Wazo la uchumi kwa Tsh.50,000,000 kwa kijana: Uundaji wa kiwanda cha Nguo

Wazo la uchumi kwa Tsh.50,000,000 kwa kijana: Uundaji wa kiwanda cha Nguo

Masalu Jacob

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2017
Posts
1,402
Reaction score
1,560
Habari Waziri wa Vijana Tanzania !.

Nakuomba niweke hapa wazo langu wazi wazi endapo ukinipatia hiyo Milioni hamsini (Tsh.50,000,000/=).

Nakusudia kuanzisha Kiwanda cha Uundaji wa nguo (Work on progree products) yaani kuchakata kitambaa kuwa nguo au vazi kamili( Finished products).

Kupitia mchanganuo ufuatao.
Gharama
1. Malighafi
2. Eneo la kiwanda
3. Vyerehani (100pcs)
4. Wafanyakazi 120 (Moja kwa moja ) na wengine wafanyakazi nje na kiwanda watu 50,000.
5. Utengenezaji wa E-commerce Website.
6. Gharama za Usajili: Brela, Halmashauri, TRA, Osha nk

Unajua nini !?...
Kabla hata uzalishaji haujaanza kufanya kazi naweza kugenerate zaidi ya Milioni 100. Hizi zinapatikana kwa njia Ifuatayo:

1. Kupitia E-commerce nitaweka utaratibu wa Wafanyabiashara vijana wanaotaka kufanya kazi na Kiwanda hiki wajisajili kwa Ada ya Tsh.25,000/=. Nakusudia awamu ya kwanza kuwa na wateja jumla ya watu 4,000.

2. Hawa wateja 4,000 vijana wa moja kwa kiwanda. Nitaweza kuwafanya kuwa Products Distributors hapa nchini. Ndio nitakao anza nao kufanya kazi moja kwa moja.

3. Tutatengeneza Online media+ Vipeperushi vyake kwa kuanza mauzo ya bidhaa zetu moja kwa moja na kujipatia kipato kupitia matangazo ya watu na viwanda vingine vidogo vya hapa nchini wanaotengeneza nguo na mavazi mbalimbali kwa kuchangia Tsh.50,000/= kwa kila mfanyabiashara mwenza mshonaji nguo. (Hapa tunakusudia kupata washonaji - viwanda bubu 100).

Karibu.
Nawaomba dili hilo la Tsh.50,000,000/= nijiripue chapu kwa haraka.

NB
Wazo.haliibiwi; kazi ni kwako.
 
Lakini vijana wote Tanzania ndio uwashindanishe million 50?
By starting is possible. Japo haitoshi. Hata wazo langu kwa uchache linahitaji kwasasa zaidi ya Bilioni 5.6 fedha za Kitanzania. Ila kwa hatua sio mbaya hata kwa hiyo milioni 50 unaweza anza kulifanyia kazi.

Biashara sio fedha pekee. Bali ni wazo ndio mtaji kamili kwenye biashara yoyote.
 
Waniwezeshe haraka. Niwajibike kwa nchi kuwa kijana mwekezaji kwenye uwekezaji wa kiwanda kidogo ambacho ndani ya miaka 3 kitakuwa kiwanda kikubwa hapa nchini na East Africa.
Nafikiri kuna mashirika , mbalimbali yanayotoa mikopo nafuu kwa vifaa vya viwanda vidogo vidogo pamoja na pembejeo za kilimo, kama sijakosea🤔
 
Nafikiri kuna mashirika , mbalimbali yanayotoa mikopo nafuu kwa vifaa vya viwanda vidogo vidogo pamoja na pembejeo za kilimo, kama sijakosea🤔
Brother hii nchi iache tu. Nimeshazunguka kuanzia TIC (Mwanza & Dar es Salaam), CRDB Bank Mwanza, wadau wa maendeleo mwaka 2017-2019 nikawa mpaka na sample ya bidhaa za kiwanda enzi hizo nina miliki vyerehani 10 mwisho wanaishia kusifia wazo na kuniambia nikodishe nyumba kama mpangaji eti nianzie hapo.

Kijana mwenye nia na uthubutu wa kuanza biashara hii ni biashara ya uhakika na soko lipo hapa nchini. Ila ndio mambo ya nchi. Kila jambo na wakati wake.
 
Brother hii nchi iache tu. Nimeshazunguka kuanzia TIC (Mwanza & Dar es Salaam), CRDB Bank Mwanza, wadau wa maendeleo mwaka 2017-2019 nikawa mpaka na sample ya bidhaa za kiwanda enzi hizo nina miliki vyerehani 10 mwisho wanaishia kusifia wazo na kuniambia nikodishe nyumba kama mpangaji eti nianzie hapo.

Kijana mwenye nia na uthubutu wa kuanza biashara hii ni biashara ya uhakika na soko lipo hapa nchini. Ila ndio mambo ya nchi. Kila jambo na wakati wake.
Nakumbuka nilikua na wazo la kiwanda kidogo cha kuzalisha mikate , nikaenda SIDO ni ubabaishaji tu
 
By starting is possible. Japo haitoshi. Hata wazo langu kwa uchache linahitaji kwasasa zaidi ya Bilioni 5.6 fedha za Kitanzania. Ila kwa hatua sio mbaya hata kwa hiyo milioni 50 unaweza anza kulifanyia kazi.

Biashara sio fedha pekee. Bali ni wazo ndio mtaji kamili kwenye biashara yoyote.
Million 50 ibadilishwe kuwa dola.

Kingine vijana hawaitaji hiyo hela wanataka sera bora, wanataka urahisi wa kufanya biashara
 
Million 50 ibadilishwe kuwa dola.

Kingine vijana hawaitaji hiyo hela wanataka sera bora, wanataka urahisi wa kufanya biashara
Haaaaaahaaaaaa !.
PESTEL.
P - Political
E - Economic
S - Social
T - Technology
E - Environment
L- Legal
Tambua haya mambo hubadilika kila leo ndani ya miaka 10; yanakutaka uwe na mtazamo mwingine kabisa. Tatizo akili za ......
 
japo inawezekana lakini kupata hiyo lumpsum capital ya 50M ni ngumu sana km hiyo pesa siyo yako (iwe kwa mkopo au whatever) , sabb ili mtu akupe hiyo amount, kwanza atataka auone mradi practically (aone uki-generate revenue, vitabu vi-balance na profit ionekane).

Hypothetically speaking, on paper kila business ni rahisi (profitable) ila kwa field kuna utofauti sabb zipo challenges kibao.

Hivyo mtu hawezi tu kutia 50M kirahisi pasipo kujiaminisha kwa vitendo kama kweli mradi unalipa au utalipa.
Si unajua tena kila business ni ku-gamble, hakuna guarantee.

So uwe na kitu cha kumshawishi mwekezaji au mkopeshaji, ili akipima risk-benefit ratio asiweke doubt, ajilipue kutoa pesa.

👇🏽
Ni vyema ukaanza japo na mradi wa Milioni 2.5 au 5, na ukifanya vizuri basi itakuwa rahisi kutumia huo mradi kushawishi watu kuweka mzigo mkubwa hapo.

Waingereza wanasema, "seeing is believing, believing is seeing"

Wabongo tutasema, "tunataka kwanza mpaka tuone"

ila fight mwana, wewe ndiye mbeba maono, hivyo fight haswa. Haijawahi kuwa rahisi.
Wishing you nothing but the best.
 
kuanza na hiyo lumpsum capital ya 50M ambayo ni ngumu sana km hiyo pesa siyo yako, sabb ili mtu akupe atataka kuona mradi practically kwanza ukigeneratw revenew.
Hypothetically speaking, on paper kila business ni profitable, ila kwa field kuna utofauti sabb zipo challenges kibao zitaibuka. Hivyo mtu hawezi tu kutia 50M kirahisi hivo.

Ni vyema ukaanza japo na Milion 5, ukifanya vizuri hapo basi itakuwa rahisi watu kuweka mzigo hapo.

Waingereza wanasema, "seeing is believing, believing is seeing"
Hayo ndio mawazo ya hao viongozi wake since then. Unajua lazima utofautishe kati ya kufanya biashara na kuanzisha biashara.

Tatizo hii nchi kila mtu anajihisi anajua kuanzisha biashara hapa ndio tatizo.

Inauma sana. Basi tu.
 
Hayo ndio mawazo ya hao viongozi wake since then. Unajua lazima utofautishe kati ya kufanya biashara na kuanzisha biashara.

Tatizo hii nchi kila mtu anajihisi anajua kuanzisha biashara hapa ndio tatizo.

Inauma sana. Basi tu.
sabb biashara mpya zina risk sana (kufanikiwa au kufeli ni 50 50)

Hakikisha kwanza, umejipinda upate kamradi kadogo tayari ambacho kanakua periodically na ku-generate revenue.
Ukiwa nao, tumia huo mradi kushawishi mtu atie mzigo.

Bila hivyo ni ngumu mno, i repeat, "seeing is believing"

Mambo ni magumu sio TZ tu, bali hata ughaibuni huko, that's why hata ughaibuni sio kila mtu analo likampuni lake.

Mwanzo, founders lazma wapigike (wa hussle) halafu baadae wawekezaji ndo huja, wakiona potential.
 
sabb biashara zina risk sana, hivyo ukiwa na mradi mdogo tayari ambao unakua periodically na ku-generate revenue.
Hapo unaweza kuitumia huo mradi kushawishi mtu atie mzigo.

Bila hivyo ni ngumu mno, i repeat, "seeing is believing"
Ndio mawazo ya watu wenu wa Halmashauri na pesa kwa vijana. Eti mpaka waone bidhaa huo ni utoto.

Mtaalamu wa IT unataka anze biashara ya mayai kwa kuwa na kuku wa kushikika hata kama atakuja na wazo la POS App au E-Commerce website.

Hii nchi shida ni uwezo wa kufikiria.
 
Back
Top Bottom