nyumba

  1. Dalali wa Mjini

    Uwekezaji Msasani mwisho

    Habari maboss Nyumba ya Zamani inauzwa msasani mwisho. Nyumba inatazama barabara ya mtaa. Mtaa wa pili kutoka BAHARINI Sqm 425 Document offer ya Kazi BIlion 1 KWA hitaji la kuona eneo Nipigie simu nikupeleke ukazungumze na wahusika wakuu. 0754693556
  2. aise

    Ramani ya Nyumba ya Kisasa: Vyumba 2, Jiko, Sebule na Choo cha Public pamoja na gharama

    Habari wakuu, nawaletea Ramani hii hapa ya Vyumba viwili (Kimoja ni Master) Sebule, Jiko, Na choo Cha public. Ni ramani simple lakini ya Kisasa. Ramani hii itachukua Tofali 1,600 Saruji 30 Nondo 20 Mchanga mende 1 Kokoto gari 1 n.k n.k Ramani hii inakaa kwenye Eneo la Mita 12x10. Karibu...
  3. Keynez

    Mmejiandaaje kwa nyumba nyingi zilizohifadhi madumu ya petroli kutokana na hofu ya maandamani D9?

    Kuelekea D9, siyo tu watu wameamua kuhifadhi vyakula majumbani mwao, ila pia wengi wamehifadhi pia madumu ya petrol kwa ajili ya bodaboda, bajaji na magari yao. Natumai mmejiandaa yale yaliyotokea London mwaka 1666 yasijekutokea Dar es Salaam.
  4. Dalali wa Mjini

    Nyumba inauzwa msasani macho

    Habari maboss Nyumba inauzwa Msasani karibu na kituo cha standi ya daladala. Kituo kinautwa macho bila Shaka ni standi maarufu sana msasani. Nyumba inaangalia barabara ya Lami. Kiwanja cha nyumba ni skwata. Hakuna mgogoro wowote Bei ni milion 500 Kwa maongezi ya Bei utaongea na wenye...
  5. Beira Boy

    Maono: nimeona nyumba inayofanana na Tanzania inayomilikiwa na mwanamke ikianguka chini na kuwaka moto

    Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Ni maono hayo niliyaona leo usiku Ni huzuni sana Niliona nyumba moja nzuri sana inayofanana na Tanzania inayomilikiwa na mwanamke ikianguka chini na kushika moto mkali sana SAYUNI BOY
  6. Joh MANGI Kim

    House4Sale House for sale, Nyumba inauzwa 10m bagamoyo zinga mtaa wa masaki

    NYUMBA INAUZWA 10M – BAGAMOYO ZINGA, MTAA WA KISHUA BAGAMOYO ROAD UPANDE WA BAHARINI Nyumba 2 bedrooms, (no doors, windows, flooring), plot 21×19 (≈400 sqm) Bagamoyo – Zinga. Karibu na barabara umbali wa kutembea mtaa una MAJI, UMEME NA NEIGHBORHOOD NZURI, plot 21×19, hati tayari Bei: 10M cash...
  7. and 998 others

    Nyumba za MC Pilipili Dodoma zazua gumzo

    Nyumba 4 kwenye compound moja huko Dodoma Mali ya mwendazake MC Pilipili zimetia fora kwa nakshi na mazingira zilipo (Swaswa). Kazi na utu
  8. uberimae fidei

    House4Sale Nyumba inauzwa Kibaha

    Nyumba ipo kibaha visiga madafu. Nyumba Ina vyumba 5 vya kulala,viwili master bedroom. Nyumba Ina mabanda makubwa ya kuku,ya mbuzi na ng'ombe. Ina nyumba ya wafanyakazi. Kuna kisima kikubwa Cha maji,na maji dawasco pia yapo. Ukubwa wa eneo eka Moja. Kuna fence. Ina hati ya wizara(title deed)...
  9. The Father of All

    Mali, nyumba na Ofisi za Wasafi vya Diamond vinatembelewa lini?

    Kwa watu wetu walivyouawa, machawa na. machangudoa wote waliomsaidia imla Ida Amina Mama lazima watembelewe haraka sana iwezekano.
  10. M

    Polisi wanalazimisha biashara ns nyumba zenye cctv kufuta picha.

    Kama una cctv ambayo imechukua picha zozote za maandamano, tafadhali hamisha hizo picha haraka na kuzitunza. Wanataka dunia isijue kilichotokea. Kama una ndugu Unajua ana cctv mfikishie ujumbe. Wa record hizo taarifa zote na kuzificha. Polisi wanaanza kupita kwenye biashara za watu kufuta...
  11. M

    Day 3: Magari ya CCM, nyumba ya mgombea udiwani vyachomwa moto na waandamanaji jijini Mwanza

    Hali jijini Mwanza leo Oktoba 31 imeonekana hivi:
  12. TheSeer

    Tanzania huru 29 Oktoba

    Tanzania huru ( Tanzani ambayo inarudi mikononi mwa wanchi kwa kuitoa mikononi mwa waovu wasiotakia mema nchi hii ). Ndugu! Rocket 🚀 haina reverse, tumefikia 98% ya kukamilisha mission ya ukombozi wa taifa, kwa wasio na ufahamu wataona mizaha, ila set up za jambo hili limekamilika. 29...
  13. Raia Fulani

    GE2025 Ni sahihi mjumbe wa nyumba kumi kunifuata nyumbani siku ya uchaguzi tuongozane naye kituo cha kura?

    Mgombea wa ccm jana alitoa wito kwa wazazi kubeba familia zao kuelekea kupiga kura. Zaidi akasema mabalozi wa nyumba 10 wahakikishe wanawapitia wakazi wake kwenda nao kuipigia ccm kura. 1. Nauliza, kauli hiyo ni sahihi? Kama mimi sio mwanaccm nitaenda kumpigia nani? 2. Kama sera za wale...
  14. Keynez

    Hivi haiwezekani kufanya msako wa nyumba kwa nyumba, chaka kwa chaka kuwatafuta waliopotea?

    Embu tusaidiane kidogo katika hili wazo. Kutokana na idadi ya wanaopotea kuongezeka, na wenye mamlaka kuonekana kama suala hili lipo nje ya uwezo wao kulitatua na kulikabili, kwa nini jamii isiamue yenyewe kuchukua uamuzi wa kuanza kuwatafuta wote waliopotea? Zoezi hili liende nchi nzima...
  15. comrade_kipepe

    Aunty LuLu: Kuna watu wapo nje ya nyumba yetu wanataka kuvunja mlango

    Tuombe Mungu usiku upite salama, Israel anazengea kwenye viunga vya Nyumbani kwa aunty LuLu, kaweka ujumbe kwenye Instagram usiku huu wa manane 👇 Msiomjua Aunty LuLu ni huyu
  16. tonicimmobility

    Waliovunjiwa Nyumba Bagamoyo wakwaa kisiki Mahakamani

    Huzuni imetawala kwa wakazi wa Mtaa wa Udindivu Kata ya Mapinga, wilayani Bagamoyo mkoani Pwani baada ya Mahakama ya Wilaya hiyo kutupilia mbali maombi yaliyowasilishwa na wananchi hao katika shauri na 18330/2025. Wananchi hao wakiongozwa na Agnes Lupembe walilofungua kesi mahamamani hapo...
  17. D

    Wajenzi wa nyumba za kisasa

    Je, unatarajia kujenga nyumba yako hivi karibuni? Na unataka kujengewa nyumba ya kisasa kwa uaminifu na ubora unaohitajika? Kama ndivyo basi hujachelewa na tayari umetupata MODERN HOME BUILDERS ambao sisi ndio watu sahihi wa kukujengea nyumba ya ndoto zako na hitaji la moyo wako. Sisi MODERN...
  18. REJESHO HURU

    Tuwambie vijana vijiweni uko nchi hii ni mali yao wana haki yakupata mgao wao kama wanavyogombania kodi za nyumba ya familia za urithi

    Tutumie mfano mwepesi vijana waelewe na wajue kwanini kina polepole, kina mdude wametekwa kina tundu lisu wamepigwa risasi nk. na kwanini kuna watu wanatumia nguvu nyingi kubaki madarakani, wanapiga watu virungu, wapo tayali kuuwa watu Wambieni hao ndio wale wanaotaka kubaki na mashamba ya...
  19. L

    Jeshi la Polisi limkamate pia mwenye nyumba inayodaiwa alikuwa anaishi Humphrey Polepole ili aeleze ni lini alimpokea na amekaa kwa muda gani?

    Ndugu zangu Watanzania, Nafikiri polisi wangemkamata pia mwenye nyumba inayodaiwa alikuwa akiishi Humphrey Polepole ili aweze kulisaidia jeshi la polisi katika uchunguzi wake. Aeleze ni lini alimpokea na mkataba wake ulianza lini na amekaa kwa muda gani na walionana lini na kama walikuwa na...
  20. F

    House4Sale 5 units nyumba za kupangisha zinauzwa tsh milioni 35

    Eneo ni 400 sqm, limetumika lote, yote ina wapangaji, lipo Kiluvya Makurunge, Pwani karibu na kwa masister au kwa Sumaye. Piga namba +255 68 462 4404 kwa maelezo zaidi
Back
Top Bottom