Natakiwa kufika Dar kesho jioni, nipo Simiyu Bariadi mda huu.Kama Kuna dereva yeyote anapita njia hii naombeni msaada wakuu nina 40k tu mfukoni

Natakiwa kufika Dar kesho jioni, nipo Simiyu Bariadi mda huu.Kama Kuna dereva yeyote anapita njia hii naombeni msaada wakuu nina 40k tu mfukoni

Hornbil

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2025
Posts
479
Reaction score
413
Wakuu natakiwa siku ya kesho niwe Dar ila nauli ya kufika Dar Sina nina 40k tu, naombeni kama Kuna dereva anapita hii njia ya Bariadi - dar anipe rift nifike dar wakuu.

Naombeni sana madereva 🙏

Update;Nilifanikiwa na maisha yanaenda fresh tu
 
Sasa ndugu yangu ni sawa, ndio una nauli ya 40k kula je, ukafka kulala je, ukalala ukaamka nauli ya dadalala je, au ndo utazamia stendi jumla. Au unakuja dar kuolewa? (am sorry kama wewe ni mwanamme) ila kama umejipanga na mengne wewe nenda mpaka town iliyopo karibu na hapo ulipopataja uwaeleze wa hapo stendi kuna wanajua madereva wa kwenda dar watakusaidia coz jf penyewe hata kama ni msaada mtu atakupataje na mawasiliano hujaweka hata namba!
 
Nipo somanda Jua linawaka vilivyo
20260506_095454.jpg
 
Kufikia na kulala haina shida mkuu,yaani Mimi nifike tu kimara kesho .Mambo yangu yatakaa tu sawa mkuu.
Imekua dharura ndio maana nafanya Kila namna kupata msaada.

Mimi ni man though
Shida yangu sio Siri na mawasiliano yangu +255757993812
nenda hapo nilipokwambia hutakosa hata lori la kuja dar bro usiogope kujieleza amini hutakosa msaada lakin hapa jf ndugu yangu?!@% nakutakia kila la heri
 
nenda hapo nilipokwambia hutakosa hata lori la kuja dar bro usiogope kujieleza amini hutakosa msaada lakin hapa jf ndugu yangu?!@% nakutakia kila la heri
Sawa ndugu yangu,Sina ninachoogopa ila tu wengi ninaowatajia kiasi nilichonacho wanaishia tu kucheka.
Though bado sijakata tamaa
 
Sawa ndugu yangu,Sina ninachoogopa ila tu wengi ninaowatajia kiasi nilichonacho wanaishia tu kucheka.
Though bado sijakata tamaa
we amini utampata wako tu tena hata utashangaa mara ya mwisho unapata gari utalosafiri bila kuchoka
 
Back
Top Bottom