Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
Jamani,hii ni kengele ya tahadhari kwa wapenzi mlio katika mahusiano zaidi ya miaka mitatu mkiwa wachumba.
Kibongobongo tunaita uchumba sugu ambao umeshaliza watu wengi kwani katika kipindi cha uchumba vijana hujifanya wanaekeza kwa wachumba wao vitu vya gharama, wapo wengine walizalishwa wakakimbiwa, wapo waliosomesha, waliofungulia biashara wenza na kuamini kwa kuwafanyia wakiamini kwa kufanya hivyo watapedwa zaidi na kuwekeza kwao wakuamini ndiyo security ili mpenzi wake asibabaike na mwanamke au mwanaume mwingine.
Usijifariji kuwa mtaoana baada ya kumpa mpenzi wako kila anachokitaka, hiyo ni sawa na kufuga kunguru wakati unajua kunguru hafugiki
Hivyo tunakumbushana tuu uchumba sio ndoa muda wowote unavunjika.
Kibongobongo tunaita uchumba sugu ambao umeshaliza watu wengi kwani katika kipindi cha uchumba vijana hujifanya wanaekeza kwa wachumba wao vitu vya gharama, wapo wengine walizalishwa wakakimbiwa, wapo waliosomesha, waliofungulia biashara wenza na kuamini kwa kuwafanyia wakiamini kwa kufanya hivyo watapedwa zaidi na kuwekeza kwao wakuamini ndiyo security ili mpenzi wake asibabaike na mwanamke au mwanaume mwingine.
Usijifariji kuwa mtaoana baada ya kumpa mpenzi wako kila anachokitaka, hiyo ni sawa na kufuga kunguru wakati unajua kunguru hafugiki
Hivyo tunakumbushana tuu uchumba sio ndoa muda wowote unavunjika.