ndege

Yvonne Ndege is an international journalist, and media and communications professional. She started her career at the British Broadcasting Corporation, as a graduate trainee in London, United Kingdom.

View More On Wikipedia.org
  1. J

    JamiiForums Tanzania Dkt. Abbas: Ndege tunanunua na huduma za kijamii tunawekeza fedha za kutosha, wanunaji waendelee kununa

    Msemaji mkuu wa serikali yuko mubashara TBC akielezea mafanikio ya awamu ya 5. Dkt. Abbas anasema pamoja na kununua ndege na watu wengine " kununa" serikali pia inawekeza fedha za kutosha katika Huduma za kijamii ikiwemo sh trilioni 2 kwenye sekta ya elimu. Hivyo wale wanaonuna wakiona...
  2. Superbug

    JamiiForums Tanzania Dakika chache kabla ndege haijaanguka unadhani abiria huwa katika hali gani?

    Mko angani futi Kama 40,000 toka aridhini ambazo ni sawa na km 12 kwenda juu. Ghafla ndege inapata hitilafu mnaanza kusikia zile turbulence na I'm balances za ndege inayumba na inaanza ku nose dive kiashiria kimojawapo ni mizigo kuanza kudondoka toka kwenye carrier na mnaanza kuangalia chini...
  3. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania John Mnyika ataka Majibu ya uchunguzi wa dawa ya Corona iliyoletwa na Kabudi kwa ndege ya ATCL kutoka Madagascar uwekwe hadharani

    Kauli hii ya kishujaa imetolewa na Katibu Mkuu wa Chadema Mh John Mnyika alipokuwa anaongea na vyombo vya habari kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chama chake huko Kinondoni Nje ya Jiji la Dar es Salaam , ambapo pamoja na mambo mengine aliyozungumza , suala la Ugonjwa wa Corona lilikuwa na sehemu...
  4. J

    JamiiForums Tanzania Mbowe: Ununuzi wa ndege siyo kipaumbele sahihi kwa nchi yetu zaidi ya Elimu, Afya na Miundombinu!

    Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe amesema kununua ndege siyo kipaumbele sahihi kwa maendeleo ya nchi yetu ukilinganisha na Elimu, Afya na Miundombinu. Mbowe amesema uwekezaji kwenye ATCL unahitaji mtaji mkubwa, utaalamu uliotukuka kwa watu wetu na mbinu za kisasa kuhimili ushindani wa soko...
  5. N

    JamiiForums Tanzania Je, ndege za ATCL ni mitumba?

    Ninavyoandika hivi, ndege ya ATCL Airbus 220 imeharibika Mwanza tangu saa 1 Asubuhi na abiria wote wamekwama. Hizi ndege ambazo zinadaiwa kuwa mpya zimekuwa zikiharibika kila mara, na hiyo inapelekea kuhoji ubora wa hizi ndege. Kama ni mpya, kwa nini ziharibike kila mara? Nimeondoka na...
  6. J

    JamiiForums Tanzania Zoezi la kumwaga sumu ya kuua nzige kuendelea kesho Kilimanjaro, rubani aliyetelekeza ndege na kurudi Kenya kufuatiliwa!

    Waziri wa kilimo Prof Mkenda ameagiza zoezi la kuua nzige waliovamia mkoa wa Kilimanjaro liendelee kesho baada ya leo kusimama kwa sababu pilot wa ndege ya kumwaga sumu aliiacha ndege na kurejea Kenya. Prof Mkenda amesema atamfuatilia pilot huyo kupitia mamlaka zake za juu na kwamba kesho...
  7. J

    JamiiForums Tanzania Serikali kutumia ndege kumwaga viatilifu kuangamiza nzige Longido na Simanjiro, shule kufungwa!

    Waziri wa kilimo Prof Mkenda amesema kuanzia kesho wataanza kumwaga viatilifu vya kuuwa nzige katika wilaya ya Longidi na Simanjiro kwa kutumia ndege. Shule zitafungwa kwa muda wa siku nne na wananchi wanaonywa kutookota nzige na kuwala. Chanzo: ITV habari Maendeleo hayana vyama! ------...
  8. B

    JamiiForums Tanzania Injini ya ndege ya United Airlines yalipuka angani

    20 February 2021 Denver, Colorado USA Ndege moja ya abiria ya shirika la ndege la United Airlines aina ya Boeing 777 mruko namba 328 toka kiwanja cha ndege cha mji wa Dever kwenda Honolulu injini yake moja ililipuka ikiwa angani kiasi cha futi 13,000 (ft) na kusambaza mabaki yake ktk kitongoji...
  9. isajorsergio

    JamiiForums Tanzania Sheria ya faragha kwa ndege zisizokuwa na rubani "DRONES"

    Tuangazie sheria za mataifa mbalimbali kuhusiana na 'Ndege zisizokuwa na rubani' maarufu DRONES. Teknolojia na matumzi ya ndege hizi inatazamiwa kupiga hatua mara mbili zaidi kwa miaka mitano ijayo, kutoka Trillioni 51.2 TZS (2020) Hadi Trillioni 102.3 TZS (2021). Matumzi makubwa yakiwa...
  10. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania ATCL kujigamba kuhudumia wateja 60,000 kwa mwezi ni failure. Ni wazi kuwa ndege nane zilinunuliwa kwa cash bila kufanya tathimini yakinifu

    Hivi kwa akili za kawaida unaweza kujisifia kuhudumia watu 60,000 kati ya watu mil 60? Na wewe ukatoka kifua mbele kuwa uko vizuri! Kwamba eti soko lako limekua? Hii ni aibu kubwa. Nilitegemea sababu hii nchi ipo uchumi wa kati basi mje na idadi ya watanzania mil 15 ambao wana uwezo wa kulipia...
  11. beth

    JamiiForums Tanzania Namungo FC yazuiwa Uwanja wa Ndege Angola

    Namungo FC imezuiliwa uwanja wa ndege wa kimataifa wa Luanda nchini Angola baada ya mamlaka kudai wachezaji watatu na kiongozi mmoja wana virusi vya Corona. Mpaka wakati wa kuandika taarifa hii timu ipo uwanja wa ndege huku utata ukitawala kutokana na mamlaka za nchi hiyo kutaka msafara mzima...
  12. Sam Gidori

    JamiiForums Tanzania Namibia yafunga huduma za Shirika lake la ndege, wafanyakazi 600 kukosa ajira

    Shirika la Ndege la Namibia, Air Namibia limetangaza kusitisha shughuli zote za usafirishaji na kurudisha ndege zote zilizokuwa zikifanya safari, ikiwataka abiria wote waliokuwa wamekata tiketi kuomba kurudishiwa fedha zao. Bunge la Namibia limetoa kibali cha kufunga shirika hilo, huku zaidi ya...
  13. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Yajue maeneo matano duniani ambapo ndege haziruhusiwi kuruka juu yake

    1. Antarctica: Antarctica inajulikana sana kwa hali yake ya baridi kali sana ambapo barafu na theluji hulifunika eneo hili kwa mwaka mzima. Eneo hili lina nguvu kubwa sana ya usumaku ambapo huweza kuathiri mifumo ya ndege na hivyo kuisababishia hatari ya kuanguka. 2. The Bermuda Triangle...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Lifespan ya ndege ya biashara ni miaka mingapi?

    Ndege ya biashara inayopiga route za mbali inaweza kukaa sokoni kwa muda gani kabla haijaaribika na kusitishiwa safari? Je, ndege utumia muda gani kurejesha gharama za manunuzi na kuanza kurealize faida? Ndege zikikosa safari serious za kibiashara zinaweza kuharibika eneo la maegesho? Eg...
  15. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi viwanja vya ndege kuibadilisha Kenya daima

    Devolution has led to the development of several regions in Kenya, with a focus on opening up counties to investors who would create employment opportunities and also aid in raising revenue. One of the factors that attract investors is a good transport network. The Jubilee Government under...
  16. Mantombazane

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli tusaidie Wananchi tunaopisha upanuzi wa Uwanja wa Ndege Iringa. Tanroads wanatusumbua sana kutulipa fidia ya mali zetu

    Mheshimiwa Rais tumehangaika mapaka tumeona tukuandikie kupitia jukwaa hili utusaidie sisi wanyonge wa kijiji cha Igingilanyi ambao tumetakiwa kuhama ili kupisha upanuzi wa uwanja wa ndege wa Nduli uliopo katika manispaa ya Iringa. Baada ya kuelimishwa wananchi hatukuwa na pingamizi la mradi...
  17. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Indonesia: Ndege aina ya Boeing 737 jet iliyokuwa na watu 62 yapata ajali na kupotelea ndani ya bahari

    Sriwijaya Air,Ndege ya abiria ya Indonesia ambayo iliripotiwa kupoteza mawasiliano mda mfupi baada ya kupaa kutoka uwanja wa ndege wa Jakarta,imeanguka ikiwa na abiria 62, Wizara ya usafirishaji ya Nchi ya Indonesia imethibitisha. Mashuhuda wanasema wameiona Ndege ikilipuka karibu na Kisiwa cha...
  18. Bonheur Travels Tanzania

    JamiiForums Tanzania Elimu kwa Umma: Tumia Wakala kwenye Safari za Ndege au Huduma za Hoteli kuepuka hasara na kuharibu ratiba zako

    Ndugu WanaJF, Kwa mara nyingine tena tunakuja na uzi mahsusi kwa wote wanaofanya safari kwa njia ya anga. Huu ukiwa ni mwendelezo wa mtiririko wa threads zetu za Elimu kwa Umma ambapo tunakusudia kuelimisha wasafiri na wanaotarajia kusafiri kuhusu mambo mbalimbali ili safari zao ziwe salama na...
  19. The Mongolian Savage

    JamiiForums Tanzania Kwanini wasibadilishe hili Jina la uwanja wa ndege Ngerengere

    Mzuka Wanajamvi Huu uwanja wetu wa ndege za kivita jina lake yani ukilitamka aibu una ona wewe. Yani Ngerengere imekaa kushoto sana. Walibadilishe tu ilete tija. Kuna majina mazuri ukitamka yani yanaleta ladha kinywani na mantiki kwa nini ya situmiwe? Kwa mfano tukibadilisha hili jina la...
  20. Mystery

    JamiiForums Tanzania Hivi ATCL kufanya safari za ndege Chato, hakutaliletea hasara kibiashara Shirika hilo?

    Siku chache zilizopita tulimsikia Mtendaji Mkuu wa shirika la ndege la ATCL, Ladislaus Matindi akiutangazia Umma wa watanzania kuwa shirika lake la ndege, kuanzia tarehe 9/01/2021 litaanza safari zake za ndege za kwenda kijijini Chato. Ninavyojua Mimi ni kuwa unapokuwa kwenye biashara ni lazima...
Back
Top Bottom