nida

National Identification Authority (NIDA) /Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa ni chombo cha kusimamia Vitambulisho vya Taifa nchini Tanzania.
  1. Kilele9

    TRA, NIDA na TCRA zishirikiane

    Viongozi na wataalamu wa TRA, TCRA na NIDA shirikianeni msiwe kama mpo nchi tofauti. Inavyoonekana hamuishauri serikali ipasavyo kwa kutokushirikiana kwenu. Serikali inapata kiasi kikubwa cha fedha kama kodi kupitia miamala inayofanyika kupitia mitandao ya simu. Kufungwa kwa laini za simu hata...
  2. Superbug

    Unachotakiwa kufahamu kuhusu kadi za NIDA

    Yajue haya kuhusu kadi za NIDA. Kwanza zina taarifa nyingi mno ulizijaza wewe mwenyewe bila kuambiwa kwanini. Kiufupi kadi za NIDA zina haya yafuatayo. 1. Mwaka wa kuzaliwa. 2. Tarehe ya kuzaliwa. 3. Namba ya mkoa. 4. Namba ya wilaya. 5. Namba ya kata. 6. Namba mtaa/ Kijiji. 7. Baba na mama...
  3. Bonde la Baraka

    Kwa hili la wananchi kufurika ofisi za NIDA ili kuokoa line zao zisifungwe linaonyesha kuwa ufahamu wa wananchi bado ni duni

    Habari ndugu wananchi! Mafuriko ya wananchi kwenye ofisi za NIDA hasa kipindi hiki kuelekea tarehe za kufungwa line ambazo hazijasajiliwa kwa alama za vidole linatupa ukakasi juu ya ufahamu na uelewa wa wananchi. Kitambulisho cha taifa si kwa ajili ya kusajilia line, suala la kitambulisho cha...
  4. Syston

    NIDA mliangalie hili

    Leo uzi wangu naikosoa NIDA hasa katika kipengere hiki cha kuprint ID copy online. Ni jambo zuri na mnastahii kupongezwa kwa hilo ila mtu aliyepitia adha za huduma hii hawezi kuwapongeza, mimi nikiwemo. Tuanze hivi, nilienda statinary kuprint ID nikaambiwa 4000, nikaona siwezi kuvumilia ujinga...
  5. D2050

    Waziri wa mawasiliano kabla ya kufungia line zetu mkawafunge kwanza NIDA

    Leo tarehe23_12_2019 Watanzania wengi wamejiandikisha Nida ili kupata namba za kitambulisho waweze kusajili line zao,wapo watanzania ambao hawajapata hizo namba hadi leo.wakati walishajiandikisha toka mwezi wa kumi. waziri wa mawasiliano unapokuja hadharani kusema utazifungia line za watanzania...
  6. talentbrain

    NIDA: Taasisi iliyofeli kuingiliana na jamii

    Habari zenu watanzania wenzangu. Ni Mara ya pili naanzisha Uzi (makala) hapa inayoihusu taasisi hii nyeti imeyopewa mamlaka makubwa na serikali yetu kutupatia vitambulisho vya Taifa. Kwa umuhimu wa vitambulisho hivi ni wazi taasisi hii ni muhimu sana kwa watanzania wote. Huwezi kupata passport...
  7. Suley2019

    TCRA: Laini zote ambazo hazijasajiliwa kwa namba za NIDA zitafungwa kufikia Desemba 31, 2019

    Mamlaka hiyo imesema kwamba hakuna laini ya simu itakayofungwa kabla ya tarehe hiyo. Aidha, imesema wananchi wanatakiwa kwenda kusajili laini zao kwa kutumia vitambulisho vya uraia, na kuthibitisha usajili huo kabla ya muda uliowekwa kwa kuwa hakutakuwa na mabadiliko ya kuzifunga. Akizungumza...
  8. KENZY

    Tamko la Rais mkoani Morogoro kuhusu NIDA mpaka sasa hivi mrejesho wake ni upi..?

    Mbona kama NIDA bado haieleweki hata baada ya rais kutoa tamko kule morogoro kwa kumtaka mkurugenzi wa NIDA kutatua changamoto hii ya upatikanaji wa huduma ya vitambulisho vya taifa..? Nini mrejesho wa NIDA kuhusu utekelezaji wa kusambaa wilaya zote ili watu wapate vitambulisho kabla ya azimio...
  9. Bonde la Baraka

    Hivi namba za NIDA kwa tuliojaza Ajira Portal tangu zamani tunaziweka sehemu gani?

    Habari waungwana? Kuna nafasi ya kazi nimeiona utumishi, nataka kuiomba but nasikia siku hizi ID au namba za NIDA ni muhimu katika kujaza Ajira Portal. Mimi nilijaza kitambo, je naweza kuomba nafasi mpya bila kuweka number za NIDA? Kama ninataka kuziweka naweka sehemu gani? Asanteni.
  10. sayoo

    NIDA wanapataje hela za kutoa gawio kwa serikali?

    Naomba kuuliza hivi hawa NIDA wanapataje pesa za kutoa gawio kwa serekali?
  11. Papaa Mobimba

    Rais Magufuli: Huduma za NIDA ziwe kila Wilaya au NIDA watoe hela ya 'guest' kwa Wananchi. Ukiona bei ya mahindi iko juu, kalime yako

    Rais Magufuli amemuagiza Mkurugenzi Mkuu wa NIDA, Dkt. Arnold M. Kihaule kufika Mkoani Morogoro leo na ikiwezekana akae Mkoani humo hata siku tatu ili kushughulikia tatizo la Watu wengi kukosa Vitambulisho vya Taifa huku Mkoa mzima ukiwa na ofisi moja pekee ya NIDA. Rais Magufuli ametoa agizo...
  12. Mavipunda

    Hili tatizo la RUSHWA kwenye ofisi za NIDA wahusika wanajua?

    Kuna kudaiwa rushwa kulikovuka mipaka katika hili zoezi la vitambulisho vya taifa, Hali imekuwa mbaya zaidi baada ya vitambulisho hivyo kutumika kusajili simu ambapo mwisho ni Desemba mwaka huu. Yalinikuta binafsi ila nikaamua niachane na kitambulisho na line nimesajili kwa kitambulisho cha...
  13. kagombe

    Msaada wa NIDA unahitajika

    Nauliza hivi, toka nipate number yangu na copy ya kitambulisho inachukua muda gani kupata kitambulisho halisi maana nikiwatumia ujumbe katika email yao najibiwa hivi: Ujumbe wako haujatufikia, tafadhali jaribu tena.
  14. Dusabimana

    Watu wasio kuwa na sifa za kuwa raia wa Tanzania upo uwezekano wa Wao kupata vitambulisho vya NIDA

    Kama kichwa cha Habari ulivyo soma hapo juu.Ni kwamba kuna changamoto katika utoaji wa Vitambulisho vya Taifa,hasa kwa Mikoa inayo pakana na Nchi jirani. Mfano ni Mkoa wa Kigoma, unakuta baadhi ya Watu wana wamiliki Warundi kwa miaka mingi na kuwafanyisha kazi za Majumbani,Mitaani na...
  15. M

    Umihimu Wa Kitambulisho Cha NIDA ni nini?

    Mi swali langu limenyooka sana. Umihimu wa kuwa na kitambulisho cha NIDA ni nini? Maana tukienda kutengenezesha Passport mpya tunahitajika ku wasilisha vyeti vya kuzaliwa na vinginevyo. Mimi kwa akili yangu nilikuwa nafikiria kuwa tukishapata Kitambulisho cha NIDA basi tena kutakuwa hakuna...
  16. Mwana Mpotevu

    Rais Magufuli awarudisha nyumbani mabalozi 6, amtimua Mkurugenzi NIDA. Madeni Kipande afukuzwa kazi!

    Rais Magufuli ameamuru kurudi nyumbani mabalozi wawili haraka akiwemo Dr Batilda Buriani, Dr James Nsekela wa Italia na Peter Kalaghe wa Uingereza Pia Mkurugenzi mkuu wa NIDA Bw Mwaimu amesimamishwa kazi kuanzia sasa. Akitangaza hatua hiyo, Katibu mkuu kiongozi Ombeni sefue amesema Batilda na...
Back
Top Bottom