Wakubwa mdogo wangu alijiandikisha NIDA mwezi December mwaka jana leo ameenda kuangalia kama namba yake imerudi ila ameambiwa eti aanze process upya kwa kuwa jina lake lilikosewa kwahiyo namba haiwezi kurudi.
Hivi ni kweli mtu ambaye jina lake limekosewa anatakiwa kuanza process upya au jamaa wameamua tu kumzingua,mwenye taarifa sahihi azimwage hapa ili ziwasaidie na wengine wenye tatizo kama hili maana NIDA hawana muda wa kumuelekeza mtu mpaka akaelewa.
Hivi ni kweli mtu ambaye jina lake limekosewa anatakiwa kuanza process upya au jamaa wameamua tu kumzingua,mwenye taarifa sahihi azimwage hapa ili ziwasaidie na wengine wenye tatizo kama hili maana NIDA hawana muda wa kumuelekeza mtu mpaka akaelewa.