nyumba

  1. excel

    JamiiForums Tanzania Ila nyumba za Chanika😅😅😅..Nyumba inapigwa make up inawaka kinoma😅😅

    Nyie.. au rangi wanapewa bure? Nyumba inapakwa rangi 7 tofauti hadi raha😂😂
  2. Mung Chris

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa Bunju B kina nyumba za self

    Kiwanja chenye nyumba kinauzwab Bunju B Beach maeneo ya kwa Mjeshi. Kina hati. Sqm 600. Kuna self 3 double na single 2 zina vyoo nje. Wapangaji wapo. Kuna pagala halijaisha. Bei ya mwisho mil 90. Kwa anaye hitaji apuge simu 0796538437 mmiliki wa kiwanja
  3. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Mstahiki Meya Kinondoni, Rangi za Nyumba Hazitaficha Majitaka, Vumbi na Ujenzi Holela wa Kinondoni

    1/ Nimeusikia ujumbe wa Meya wa Manispaa ya Kinondoni unaowataka wananchi kupaka rangi nyumba zao ili kuboresha mandhari ya mji. Lengo la kuwa na mazingira yanayovutia ni zuri na linaweza kuungwa mkono na wengi. 2/ Hata hivyo, kabla ya kuanza kuwataka wananchi kufanya maboresho ya mwonekano...
  4. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Nyumba ya ndoto zangu(my dream house)

    Natamani nyumba ya ndoto zangu iwe ni mchanganyiko kamili wa teknolojia ya kisasa na utulivu wa mazingira ya asili. Ninaamini kuwa mazingira bora na safi kama haya yanachangia kwa kiasi kikubwa afya njema ya mwili na akili, pamoja na kuleta furaha ya kweli maishani. Ni lengo langu kuu kufanya...
  5. A

    JamiiForums Tanzania KERO Magari ya Mangi yanaharibu Nyumba Kikuba-Tukuyu

    Natokea Kijiji Cha Kikuba-katumba-Tukuyu-Rungwe. Kero yangu ni kuwa barabara inayoenda kwa kiwanda Cha MANGI(MAPOMBE) kutoka kiwanda Cha chai.. Huyo MANGI anapitisha magari makubwa mfano Mende na scania ambazo zinafanya nyumba zetu kupasuka Kwa mitikisiko na mpk kuanguka. Tunaomba Serikali...
  6. M

    JamiiForums Tanzania NyumbaManager -Mfumo unaosimamia mahesabu ya nyumba za kupanga

    Habari wote, Kama kawaida nawaletea mfumo wa kusimamia mahesabu ya nyumba au apartment za kupanga.Huu ni mzuri zaidi kwa wale wenye nyumba nyingi/apartment na wanahitaji kuweka records vizuri na kuona faida inayopatikana Mfumo unahifadhi 1.Taarifa za nyumba/apartment zako 2.Taarifa za...
  7. bless on

    JamiiForums Tanzania Nijenge nyumba ya chini au ghorofa?

    Fundi kuniambia kama unataka kujenga nyumba yenye vyumba vinne au zaidi ni bora ujenge ghorofa. Kujenga nyumba ni jambo kubwa. Unapofikia hatua ya kuamua idadi ya vyumba vya kulala, swali muhimu linajitokeza. Nijenge nyumba ya chini au ghorofa ? Fundi kashauri kama unataka nyumba yenye...
  8. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania Nyumba za ibada ndizo sehemu zinazoongoza kwa upigaji

    Ukiachana na serikali kwenye makusanyo ya hela sehemu nyingne wanapokusanya hela nyingi ni nyumba za ibada , ( kanisan &misikitini) Kama ilivyo serikalini kuwa na wadokozi wa hela ndivyo ilivyo kwa nyumba za ibada Viongozi wengi wa dini ni wezi na wahujumu uchumi wa nchi pamoja na washirika...
  9. chapati mbili na chai

    JamiiForums Tanzania Nahitaji nyumba ya kusimamia ujenzi

    Nina uzoefu na kufanya kazi kwenye ujenzi kama Kuna mtu anataka mtu wa kusimamia ujenzi wa nyumba yake Niko hapa
  10. Dalali wa Mjini

    JamiiForums Tanzania Nyumba ya kuishi au kubomoa inauzwa Mbezi njia ya Goba

    Habari maboss Kiwanja chenye nyumba kinauzwa Sqm 300 Docoment serikali ya mtaa Eneo linaangalia barabara ya kwenda mitaani ambayo inapita magari aina yote ispokuwa ya abiria na mizigo mikubwa.Kwa badae Rami itahusika. Kutoka eneo lilipo Hadi BaraBara kuu ya kwenda Goba au Madale kutokea...
  11. bless on

    JamiiForums Tanzania Simu za nyumba ni mtego unaomaliza pesa za watu

    Shtuka! Kitu unachotakiwa kuangalia kabla hujanunua simu ya "Mtumba" au ile iliyoandikwa "Refurbished" dukani. Watu wengi wakitaka kununua simu kali (kama iPhone au Samsung) kwa bei nafuu, wanakimbilia simu zilizoandikwa Refurbished (zilizokarabatiwa na kufungwa upya kwenye maboksi) wakiamini...
  12. The introvert

    JamiiForums Tanzania Je, Nyumba Imekosa Baba?

    Kwa haya yanayoendelea mimi kama kijana yananifikirisha kiukweli,ni kama kuna kitu kinamiss sidhani kama tushawahi pitia hali kama hii kabla https://www.facebook.com/share/v/1DccRyaBBW/ https://www.facebook.com/share/v/1EGHcVzfu1/ https://www.facebook.com/share/v/1F3pb91mTn/...
  13. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Wanawake mnaolipa kodi za nyumba, chakula na ada za watoto huku mkiwa na waume nyumbani wenye afya njema, mmechanganyikiwa? Are you stupid?

    Mbaya zaidi wengine mnawalipia hadi madeni yao binafsi. Acheni upuuzi. Kuna baadhi hadi mnapokea vipigo. Usiingilie majukumu ya mwanaume. He has to provide for his family.
  14. Kitomai

    JamiiForums Tanzania NYUMBA YA GHOROFA INAUZWA – MBEZI BEACH

    Je, unatafuta nyumba yenye eneo kubwa na fursa ya kuikamilisha kulingana na mahitaji yako? Hii ndiyo nafasi yako! ✅ Eneo: Mbezi Beach ✅ Ujenzi umekamilika kwa 80% ✅ Ukubwa wa kiwanja: Square mita 1,400 💰 Bei: TSh 600,000,000 (Mazungumzo yapo) Usikose fursa hii ya kupata nyumba katika eneo lenye...
  15. Governor of Bettors-GB

    JamiiForums Tanzania NYUMBA INAPANGISHWA-CHANIKA

    NYUMBA INAPANGISHWA- CHANIKA - DAR Ipo Chanika Nyeburu Karibu na Doctor Elim School maarufu Geti la Jeshi Maelezo ya Ziada:- Vyumba 3 Choo cha ndani na cha nje Maji Ina uzio( Fenced) Eneo kubwa la uwani - Mtaa uliotulia Maelezo zaidi mpigie mhusika Moja kwa Moja 0750477009
  16. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania Inauzwa, Goba maghorofani,bei milioni 570m

    FOR SALE Price Tsh 570m Sqmt 900 full title deed GOBA MAGHOROFANI 4bedrooms Karibu na lami Mtaa Mzuri Sanaa 🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717 #houseforsale #realestate #goba #daressalaam #tanzaniatiktok
  17. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Kwanini mabosi wengi ikifika muda wa kujaza kifusi kwenye nyumba huwa hamtaki?

    Eti uelewa mbovu au ni nini?
  18. prida

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa rangi za nyumba naomba msaada wenu kabla hapajakucha🙏

    Eti wakuu hiyo rangi hapo kwenye picha ni ya kupaka ndani au nje ya nyumba.? Eti ni kweli kwamba rangi ikiwa na neno EMULSION haifai kupaka nje ya nyumba? Kama rangi hii ni ya nje,je ni miongoni mwa rangi bora? Kama sio,naomba mapendekezo ya rangi bora za kupaka nje. Nyumba ilishapakwa...
  19. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba inauzwa, Kigamboni Kisota, bei milioni 450

    NYUMBA INAUZWA – KIGAMBONI, KISOTA 📍 Eneo: Kisota, Kigamboni 💰 Bei: TSh Milioni 450 Kwa maelezo zaidi au kupanga miadi ya kutembelea nyumba hiyo: 📞 Piga Simu/WhatsApp: +255 758 844 717 Fursa ya kumiliki nyumba katika eneo linalokua kwa kasi la Kigamboni. Wahi sasa!
  20. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania House4Sale Kiwanja na nyumba ya kubomoa, ipo Victoria Dar es Salaam, bei Tsh billioni 5.2

    KIWANJA chenye NYUMBA ZA KUBOMOA KINAUZWA KIPO VICTORIA KINONDON KIWANJA KIKUBWA Sana! KINA (SQM 4250) ni SAWA na (HEKARI MOJA) Ndani ya FENSI MITAA ya KISHUA SANA Inafaa kwa -APARTMENTS -SUPER MARKET -YADI ZA MALORI -SHULE KANISA -VYOVYOTE VILE -au hata MALL Kumbuka KIWANJA ni (HEKARI...
Back
Top Bottom