nyumba

  1. D

    Kipi ni kipaumbele kati ya nyumba ya makazi vs biashara?

    Msaada wakuu Kati ya nyumba hizo mbili ipi itangulie kwa mtu anaejitafuta? Mfano mtu ana kiwanja ambacho kinafaa kwa yote mawili either makazi binafsi or biashara (Fremu za maduka, Lodge, appartments) kipi utamshauri aanze nacho ukizingatia hawezi kwenda na vyote viwili at once ni lazima...
  2. M

    Rais Samia kuijengea Nyumba familia ya mtoto anaeuza ndizi

    Ikiwa ni siku moja tangu Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. Paul Makonda kupokea changamoto ya kijana Alhaji Yahya Abdallah ambaye anafanya biashara ya kuuza ndizi kumsaidia Mama yake na wadogo zake 4 na Mwenezi Makonda kwa niaba ya CCM...
  3. ndege JOHN

    Mwenye nyumba yako anaweza kukuvumilia miezi mingapi bila kumlipa kodi yake?

    Maisha yenyewe ya sasa ukijichanganya ukaishi maisha fake ya kuigiza lazima u collapse tu kuna mpangaji mwenzangu single mother aliforce kumpeleka mtoto shule hizi za mamilion sasa hata baba mtoto amegoma kulipa ada mambo magumu Leo hii kafikisha miezi Sita anadaiwa tu kodi ila baba mwenye...
  4. M

    Haji Manara anaishi kwenye nyumba ya kupanga, asema yeye sio tajiri

    Haji Manara jana alikuwa na ugeni nyumbani kwake toka CloudsTv, na moja ya swali aliloulizwa ni kwanini bado anapanga na ilhali anaonekana ana uwezo mkubwa kifedha. Haji Manara alijibu, "Kwani kuna dhambi kupanga apartments? Mimi ni mwajiriwa wa Yanga. Sijawahi kusema Mimi ni tajiri. Naishi...
  5. Grahams

    Mrejesho: Biashara ya Nyumba za Kupangisha Vs Nyumba za Kulala Wageni

    Mwishoni mwa Mwaka 2022 nilianza Ujenzi wa nyumba ya Kulala Wageni. Ni Moja ya biashara niliyokuwa naifikiria Kwa muda mrefu. Nilianza Ujenzi Kwa kudunduliza kama ilivyo desturi ya Wajasirimali wengi Nchini. Nilikuwa na akiba ya shilingi 35M wakati naanza, ambapo nilianza Kwa kununua Kiwanja...
  6. N

    NYUMBA INAUZWA TABATA KINYEREZI 65ML

    Nyumba pichani inauzwa Tábata kinyerezi kifuru bei 65Ml ( millioni stini na tano) -vyumba 3 vya kulala,Kimoja máster -Sebule -jiko -publick toilet Ukubwa wa eneo Sam 400 0714337378 /0715053339 kwa maelezo zaidi
  7. Ricky Blair

    Nyumba style za Kijapani

    Ivi Tanzania hatuwezi kuanza kujenga nyumba km izi za Japan kutumia mbao na karatasi kwa sababu mi naona cement inachukua nguvu kubwa na bei sana; mb izi zipo so simple na nzuri pia? Imagina hata masikini wanaweza kusaidiwa kuweka kitu kama iki simple tu kuliko nyumba za udongo au nyasi? Ma...
  8. BARD AI

    Mahakama ya Rufaa yaizuia Serikali kukusanya Kodi ya Ujenzi wa Nyumba

    #KENYA: Mahakama ya Rufaa imeongeza amri ya kuzuia Serikali isikusanye Kodi Maalum ya Ujenzi wa Nyumba ambayo ni kati ya zinazotekelezwa kupitia Sheria ya Fedha ambayo imelalamikiwa na kuongeza Gharama za Maisha kwa Wananchi. Zuio hilo linafuatia zuio lililotolewa na Mahakama Kuu Novemba 2023...
  9. Lexus SUV

    House4Rent Kwa mahitaji ya vyumba na nyumba za kupanga, fremu za biashara Moshi mjini

    Habari wandugu ..., Nawaleteeni huduma bora kabisa na ya haraka zaidi kwa mahitaji tajwa hapo juu karibu nawe.... Zote zinapatikana Moshi mjini kona zote au mitaa yote na utazipata ka haraka zaidi ..... Na kwa ushauri wa sehemu nzuri ya kuishi , sehemu nzuri ya biashara ya fremu utapata...
  10. N

    House4Sale Nyumba inauzwa milioni 28 Mbagala Saku

    NYUMBA pichani inauzwa ipo mMbagala (SAKU) wilaya ya Ilala bei Ml 28 millioni ishirini na nane -Vyumba vitatu vya kulala kimoja máster bedroom -Sebule -Dinning -Jiko -Publick toilet Kwa maelezo zaidi na picha njoo 0714337378/0715053339
  11. N

    House4Sale Nauza nyumba maeneo mbalimbali Dar

    NYUMBA ionekanayo pichani inaizwa TSH 15,000,000 (milioni kumi na tano) mazungumo Yapo -vyumba 2 vya kulala kimoja máster -Sebule -jiko -publick toilet NYUMBA ipo Mbagala Dar es Salaam maji matitu Kwa maelezo zaidi 0714337378/0715053339
  12. Kyambamasimbi

    Kwa walioolewa: Ulikutaje Nyumba au Chumba chako uliporudi kutoka Safari ambayo ulienda peke yako bila Mwenza?

    Nilibahatika kumsindikiza dada mmoja kwake na mizigo yake akiwa amerudi safari. Sasa ile namsaidia kuiingiza vitu ndani, sebuleni nilichokiona ni hatari! Kweli sisi wanaume ni wachafu ila yule jamaa noma, gamboot na tope zake ndani, soksi juu ya meza, chupa za soda chini ya meza, mabuibui...
  13. Lycaon pictus

    Ukuta wa nje wa nyumba unatakiwa kuwa na unene kiasi gani?

    Hizi nyumba mpya za tofali za bloku mbona kama zina kuta nyembamba sana? Zinaweza kuhimili uzito wa nyumba na mikiki mikiki ya hali ya hewa? Standard inataka ukuta wa nje wa nyumba uwe na unene kiasi gani?
  14. M

    Picha: Hii husababishwa na nini kwenye kuta za nyumba?

    Hii imetokea kwenye kuta, husababishwa na nini hii hali? Kama kuna njia ya kuzia pia ningependa kuifahamu.
  15. ndege JOHN

    Mtaani kwetu leo nyumba ya kwanza kuna harusi ya mapacha, nyumba inayofuata kuna 40 ya msiba

    Hii ya Leo aisee tufanye imevunja rekodi na haijawahi kutokea popote yaani tumevamiwa na shughuli mbili. Ya kwanza ni ndoa ya kiislam tena ni mapacha wanaolewa siku moja na wanaume wawili tofauti, ni ndoa ya kiislam hapa nipo live Navizia nidoee doee tea na mandazi na baadae ubweche. Cha...
  16. Mr Why

    Nyumba Mpya Zinazozwa Chanika Zinausalama Kweli?

    Wakulungwa kumekuwa na matangazo ya nyumba mpya zinazouzwa Chanika, Chamazi na kwingineko kila kona sasa watu wengi sana wamekuwa na hofu wakitaka kufahamu usalama wa hizi nyumba isijekuwa kuna janja janja JF wapo watu hapa ni wajanja wa kufahamu mambo katika jiji hili la Dar es Salaam ingekuwa...
  17. Kijana LOGICS

    Kwanini wenye nyumba wanalazimisha wapangaji walipe Kodi kwanzia miezi 6?

    Kumetokea wimbi la wenye nyumba kutaka Kodi ya miezi 6 kwa mkupuo wengine wanataka hadi ya mwaka mzima Mfano Mimi nalipia Kodi 150,000 mwenye nyumba huaa hapokei Kodi ya mwezi mmoja anasema Kodi lazima nilipe miezi 6 au mwaka mmoja Ukiangalia ulipwaji WA fedha/Kodi haumpi mpangaji guarantee...
  18. M

    Picha: Unaweza kuishi kwenye hii nyumba?

    Kwenye maisha kila mtu ana uchaguzi wa mahali pa kuishi, kwa jinsi unavyoona utaweza kuishi kwenye nyumba hii?
  19. Jidu La Mabambasi

    Viongozi fisadi kununua nyumba Dubai, Cape Town watajwe- Kingwangala

    Kigwangalla ahoji viongozi wa umma walionunua nyumba hivi karibuni maeneo ya Masaki na Oyesterbay zenye thamani ya mpaka dola milioni 6, huku akitaja wengine wana mali za namna hiyo sehemu kama Dubai. Kigwangalla anahoji kiongozi wa umma asiyefanya biashara anatolea wapi utajiri wa namna hiyo...
  20. A

    DOKEZO Sinza kila nyumba ni kama JALALA. Walioshinda zabuni ya kuondoa taka/uchafu ni kama wameshindwa

    Wakazi wa Sinza tunawaomba uongozi wa juu kuchukua hatuola stahiki kwa uongozi ulipo sasa kuanzia ngazi ya Diwani kuja hadi serikali za mitaa kwakuwa wameshindwa kusimamia zoezi la uzoaji taka majumbani kwa ukamilifu. Tangu mwezi wa 11 mwishoni 2023 hadi leo kuna maeneo mfano Sinza c uchafu...
Back
Top Bottom