimi kama kijana yananifikirisha kiukweli,ni kama kuna kitu kinamiss sidhani kama tushawahi pitia hali kama hii kabla
https://www.facebook.com/share/v/1DccRyaBBW/
https://www.facebook.com/share/v/1EGHcVzfu1/
https://www.facebook.com/share/v/1F3pb91mTn/...
Mbaya zaidi wengine mnawalipia hadi madeni yao binafsi. Acheni upuuzi. Kuna baadhi hadi mnapokea vipigo. Usiingilie majukumu ya mwanaume. He has to provide for his family.
NYUMBA INAPANGISHWA- CHANIKA - DAR
Ipo Chanika Nyeburu
Karibu na Doctor Elim School maarufu Geti la Jeshi
Maelezo ya Ziada:-
Vyumba 3
Choo cha ndani na cha nje
Maji
Ina uzio( Fenced)
Eneo kubwa la uwani
- Mtaa uliotulia
Maelezo zaidi mpigie mhusika Moja kwa Moja
0750477009
FOR SALE
Price Tsh 570m
Sqmt 900 full title deed
GOBA MAGHOROFANI
4bedrooms
Karibu na lami
Mtaa Mzuri Sanaa
🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717
#houseforsale #realestate #goba #daressalaam #tanzaniatiktok
Eti wakuu hiyo rangi hapo kwenye picha ni ya kupaka ndani au nje ya nyumba.?
Eti ni kweli kwamba rangi ikiwa na neno EMULSION haifai kupaka nje ya nyumba?
Kama rangi hii ni ya nje,je ni miongoni mwa rangi bora?
Kama sio,naomba mapendekezo ya rangi bora za kupaka nje.
Nyumba ilishapakwa...
NYUMBA INAUZWA – KIGAMBONI, KISOTA
📍 Eneo: Kisota, Kigamboni
💰 Bei: TSh Milioni 450
Kwa maelezo zaidi au kupanga miadi ya kutembelea nyumba hiyo:
📞 Piga Simu/WhatsApp: +255 758 844 717
Fursa ya kumiliki nyumba katika eneo linalokua kwa kasi la Kigamboni. Wahi sasa!
KIWANJA chenye NYUMBA ZA KUBOMOA KINAUZWA
KIPO VICTORIA KINONDON
KIWANJA KIKUBWA Sana!
KINA (SQM 4250) ni SAWA na (HEKARI MOJA)
Ndani ya FENSI
MITAA ya KISHUA SANA
Inafaa kwa
-APARTMENTS
-SUPER MARKET
-YADI ZA MALORI
-SHULE KANISA
-VYOVYOTE VILE
-au hata MALL
Kumbuka KIWANJA ni
(HEKARI...
Naomba niwasilishe taarifa hii tukiwa na uchungu mwingi kama familia, hapa tunapoandika ujumbe huu tunajiandaa nyumba yetu kubomolewa Jumamosi hii Juni 13, 2026.
Sababu kubwa ikiwa ni dhuluma, mbinu chafu za baadhi ya maafisa wa ardhi kuhusu kiwanja na nyumba yetu iliyopo Mtaa wa Image, Kata...
Anonymous
Thread
ardhi
ardhi dodoma
bila
dodoma
hati
hati ya kiwanja
kiwanja
mchezo
nyumba
ridhaa
takukuru
Mtu ukiwa unauwezo wa kujenga nyumba ya zaidi ya million 200.
Basi jitahidi kuwawapa kazi kampuni mzuri ya ujenzi.
Pia Kuleta interior and external designer ili nyumba iwe na mvuto.
Sio nyumba inakuwa ya gharama afu Iko ovyo. Haipendezi.
Suala hili kiukweli linaumiza sana. Kulikuwa na amri ya kubomoa Kitalu namba 13, ambacho kiko upande wa nyuma na kilikuwa ni eneo la wazi lililovamiwa. Nyaraka zote za serikali, maamuzi ya mahakama, barua za notisi, na ramani zilikuwa zinaonyesha wazi kuwa zoezi lilikuwa ni kwa ajili ya Kitalu...
Shule ya Msingi NANJANGA iliyopo kata ya Ngunja Halmashauri ya Tandahimba haina nyumba ya mwalimu kitu ambacho kinalazimika mwalimu mkuu kulala ofisini.
Muda wa kazi ukiisha, ofisi inageuzwa kuwa chumba cha kulala.
Shule hii ina walimu sita, wanafunzi 150 na imeanzishwa mwaka 2016. Haina...
GHOROFA INAUZWA MBEZI KWA MSUGURI####
INA HATI YA WIZARA(CLEAN TITTLE DEED)####
INA VYUMBA 4 KULALA VYOTE MASTERS, SEBLE, JIKO, DINNING NA CHOO LUBLIC#####
UKUBWA WA KIWANJA SQM 2000*****UMBALI KUTOKA LAMI KM 1###
BARABARA NI LAMI####
BEI MILLION 240 MAONGEZI!!!!
🇹🇿Call/WhatsApp...
Wakuu kila nyumba ina harufu ambayo wakazi wameizoea na kuhisi kawaida, ila mgeni ukiingia ndio utaiskia kama ni nzuri au mbaya, iwe ya marashi au uvundo. Kuna nyumba zinanukia vizuri sana, harufu murua sana hutatamani kutoka ukiingia.
Kuna njia za Kiasili ambazo wengine hutumia kwenye nyumba...
GHOROFA INAUZWA
IPO KARIAKOO DARESSALAAM🇹🇿
Underground, floor 1 and 2
▶Maduka yako kama 60
▶Inaingiza million 600 na kitu kila mwaka
BEI NI BILLIONS 7.8,MAONGEZI YAPO
🇹🇿CALL/WhatsApp +255758844717
#viral #tanzaniantiktok🇹🇿 #daressalaam🇹🇿 #houseforsale #realestate
LUXURY HOUSE FOR SALE – BUNJU B
📍 Bunju B
📐 Plot Size: 1,568 SQM
💰 Price: TZS 1.3 Billion (Negotiable)
This beautiful luxury home comes with a spacious and modern design perfect for family living or investment.
🔹Brand New
🔹Good View & Fresh Air🍀
🔹 4 Bedrooms (3 Master Bedrooms)
🔹 Large Sitting...
Kama una miaka 40+ na bado unaishi nyumba ya kupanga ukiwa na familia, jiulize upya kuhusu mwelekeo wa maisha yako. Je, uko kwenye njia sahihi ya kujenga mustakabali wa familia yako, au umekwama katika hali ya kurudia kila mwaka bila maendeleo ya kweli?
Nilinunua kiwanja iwambi changanyikeni mwaka2016.
Nikajenga na nyumba ila miaka kumi inayo hata milion 15 pesa ya kununulia madafu Iringa nimeshindwa kuuza.
Iwambi mbeya hapana kwa kweli.
Ingekua Arusha ingekua milion 200
Nilinunua kiwanja iwambi changanyikeni mwaka2016.
Nikajenga na nyumba ila miaka kumi inayo hata milion 15 pesa ya kununulia madafu Iringa nimeshindwa kuuza.
Iwambi mbeya hapana kwa kweli.
Ingekua Arusha ingekua milion 200
Nilinunua kiwanja iwambi changanyikeni mwaka2016.
Nikajenga na nyumba ila miaka kumi inayo hata milion 15 pesa ya kununulia madafu Iringa nimeshindwa kuuza.
Iwambi mbeya hapana kwa kweli.
Ingekua Arusha ingekua milion 200
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.