Rais Mstaafu Jakaya Kikwete apatiwa namba ya NIDA

KISIWAGA

JF-Expert Member
Oct 22, 2015
8,024
16,490
Rais wa Awamu ya 4, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete leo Januari 18, 2020 amesajili laini yake kwa njia ya kieletroniki, huku akiwahasa Watanzania wengine kujitokeza kushiriki zoezi hilo, kwa kuwa mwisho ni Januari 20, 2020.

jk-kikweteeeeee-600x343.jpg

Rais wa Awamu ya 4, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete leo Januari 18, 2020 akisajili laini yake kwa njia ya Kieletroniki

Rais Mstaafu ameshiriki zoezi hilo leo ambapo amesema hatua ya kufanya hivyo ni kufuatia kuhimizwa na mfano aliouonesha Rais Dkt. John Pombe Magufuli alipofanya mwishoni mwa mwaka 2019.

Screen-Shot-2020-01-18-at-16.32.54.png


Mpaka sasa bado siku 2 zoezi hili lifungwe.
 
Kisha taratiibu mfalme alianza kusikiliza sauti nadhifu ya yule dada wakwanza aliyesema kuwa anatamani aolewe na muoka mikate wa mfalme Kisha aliyaweka maneno hayo katika kitabu Cha kumbukumbu. Hakika muonekano wa mabinti hao ulikuwa wa kikiwa sana
 
Rais wa Awamu ya 4, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete leo Januari 18, 2020 amesajili laini yake kwa njia ya kieletroniki, huku akiwahasa Watanzania wengine kujitokeza kushiriki zoezi hilo, kwa kuwa mwisho ni Januari 20, 2020.
jk-kikweteeeeee-600x343.jpg

Rais wa Awamu ya 4, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete leo Januari 18, 2020 akisajili laini yake kwa njia ya Kieletroniki
Rais wa Awamu ya 4, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete leo Januari 18, 2020 akisajili laini yake kwa njia ya Kieletroniki
Rais Mstaafu ameshiriki zoezi hilo leo ambapo amesema hatua ya kufanya hivyo ni kufuatia kuhimizwa na mfano aliouonesha Rais Dkt. John Pombe Magufuli alipofanya mwishoni mwa mwaka 2019.
Screen-Shot-2020-01-18-at-16.32.54.png

Mpaka sasa bado siku 2 zoezi hili lifungwe.
Kumbe hatumii ttcl? Hadi Sasa Ni JPM na jk tu waliosajiri? Vipi kenge lugoba? Sijamwona akisajiri
 
Back
Top Bottom