Huyu binti simuelewi, baada ya kunikasirikia juzi nilipogoma kwenda kulala kwake, Jana kaja night kwangu, baada ya mchakato mzito akaniapia kwamba, 'kwa vyovyote vile, iwe mvua, jua, kwa Ndumba, maombi, kukesha ata kwa damu lazima atahakikisha nafunga nae Ndoa"
Nimemuuliza shortly kwa nini...