nida

National Identification Authority (NIDA) /Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa ni chombo cha kusimamia Vitambulisho vya Taifa nchini Tanzania.
  1. Richmoto Kushmoto

    JamiiForums Tanzania Wakuu nisadieni jinsi ya kupata copy ya kitambulisho cha NIDA ni muhimu sana

    nina shida sana na copy ya kitambulisho cha kwaajili ya bank akaunt nilipewa emaili ya meneja wa NIDA wa Iringa lakini maeneo ya kazi wanakwepa kutuma barua ya dharula kwa njia ya email kuna anayeweza kunitolea copy ya kitambulisho cha nida humu sipo sana coz simu kubwa sina ni very serious...
  2. figganigga

    JamiiForums Tanzania Uhamiaji, NIDA na RITA, mfungulieni Kesi ya Uhujumu Uchumi Diamond Platnumz kwa Kumiliki nyaraka fake za Serikali. Vitambulisho vyote anyang'anye

    Salaam Wakuu, Vyombo vya Serikali viache double standard. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimzawadia kofia msanii Naseeb Abdul maarufu kama Diamond Platinumz baada ya kutumbuiza maelfu kwa maelfu ya wananchi waliohudhuria mkutano wa kampeni Uwanja wa CCM...
  3. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania HESLB Mikopo kuunganishwa na NIDA, TIN, Passport na kadi za benki

    Abdul Razaq Badru Mkurugenzi wa Bodi amefafanua kwamba mnufaika ataanza kulipa baada ya miezi 24 [miaka 2 ] kama hana ajira. Baada ya hapo Deni linakuwa kwa 10% kila mwaka. Watu ambao hawajaajiriwa kwenye sekta rasmi wanapaswa kurejesha 100,000/= au ASILIMIA KUMI 10% ya pato analolipia kodi...
  4. PAZIA 3

    JamiiForums Tanzania GE2020 Leseni ya Udereva, Kitambulisho cha NIDA na Hati ya Kusafiria kutumika katika kupiga Kura Oktoba 28

  5. STUKA M1

    JamiiForums Tanzania Kuhitajika namba za NIDA wakati wa application SUA

    Wadau, wakati nafanya application SUA. Nimekutana na kipengele kinachohitaji namba ya NIDA.. Sasa kama hauna inakuwaje hapa.!!, kuna mtu yeyote kakutananacho hiki kipengele..?
  6. O

    JamiiForums Tanzania Muda wa Kupata Passport ya Kusafiria

    Nauliza
  7. Syston

    JamiiForums Tanzania NIDA bado tatizo: Wafanyakazi wa NIDA wanachukulia watanzania hatuna akili

    Wanajamii, nafikiri wafanyakazi wa NIDA wanachukulia watanzania hatuna akili. Binafsi nimejiandikisha tangu mwaka jana mwezi wa 3 lakini kila nikifuatilia kitambulisho naambiwa kwa sasa wanatoa namba tu vitambulisho wamesitisha. Kwa akili ya kawaida huu ni upumbavu uliokithiri kwa sababu; 1...
  8. The Humble Dreamer

    JamiiForums Tanzania Dirisha la kutuma maombi ya Ajira za Ualimu lafunguliwa rasmi. Vigezo vyawekwa wazi, namba ya NIDA yawa kigezo muhimu

    Wakuu Salaam; Ofisi ya Rais-Tamisemi imefungua rasmi dirisha la kutuma maombi ya ajira kwa sekta ya elimu. Kila aliye na sifa anaweza kuomba ajira hiyo kupitia link ifuatayo :https://ajira.tamisemi.go.tz/ . Kigezo cha kua na kitambulisho au namba ya NIDA kimejumuishwa kama msingi kwa...
  9. A

    JamiiForums Tanzania NIDA IIala ni aibu na fedheha kwa Serikali

    Wadau nimekuwa nikifuatilia kitambulisho changu cha uraia tangu mwaka jana, Kila siku umekuwa danadana. Kilichonifanya nilete Uzi huu no uzembe wa mamlaka pale unapokatika umeme kushindwa kutimiza majukumu yao kwa kisingizio cha kukatika umeme wakati wanayo standby generator. Nilipouliza...
  10. Jimbi

    JamiiForums Tanzania NIDA Kuna shida gani mbona hampokei simu?

    Wakuu, Mamlaka ya NIDA imeorodhesha namba hizi kwaajili ya mawasiliano kwa sisi wateja wao wenye changamoto mbali mbali kutokana URASIMU wao; 0752 000058, 0677 146667, 0777 740008, na 0735 201020. Jambo la kushangaza na KUUDHI, namba hizo kila ukipiga simu HAZIPOKELEWI wala kujibiwa chochote...
  11. D

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli ofisi za NIDA zimefungwa?

    Leo nilikwenda ofisi za NIDA Pwani pale Kibaha. Ili uingie NIDA inabidi kuanzia uhamiaji. Sasa ile nimefika uhamiaji wakaniambia NIDA hawafanyi kazi kisa KORONA. hebu wadau huko mliko NIDA wamefunga ofisi??
  12. Kimwerymdodo5

    JamiiForums Tanzania Eid Mubarrak to all members of JamiiForums

    Eid imeangukia Mokonda Day😁😁. Enewei, muwe na sikukuu njema wakuu.
  13. M

    JamiiForums Tanzania NIDA sasa kutengeneza vitambulisho kwa miezi 3

    Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa (NIDA), imefunga mitambo miwili yenye uwezo wa kuzalisha vitambulisho 9,000 kwa saa ikiwa na uwezo mkubwa zaidi kulinganisha na mitambo iliyokuwepo awali iliyokuwa inazalisha vitambulisho 200 – 250 kwa saa. Taarifa hiyo imetolewa na kitengo cha mawasiliano na...
  14. BASIASI

    JamiiForums Tanzania Kwa matokeo haya labda Yanga tukagombee namba za NIDA

    Najuaaa tunapopitia sihaba kuamini akuna kipya mbeleni. Kwa matokeo haya tukapange tu foleni pale Kawe tugombanie namba za NIDA. Sioni tunachoshindania mpaka sasa ajabuu unakaa bar kula unaonaa kundi la watu linaingia kuangalia Yanga as if wanagombani kakombe fulani.
  15. Matojo Cosatta

    JamiiForums Tanzania Kanuni mpya za usajili wa laini za simu: Masuala muhimu ya kujua

    Kanuni mpya za usajili wa Laini za Simu za mwaka 2020 zimetangazwa kwenye Gazetti la Serikali la tarehe 7 February, 2020 kama Tangazo la Serikali No. 112 la 2020. Jina fupi (short title) la Kanuni hizo ni the Electronic and Postal Communications (SIM Card Registration) Regulations, 2020...
  16. BASIASI

    JamiiForums Tanzania Hakiki kama namba yako ya NIDA imetumika kutengeneza line za wengine *106#

    NIDA WAMETOA MWONGOZO KUTOKANA NA MALALAMIKO KWA BAADHI YA NAWAKALA KUTUMUA NAMBA ZA WATU ZA nida kutengeneza line za watu Serikali kushirikiana na nida inaomba kila mwananchi kuhakiki kama namba zilizopo n za KWAKE ama.LAH NENDA *106# hapo elekea namba 2 andika namba ZAKO za nida ukionaa...
  17. Dusabimana

    JamiiForums Tanzania Wananchi wilaya ya Kasulu wanarejeshewa fomu zao za NIDA

    Huku TCRA wakiendelea kufungia Watu Line zao katika Wilaya ya kasulu NIDA wanawarejeshea Wananchi fomu zao ili wakahojiwe upya! Mwezi January mwaka huu walianza kutoa namba kwa baadhi ya watu wachache huku Watu wengi wakiwa bado hawajapata ! Ghafla tena J'pili ya February 2 tangazo likasikika...
  18. C

    JamiiForums Tanzania NIDA

    Serikali kupitia mamlaka yake ya Usajili wa Vitambulisho vya Taifa (NIDA) ilitoa muongozo wa kupata namba yako ya NIDA kwa njia ya kielectronic kama tayari MTU kishafika kwenye mamlaka halisi na kujisajili lakini anasubilia namba. Cha kushangaza ,Unapo andika ombi La kupata namba huambiwa ombi...
  19. K

    JamiiForums Tanzania NIDA wasitisha kutoa nakala ya vitambulisho online

    Nakusogezea hii taarifa mpya kutoka Mamlaka ya Vitambulisho Taifa NIDA ambapo wamesitisha zoezi la kutoa nakala ya Vitambulisho kupitia mtandao.
  20. K

    JamiiForums Tanzania Msaada kwa marekebisho ya taarifa za NIDA

    Wakubwa mdogo wangu alijiandikisha NIDA mwezi December mwaka jana leo ameenda kuangalia kama namba yake imerudi ila ameambiwa eti aanze process upya kwa kuwa jina lake lilikosewa kwahiyo namba haiwezi kurudi. Hivi ni kweli mtu ambaye jina lake limekosewa anatakiwa kuanza process upya au jamaa...
Back
Top Bottom