Kiwanja chenye nyumba kinauzwab Bunju B Beach maeneo ya kwa Mjeshi. Kina hati. Sqm 600. Kuna self 3 double na single 2 zina vyoo nje. Wapangaji wapo. Kuna pagala halijaisha. Bei ya mwisho mil 90. Kwa anaye hitaji apuge simu 0796538437 mmiliki wa kiwanja
1/ Nimeusikia ujumbe wa Meya wa Manispaa ya Kinondoni unaowataka wananchi kupaka rangi nyumba zao ili kuboresha mandhari ya mji.
Lengo la kuwa na mazingira yanayovutia ni zuri na linaweza kuungwa mkono na wengi.
2/ Hata hivyo, kabla ya kuanza kuwataka wananchi kufanya maboresho ya mwonekano...
Natamani nyumba ya ndoto zangu iwe ni mchanganyiko kamili wa teknolojia ya kisasa na utulivu wa mazingira ya asili.
Ninaamini kuwa mazingira bora na safi kama haya yanachangia kwa kiasi kikubwa afya njema ya mwili na akili, pamoja na kuleta furaha ya kweli maishani.
Ni lengo langu kuu kufanya...
Natokea Kijiji Cha Kikuba-katumba-Tukuyu-Rungwe.
Kero yangu ni kuwa barabara inayoenda kwa kiwanda Cha MANGI(MAPOMBE) kutoka kiwanda Cha chai..
Huyo MANGI anapitisha magari makubwa mfano Mende na scania ambazo zinafanya nyumba zetu kupasuka Kwa mitikisiko na mpk kuanguka.
Tunaomba Serikali...
Habari wote,
Kama kawaida nawaletea mfumo wa kusimamia mahesabu ya nyumba au apartment za kupanga.Huu ni mzuri zaidi kwa wale wenye nyumba nyingi/apartment na wanahitaji kuweka records vizuri na kuona faida inayopatikana
Mfumo unahifadhi
1.Taarifa za nyumba/apartment zako
2.Taarifa za...
Fundi kuniambia kama unataka kujenga
nyumba yenye vyumba vinne au zaidi ni bora ujenge ghorofa.
Kujenga nyumba ni jambo kubwa. Unapofikia hatua ya kuamua idadi ya vyumba vya kulala, swali muhimu linajitokeza. Nijenge nyumba ya chini au ghorofa ?
Fundi kashauri kama unataka nyumba yenye...
Ukiachana na serikali kwenye makusanyo ya hela sehemu nyingne wanapokusanya hela nyingi ni nyumba za ibada , ( kanisan &misikitini)
Kama ilivyo serikalini kuwa na wadokozi wa hela ndivyo ilivyo kwa nyumba za ibada
Viongozi wengi wa dini ni wezi na wahujumu uchumi wa nchi pamoja na washirika...
Habari maboss
Kiwanja chenye nyumba kinauzwa
Sqm 300
Docoment serikali ya mtaa
Eneo linaangalia barabara ya kwenda mitaani ambayo inapita magari aina yote ispokuwa ya abiria na mizigo mikubwa.Kwa badae Rami itahusika.
Kutoka eneo lilipo Hadi BaraBara kuu ya kwenda Goba au Madale kutokea...
Shtuka! Kitu unachotakiwa kuangalia kabla hujanunua simu ya "Mtumba" au ile iliyoandikwa "Refurbished" dukani.
Watu wengi wakitaka kununua simu kali (kama iPhone au Samsung) kwa bei nafuu, wanakimbilia simu zilizoandikwa Refurbished (zilizokarabatiwa na kufungwa upya kwenye maboksi) wakiamini...
Kwa haya yanayoendelea mimi kama kijana yananifikirisha kiukweli,ni kama kuna kitu kinamiss sidhani kama tushawahi pitia hali kama hii kabla
https://www.facebook.com/share/v/1DccRyaBBW/
https://www.facebook.com/share/v/1EGHcVzfu1/
https://www.facebook.com/share/v/1F3pb91mTn/...
Mbaya zaidi wengine mnawalipia hadi madeni yao binafsi. Acheni upuuzi. Kuna baadhi hadi mnapokea vipigo. Usiingilie majukumu ya mwanaume. He has to provide for his family.
Je, unatafuta nyumba yenye eneo kubwa na fursa ya kuikamilisha kulingana na mahitaji yako? Hii ndiyo nafasi yako!
✅ Eneo: Mbezi Beach
✅ Ujenzi umekamilika kwa 80%
✅ Ukubwa wa kiwanja: Square mita 1,400
💰 Bei: TSh 600,000,000 (Mazungumzo yapo)
Usikose fursa hii ya kupata nyumba katika eneo lenye...
NYUMBA INAPANGISHWA- CHANIKA - DAR
Ipo Chanika Nyeburu
Karibu na Doctor Elim School maarufu Geti la Jeshi
Maelezo ya Ziada:-
Vyumba 3
Choo cha ndani na cha nje
Maji
Ina uzio( Fenced)
Eneo kubwa la uwani
- Mtaa uliotulia
Maelezo zaidi mpigie mhusika Moja kwa Moja
0750477009
FOR SALE
Price Tsh 570m
Sqmt 900 full title deed
GOBA MAGHOROFANI
4bedrooms
Karibu na lami
Mtaa Mzuri Sanaa
🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717
#houseforsale #realestate #goba #daressalaam #tanzaniatiktok
Eti wakuu hiyo rangi hapo kwenye picha ni ya kupaka ndani au nje ya nyumba.?
Eti ni kweli kwamba rangi ikiwa na neno EMULSION haifai kupaka nje ya nyumba?
Kama rangi hii ni ya nje,je ni miongoni mwa rangi bora?
Kama sio,naomba mapendekezo ya rangi bora za kupaka nje.
Nyumba ilishapakwa...
NYUMBA INAUZWA – KIGAMBONI, KISOTA
📍 Eneo: Kisota, Kigamboni
💰 Bei: TSh Milioni 450
Kwa maelezo zaidi au kupanga miadi ya kutembelea nyumba hiyo:
📞 Piga Simu/WhatsApp: +255 758 844 717
Fursa ya kumiliki nyumba katika eneo linalokua kwa kasi la Kigamboni. Wahi sasa!
KIWANJA chenye NYUMBA ZA KUBOMOA KINAUZWA
KIPO VICTORIA KINONDON
KIWANJA KIKUBWA Sana!
KINA (SQM 4250) ni SAWA na (HEKARI MOJA)
Ndani ya FENSI
MITAA ya KISHUA SANA
Inafaa kwa
-APARTMENTS
-SUPER MARKET
-YADI ZA MALORI
-SHULE KANISA
-VYOVYOTE VILE
-au hata MALL
Kumbuka KIWANJA ni
(HEKARI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.