Habari maboss
Nyumba ya Zamani inauzwa msasani mwisho. Nyumba inatazama barabara ya mtaa.
Mtaa wa pili kutoka BAHARINI
Sqm 425
Document offer ya Kazi
BIlion 1
KWA hitaji la kuona eneo
Nipigie simu nikupeleke ukazungumze na wahusika wakuu.
0754693556
Habari wakuu,
nawaletea Ramani hii hapa ya Vyumba viwili (Kimoja ni Master)
Sebule,
Jiko,
Na choo Cha public.
Ni ramani simple lakini ya Kisasa.
Ramani hii itachukua
Tofali 1,600
Saruji 30
Nondo 20
Mchanga mende 1
Kokoto gari 1
n.k
n.k
Ramani hii inakaa kwenye Eneo la Mita 12x10.
Karibu...
Kuelekea D9, siyo tu watu wameamua kuhifadhi vyakula majumbani mwao, ila pia wengi wamehifadhi pia madumu ya petrol kwa ajili ya bodaboda, bajaji na magari yao.
Natumai mmejiandaa yale yaliyotokea London mwaka 1666 yasijekutokea Dar es Salaam.
Habari maboss
Nyumba inauzwa Msasani karibu na kituo cha standi ya daladala.
Kituo kinautwa macho bila Shaka ni standi maarufu sana msasani.
Nyumba inaangalia barabara ya Lami.
Kiwanja cha nyumba ni skwata.
Hakuna mgogoro wowote
Bei ni milion 500
Kwa maongezi ya Bei utaongea na wenye...
Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU
Ni maono hayo niliyaona leo usiku
Ni huzuni sana
Niliona nyumba moja nzuri sana inayofanana na Tanzania inayomilikiwa na mwanamke ikianguka chini na kushika moto mkali sana
SAYUNI BOY
NYUMBA INAUZWA 10M – BAGAMOYO ZINGA, MTAA WA KISHUA BAGAMOYO ROAD UPANDE WA BAHARINI
Nyumba 2 bedrooms, (no doors, windows, flooring), plot 21×19 (≈400 sqm) Bagamoyo – Zinga. Karibu na barabara umbali wa kutembea mtaa una MAJI, UMEME NA NEIGHBORHOOD NZURI, plot 21×19, hati tayari
Bei: 10M cash...
Nyumba ipo kibaha visiga madafu.
Nyumba Ina vyumba 5 vya kulala,viwili master bedroom.
Nyumba Ina mabanda makubwa ya kuku,ya mbuzi na ng'ombe.
Ina nyumba ya wafanyakazi.
Kuna kisima kikubwa Cha maji,na maji dawasco pia yapo.
Ukubwa wa eneo eka Moja.
Kuna fence.
Ina hati ya wizara(title deed)...
Kama una cctv ambayo imechukua picha zozote za maandamano, tafadhali hamisha hizo picha haraka na kuzitunza.
Wanataka dunia isijue kilichotokea.
Kama una ndugu Unajua ana cctv mfikishie ujumbe. Wa record hizo taarifa zote na kuzificha.
Polisi wanaanza kupita kwenye biashara za watu kufuta...
Tanzania huru ( Tanzani ambayo inarudi mikononi mwa wanchi kwa kuitoa mikononi mwa waovu wasiotakia mema nchi hii ).
Ndugu! Rocket 🚀 haina reverse, tumefikia 98% ya kukamilisha mission ya ukombozi wa taifa, kwa wasio na ufahamu wataona mizaha, ila set up za jambo hili limekamilika.
29...
Mgombea wa ccm jana alitoa wito kwa wazazi kubeba familia zao kuelekea kupiga kura. Zaidi akasema mabalozi wa nyumba 10 wahakikishe wanawapitia wakazi wake kwenda nao kuipigia ccm kura.
1. Nauliza, kauli hiyo ni sahihi? Kama mimi sio mwanaccm nitaenda kumpigia nani?
2. Kama sera za wale...
Embu tusaidiane kidogo katika hili wazo.
Kutokana na idadi ya wanaopotea kuongezeka, na wenye mamlaka kuonekana kama suala hili lipo nje ya uwezo wao kulitatua na kulikabili, kwa nini jamii isiamue yenyewe kuchukua uamuzi wa kuanza kuwatafuta wote waliopotea?
Zoezi hili liende nchi nzima...
Tuombe Mungu usiku upite salama, Israel anazengea kwenye viunga vya Nyumbani kwa aunty LuLu, kaweka ujumbe kwenye Instagram usiku huu wa manane 👇
Msiomjua Aunty LuLu ni huyu
Huzuni imetawala kwa wakazi wa Mtaa wa Udindivu Kata ya Mapinga, wilayani Bagamoyo mkoani Pwani baada ya Mahakama ya Wilaya hiyo kutupilia mbali maombi yaliyowasilishwa na wananchi hao katika shauri na 18330/2025.
Wananchi hao wakiongozwa na Agnes Lupembe walilofungua kesi mahamamani hapo...
Je, unatarajia kujenga nyumba yako hivi karibuni? Na unataka kujengewa nyumba ya kisasa kwa uaminifu na ubora unaohitajika?
Kama ndivyo basi hujachelewa na tayari umetupata MODERN HOME BUILDERS ambao sisi ndio watu sahihi wa kukujengea nyumba ya ndoto zako na hitaji la moyo wako.
Sisi MODERN...
Tutumie mfano mwepesi vijana waelewe na wajue kwanini kina polepole, kina mdude wametekwa kina tundu lisu wamepigwa risasi nk. na kwanini kuna watu wanatumia nguvu nyingi kubaki madarakani, wanapiga watu virungu, wapo tayali kuuwa watu
Wambieni hao ndio wale wanaotaka kubaki na mashamba ya...
Ndugu zangu Watanzania,
Nafikiri polisi wangemkamata pia mwenye nyumba inayodaiwa alikuwa akiishi Humphrey Polepole ili aweze kulisaidia jeshi la polisi katika uchunguzi wake.
Aeleze ni lini alimpokea na mkataba wake ulianza lini na amekaa kwa muda gani na walionana lini na kama walikuwa na...
Eneo ni 400 sqm, limetumika lote, yote ina wapangaji, lipo Kiluvya Makurunge, Pwani karibu na kwa masister au kwa Sumaye.
Piga namba +255 68 462 4404 kwa maelezo zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.