nguo

  1. S

    JamiiForums Tanzania Fundi nguo anahitajika

    Fundi nguo anahitajika: 1. Awe ana ujuzi kwanza miaka 2 kuendelea. 2. Anafahamu kushona nguo za kike hasa za kwenye mashughuli mbalimbali kama harusi nk. 3. Awe na umri 25 -35 Piga namba 0737 610 682.
  2. elivina shambuni

    JamiiForums Tanzania Viwanda vya Nguo, Glasi kujengwa Simiyu

    Mwekezaji kutoka nchini Uturuki, Bw. Mustafa Albayram ameahidi kujenga viwanda viwili kiwanda cha nguo na kiwanda cha kutengeneza glasi katika eneo la Isanga Mjini Bariadi Mkoani Simiyu mwaka 2020, mara baada ya kuridhishwa na mazingira ya uwekezaji ambapo viwanda hivyo vinatarajia kuajiri...
  3. U

    JamiiForums Tanzania Nguo kupauka kutokana na maji

    Wakuu umofia kwenu, hivi dawa ya kutofanya nguo zisipauke ni nini? Maana natumia maji ambayo yana chumvi kwa mbal, sasa nguo zinapauka sana,,, Sasa ni nini dawa yake ili zisipauke?
  4. Asemavyo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Amenifungia nguo na kuweka kwenye begi eti nimpishe kwake japo kodi nalipa mimi

    Mkuu Naomba unisaidie kuomba ushauri huko Ni week sasa nimempisha lakin anaomba msamaha nirudi Ishu yenyewe iko hivi, mwaka huu nilimpata Dada mmoja nesi tukapendana nilikuta amepanga nyumba, nami kwakuwa nilikuwa kwenye shughuli za kikazi maeneo yale nilikuwa nimefikia nyumba ya wagen kabla...
  5. Ileje

    JamiiForums Tanzania Wafanyakazi wa serikali Kenya kulazimika kuvaa nguo zilizotengenezwa Kenya kila ijumaa

    Ili kuinua uchumi na kukuza viwanda vya nguo vya Kenya serikali imeamuru wafanyakazi wote wa serikali na umma kuvaa nguo zilizotengenezwa Kenya kutokana na pamba iliyolimwa nchini humo kila ijumaa na siku za sikukuu. Kwa kufanya hivyo inategemewa kilimo cha pamba kukuzwa na pia kuvipatia soko...
  6. CONTROLA

    JamiiForums Tanzania Diamond : Sina ujinga wa kununua nguo Milioni 6 au 7 katika maisha yangu yote ila kwa Harmonize ni tofauti

    “Harmonize ana nguo ameshanunua kwa gharama ya Tsh. Milioni 6-7 na zipo zimekaaa kabatini, kitu ambacho mimi katika maisha yangu yote sijawahi kukifanya na wala ujinga huo kwanza sina” Hayo sio maneno yangu mimi ni maneno ya Diamond mwenyewe akimuongelea Harmonize Unajifunza nini katika...
  7. Hornet

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke kuvaa nguo ya mumewe/mpenzi....

    Umeshawahi kukutana na hili? Utajisikiaje/unajiskiaje unavyorudi nyumbani unamkuta bibie amevaa shirt/t-shirt/pensi ama surual yako? Au akaomba kuvaa saa yako wakati anatoka! Unafikiria nini juu ya mwanamke kama huyo?
  8. R

    JamiiForums Tanzania Nguo na Mitindo ya Zamani ambayo kwa sasa ukivaa ni kituko

    Ninafanya utafiti kwa hiyo naomba mfano nakumbuka travolta, viatu vya raizon, eh nyingine.
Back
Top Bottom