nyumba

  1. M

    JamiiForums Tanzania Uchawi wa kupeperushwa unaosahaulisha mtu kuhamia nyumba iliyokamilika, kusahau kiwanja, kuhesabu mzigo wa dukani, kusahau deni, n.k

    watu hurogana kwa aina nyingi za uchawi ila kuna huu uchawi mwengine ambao wengi hamjawahi kuusikia KUPEPERUSHWA - Ni uchawi wa kumsahaulisha mtu asifuatilie mali zake Baadhi ywa watu wanapojenga nyumba zao huwa wanaweka watu wengine kuwa walinzi wa nyumba zao , lakini ujenzi ukikamilika...
  2. Sonship

    JamiiForums Tanzania Nyumba inapangishwa Mbezi Maramba

    Nyumba inapangishwa Mbezi maramba Unashuka Kituo cha Makuti Ni Chumba master na sebule na jiko Kutoka lami Mpaka nyumba ilipo unatembea kwa miguu dk 8 Kodi 100,000 x miezi 6 Umeme unajitegemea pekee yako Mtakua Wapangaji 2 tu,Mwenye nyumba hakai hapo 0675 065906 Utanipoza kidogo ya udalali
  3. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Ssebo hakujenga nyumba Dar?

    Nimeshangaa msiba kuwekwa kwa wakili msomi mwingine badala ya Nyumbani kwake. Hii imekaaje Wadau? Au mambo ya apartment kama Le Mutuz?
  4. mozilla

    JamiiForums Tanzania Nauza nyumba bei 14M Vikindu

    NAUZA NYUMBA SIFA ZA NYUMBA 1: Ina vyumba viwili vyote master na sitting room 2: Ina umeme 3: Ina maji ya bomba 4: Ina hati ya serikali ya mtaa 5: Tyres vyumba vyote Gharama ya ukaguzi ni bure Location; Vikindu, kilomita moja na nusu kutoka lami, nauli ya bajaji Tsh 5,00 Ukubwa wa kiwanja...
  5. Dalali wa Mjini

    JamiiForums Tanzania House4Rent Nyumba inapangishwa Sinza - Kodi TZS 2Million kwa mwezi

    Nyumba ya kupanga Kali sana Ina nyumba viwili vya kulala vyote master Ina sitting room majiko Balcony nyuma na mbele. Full AC Kodi ni miliioni 2 kila mwezi. Nipigie simu Kwa ukaguzi📱0754693556 Note:sitozi services charge mkuu.
  6. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Tume mgogoro Ngorongoro: Serikali isitishe ujenzi wa Nyumba kwa ajili ya Wananchi wanaohamia Msomela, Kitwai (B) na Saunyi badala yake wapewe pesa

    Mapendekezo ya Tume ya Rais iliyofanya tathimini kuhusu mgogoro wa ardhi na uhamaji wa hiari, Ngorongoro Eng. Musa Iyombe amesema uamuzi wa Serikali kujenga nyumba kwa wakati huo ulikuwa sahihi hata hivyo imebainika kuwa utekelezaji wake ulikuwa na dosari zinazohitaji kufanyiwa kazi. Tume...
  7. Pakome

    JamiiForums Tanzania Baada ya kuwauliza Matajiri wakubwa kuhusiana na tuhuma za kutokuhudhuria nyumba za Ibada walinijibu kama ifuatavyo

    Mimi kwa muda mrefu nimekuwa nikifanya kazi za matajiri wengi sana ikafikia mahali Matajiri wale wakawa wananialika kwenye shuhuli zao Sasa kawaida binadamu kuna wakati tunazungumza mambo mengi Siku moja nikachomeka swala la Ibada Nikawauliza kuwa kuna shutuma kuhusiana na matajiri kuwa...
  8. radhiya

    JamiiForums Tanzania Nyumba Inauzwa Kimara Temboni

    Nyumba Inauzwa Kimara. Mahali: Kimara Temboni, Mtaa wa Mtakuja. Sifa za Nyumba: •Ipo km 1 kutoka barabara kuu ya Morogoro. •Ina chumba chenye choo ndani, sebule na jiko. •Ina mpangaji analipa kodi sh. 300,000 kwa Mwezi. •Ina eneo kubwa mbele. •Usafiri wa aina zote unafika mpaka kwenye nyumba...
  9. Luxe Light Craft

    JamiiForums Tanzania Je, unahitaji taa za kisasa kwa ajili ya Finishing ya Nyumba yako?

    Je, Unahitaji Taa Za kisasa kwaajiki ya Finishing ya Nyumba yako? Luxe Light Craft, tumekuja kwaajili yako. Karibu ujipatie taa bora na za kisasa kutoka kwetu. Tunazo Taa Aina zote! Tunapatikana kariakoo📍 Wasiliana nasi kwa whatsapp namba +255764379293
  10. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu, Wananchi wa Kipunguni wanalipwa lini pesa zao? Wezi wanavamia nyumba, kumebaki mapori tu

    Mh Waziri Mkuu, Hongera kwa Mungu kukupa nafasi uliyonayo na kazi unayoifanya. Pongezi kubwa kwako. Nianze kutoa malalamiko yangu kuhusu yanayoendelea Kipunguni. Wananchi wa Kipunguni wanakusubiri urudi waje ofisini kupiga magoti. Wanaumizwa na majambazi, wanakufa kwa presha, kisukari na...
  11. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Live from Nairobi: Africa Editors Congress, Wahariri wa Africa Kujadili Changamoto za Media, Deo Balile wa TEF na Mkuu Max wa JF Ndani ya Nyumba!.

    Wanabodi, Niko hapa ukumbi wa Aga Khan University, kuwaripotia live, kinachoendelea kwenye huu mkutano ambapo Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile, atawasilisha mada ya Media Sustainability amid Digital Era. Miongoni maw watu muhimu nimewaona hapa, ni Boss wa JF, Mkuu...
  12. RMK Freelancers Agency

    JamiiForums Tanzania Je una chumba, apartment au nyumba inayofaa kwa ajili ya Airbnb? Njoo tushirikiane

    Moja kwa moja kwenye mada. Je una chumba, nyumba au apartment inayofaa kwa Airbnb? Natafuta watu wenye apartment, room au house nzuri ambayo inaweza kufaa kuwa listed kwa Airbnb. Kama una chumba au nyumba ambayo mara nyingi haitumiki au ungependa ipate wageni wa muda mfupi, tunaweza kufanya...
  13. Dalali wa Mjini

    JamiiForums Tanzania Nyumba inauzwa Kigamboni

    Nyumba inauzwa ipo Kigamboni Kiwanja sqm 899 Ina vyumba 5 vya kulala Viwil (2) master Nyumba ina fensi yote Bei Milion 120 Top. Full Document hakuna mgogoro wowote Nipigie simu Kwa ukaguzi📱0754693556
  14. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Jiwe la Kumbukumbu la Nyumba Aliyolala Mwalimu Nyerere Ujiji 1954 Wakati wa Kupigania Uhuru wa Tanganyika

    https://youtu.be/zZS4uioW6_g
  15. G

    JamiiForums Tanzania Viongozi Kuanzia Rais Hadi madiwani wanapaswa kwanza kushukuru wananchi Kwa kuwalipa mishahara posho, magari, nyumba pensheni na Bado kuna wizi

    Ni kiwango kikubwa sana Cha ujinga maboss kuanza kuwashukiru waajiri wao waliowajiri Cha ajabu hao maboss hawaambulii chochote Cha kwao binafsi ila wanawalipa waajiri wao Kwa wakati Kila mwisho wa mwenzi bila kukosa . HIki kiwango Cha juu Cha ujinga Kwa wananchi kuwashukiru kwanza waajiri wao...
  16. Hharyson

    JamiiForums Tanzania IPE NYUMBA YAKO MUONEKANO WA KISASA KWA LANDSCAPE KALI KUTOKA KWETU 0624004650

    IPE NYUMBA YAKO MUONEKANO WA KISASA KWA LANDSCAPE KALI KUTOKA KWETU 0624004650 HAPA TUMEHUSIKA FROM DESIGN IDEAS PERGOLA AND OUTDOOR LOUNGE POOL CONSTRUCTION TUPIGIE UPATE KAZI BORA
  17. Dalali wa Mjini

    JamiiForums Tanzania Kiwanja nyumba kinauzwa Goba Kwa Olomi

    Namtaka bingwa wa kuona Mbali. Mwenye macho ya Eagle 🦅 Kiwanja Chenye nyumba kinauzwa Goba Kwa Olomi. Hizo nyumba mbili unazoziona. Moja ina Rangi ya light blue na nyingine imeezekwa Kwa bati ya Rangi ya maruni zipo ndani ya kiwanja. Sqm 629.78 Hati Safi Hakuna mgogoro Dakika moja Hadi...
  18. Kitomai

    JamiiForums Tanzania Nyumba ya ghorofa (apartment) inauzwa – Upanga 🏢

    📍 Eneo: Upanga 🏠 Aina: Apartment (Floor ya Kwanza) 🚫 Jengo halina lift ✨ MAELEZO YA NYUMBA: ✔️ Vyumba 3 vya kulala ✔️ Master Bedroom 1 ✔️ Sebule kubwa ✔️ Jiko ✔️ Inafaa kwa matumizi ya Makazi au Biashara 💰 BEI: 👉 Tsh 300,000,000 (Bei ni FIXED) 📞 MAWASILIANO: 0784 225 000 📌 Wasiliana nasi kwa...
  19. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Wanaostaafu sasa wanapewa Nyumba?

    Wakati CHADEMA inapinga uuzwaji wa nyumba za Serikali Kwa hoja kuwa sababu zilizotolewa kwa nini nyumba zile ziliuzwa zilikuwa za uongo, watu wengi hawakuelewa. CCM walisema zoezi la kujenga na kuwauzia nyumba watumishi wa Serikali litakuwa endelevu. CCM watuambie wafanyakazi wa umma...
  20. Dalali wa Mjini

    JamiiForums Tanzania Nyumba inauzwa Mbezi Malamba Mawili sqm 800

    Uwekezaji mzuri huu. NYUMBA SAFI 2 ZOTE KWA PAMOJA ZINAUZWA MBEZI MALAMBA MAWILI NJIA YA KUELEKEA TABATA KINYEREZI NA KUENDELEA. BEI: 260 MILLION MAONGEZI YAPO BOSS. LOCATION MBEZI MALAMBA MAWILI NYUMBA IMEGUSA LAMI PIA KUNA FREM MBILI NJE ZA BIASHARA KILA FREM MOJA KODI LAKI MBILI KILA...
Back
Top Bottom