Salam wadau wa JF
Lengo kuu la thread ni kuomba ushauri Pamoja na msaada wa kimawazo ikiwezekana..
Ni kuwa mimi niko kwenye harakati za kufanya Muziki(baadhi ya wadau ambao wamepata kunisikiliza wananipa moyo sana kuwa muziki nauweza ukianzia kwenye uandishi wa nyimbo..nk)
Tatizo ni kuwa...