nguo

  1. Expensive life

    Ukitaka kutoboa kwenye biashara ya nguo, lenga wanawake na watoto hapo utakuwa ume-win

    ndugu zangu hivi mnajua biashara ya nguo inalipa sana? Ila siyo kirshisi kama usipokuwa mjanja, mjanja kivipi? Nguo za wanawake na watoto zinatoka sana, zingatia location nzuri ya biashara yako, yaani pawe na muitiko mzuri wa watu. Point nguo kali ambazo ni rahisi mtu kuvutika kwa haraka...
  2. Lucha

    Je, kuna ubaya kuchoma nguo zako zilizochakaa?

    Habari zenu? Wiki kadhaa zilizopita niliamua kuchambua nguo zangu zote ambazo hazivaliki baadhi zilikuwepo nzuri na baadhi zikawepo zilizochakaa sana, nikaamua kugawa zile nzuri na zile chakavu ambazo hazifai nikaamua kubaki nazo, kwasababu zilikuwa zimechakaa na zimechanika sana isingependeza...
  3. JORDAN GADI TWARINDWA

    Tofauti kati ya nguo na mavazi Kibiblia

    Utangulizi; ----------------- Ipo Tofauti Kati ya Nguo na Mavazi.. Kwa Tafsiri Ya Kiroho, sawasawa Na Ufunuo wa Roho Mtakatifu.. NGUO--- GARMENT. MAVAZI--- VESTURE. Nguo ni ile uivaayo ukiwa katika shughuli zako za; Kijamii, Uchumi na Maendeleo.... Lakini VAZI, Ni ile uivaayo ukiwa katika...
  4. S

    Sikio la kufa halisikii dawa: Mtuhumiwa na watu wake wadaiwa kusambaza video ya Pauline akimuhoji kijana husika

    Kwa mshangao mkubwa, nimeoni picha ya kijana husika kwenye clip akihojiwa na mwanamke anaetajwa kuwa ni Pauline (haonekani katika video) na kwa maelezo ni kuwa clip hiyo yenye kuonyesha sura ya huyo kijana akihojiwa na Pauline imesambazwa na Pauline na watu wake. Sasa huku sio ndio kujimaliza...
  5. Equation x

    Kazi ya ushonaji nguo

    Fundi mzuri wa kushona nguo za kiume na kike, anahitajika; akiwa ni wakike itakuwa vizuri zaidi. Malipo: 3000 kwa siku + 10% ya faida katika mauzo kwa mwezi Faida zingine: Chai ipo (free) Chakula cha mchana kipo (free) Eneo la kazi: Arusha au Moshi Kama una huo ujuzi; utakutanishwa na...
  6. Tlaatlaah

    Kiafya, nguo ya ndani inataka kuvaliwa siku ngapi?

    Kwema Ndugu zangu, Naomba kufahamu jambo hili muhimu tunalo linalofanya sote kila siku na linalofahamika pakubwa na Jamii duniani pote. Kiafya, nguo za ndani za kike na kiume, mathalani chupi, boxer, sidiria, singland socks na kadhalika zivaliwe siku ngapi kisha ubadili au kuzifanyia usafi ili...
  7. D

    Uzalendo sio kuvaa nguo zilizoshonwa kwa vitenge vya bendera ya Taifa

    Watu wengi tumekuwa katika fikra ya kwamba uzalendo ni kuwa tayari kuipigania nchi yako. Huo ndio ukweli lakini uzalendo pia unaambatana na mapenzi ya dhati kwa taifa lako. Mapenzi haya ndio watanzania wengi tunayakosa yaani hatuna uchungu na Taifa letu la Tanzania pamoja na rasilimali zake...
  8. Suley2019

    Iringa: Mke wa Mtu na Mume wa Mtu wafia Mgahawani wakiwa uchi

    Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Swiga John Mwakalobo (35) ambaye ni Mfanyabiashara wa mgahawa pamoja na Mwanaume ambaye amefahamika kwa jina la Jacob Chang’a wote Wakazi wa Kata ya Mkwawa Wilaya na Mkoa wa Iringa wamekutwa wamefariki ndani katika mgahawa huku wakiwa watupu (bila nguo)...
  9. Lexus SUV

    Dar ni mji wa ajabu sana, mtu anaweza vaa nguo/viatu hazijakauka lakini zika kauka akiwa amevaaa

    Walaaaaaahiii mtumeewww 5 moko , kimoko tuuu chaliii wanaumeeee tukapiga vitano vya afyaa boraaa hahhhahahhhgh Ebana heeeeeh ndo ikawa hivyo ...mvua hii people zinavaa nguo hazijakauka na life linasongaa kibabere Karibuni kwa makasiriko...
  10. Kiplayer

    Kuwavulia nguo wahitaji ni hatari

    Simaanishi kilichokuja kichwani mwako. Kuvua nguo kwa hapa namaanisha kutoa msaada wa mavazi ambayo wewe ulikuwa unavaa. Katika Imani za kiroho/kishirikina mavazi inaaminika Yana nafasi yake katika kuomba mabaya au mazuri kwa mtu mvaaji. Ukimpatia mhitaji halafu wenye Nia ovu waingilie kati na...
  11. Vincenzo Jr

    Tabia ya wasanii wa kiume kuvaa nguo za kike na kutoboa masikio ni ujinga!

    Inasikitisha sana kumuona mtoto wa kiume kavaa nguo ya kike. Hii imekaaje kwa wasanii wetu wa kiume?
  12. A

    Chimbo la Nguo za Awali mtoto mchanga

    Mwenye kujua chimbo kko la bei nzuri nguo za awali za mtoto mchanga naomba unielekeze
  13. N

    Naomba kuuliza kuhusu wauza nguo Ilala

    Habari zenu wanajamii, naomba kuuliza kuhusu wale jamaa wa pale Ilala Boma wanaouza nguo kwa kutaja bei hususani zile tishet, huwa wanazitoa wapi maana huziweka kwenye mifuko tu ya kawaida zikiwa zimekunjwa vizuri. Je zina ubora upi au kuna kaujanja wanafanya.
  14. chakutu

    Wanafunzi wawachomea wenzao nguo

    Wanafunzi wa shule ya Sekondari Mpwapwa – Dodoma wamechoma matranka na nguo za wanafunzi wenzao. baada ya viongozi wa wanafunzi kutoelewa na wanafunzi wenzao
  15. chakutu

    Wanafunzi wakaidi na waanzilishi wa fujo wa Shule ya Sekondari Mpwapwa, Dodoma wachoma matranka na nguo za wanafunzi wenzao

    Wakaidi hao Wanajigamba hakuna Mwalimu yeyote wala Mkuu wa Shule anayeweza kuwafanya chochote, Mpaka sasa Wanafunzi wanaendelea na Masomo. Ninachojiuliza ni hivi kama wangeunguza Mabweni ingekuwaje ? Mali zote za shule kongwe kwa kweli zingeungua pamoja na Vifaa vyao
  16. Afande Macha

    Nauza bag limejaa nguo!

    Nguo jumla zipo zenyewe ni kadet zipo 4 jeans zipo 3 track suit 1 Size ya kiuoni ni 30/31 nguo zote. Nakuuzia zote na bag nakupa Bure kwa jumla 40,000 tu. location: Ubungo Kibangu nitumie SMS: 0752 565852
  17. S

    Naomba kujua mshahara wa muuza duka la nguo Kariakoo

    Habari wana Jamiiforums? Naomba kujuzwa range ya mshahara wanaolipwa vijana wanaouza kwenye maduka ya nguo kariakoo. Na baadhi ya Vipengele muhitimu kwenye makubaliano baina ya boss na mfanyakazi.
  18. S

    Wahudumu wa bar bila kuvaa nguo fupi, biashara haiendi?

    Hili ndio swali ambalo siku zote huwa najiuliza. Nani aliwaambia wamiliki wa bar kuwa wanaume tunaenda bar kuangalia mapaja na sio kufuata huduma bora? Na hili tutasingizia wazungu au utandawazi? Vidada vingine hata miguu na mapaja havina, ila vinalazimika tu kujianika. Pumbafu kabisa.
  19. K

    Duka la nguo za watoto

    Habari Naomba ushauri juu ya biashara ya nguo za watoto pamoja na mazaga zaga yanayo husu watoto Nina 5 Milioni, io n pesa ya kununua mzigo tu, namaanisha mbali na kodi ya chumba Je kwa uzoefu wa wenye kuifanya hii kazi, naweza toboa au laaa!!?? Location yangu ni Tunduma
  20. Pascal Ndege

    Hekima: Usitoe sana sadaka bila kujibakiza, tumia akili sana, uliza moyo wako, angalia watoto na familia, angalia nguo na viatu vyako ndio utoe sadaka

    Hapo zamani tulikuwa na wazungu walitufundisha kuwa Mungu huwasaidia watu wanaojisaidia wenyewe. Hawa wazungu walimaanisha ukifanyakazi kwa bidii na kumtumainia Mungu ndio utafanikiwa. Nimekutana na waumini flani wanatoa sadaka hadi wanakosa nauli ya kurudi nyumbani. Niliwahi kuona mke wa mtu...
Back
Top Bottom