Yvonne Ndege is an international journalist, and media and communications professional. She started her career at the British Broadcasting Corporation, as a graduate trainee in London, United Kingdom.
Mheshimiwa Rais tumehangaika mapaka tumeona tukuandikie kupitia jukwaa hili utusaidie sisi wanyonge wa kijiji cha Igingilanyi ambao tumetakiwa kuhama ili kupisha upanuzi wa uwanja wa ndege wa Nduli uliopo katika manispaa ya Iringa.
Baada ya kuelimishwa wananchi hatukuwa na pingamizi la mradi...
Sriwijaya Air,Ndege ya abiria ya Indonesia ambayo iliripotiwa kupoteza mawasiliano mda mfupi baada ya kupaa kutoka uwanja wa ndege wa Jakarta,imeanguka ikiwa na abiria 62, Wizara ya usafirishaji ya Nchi ya Indonesia imethibitisha.
Mashuhuda wanasema wameiona Ndege ikilipuka karibu na Kisiwa cha...
Ndugu WanaJF,
Kwa mara nyingine tena tunakuja na uzi mahsusi kwa wote wanaofanya safari kwa njia ya anga. Huu ukiwa ni mwendelezo wa mtiririko wa threads zetu za Elimu kwa Umma ambapo tunakusudia kuelimisha wasafiri na wanaotarajia kusafiri kuhusu mambo mbalimbali ili safari zao ziwe salama na...
Mzuka Wanajamvi
Huu uwanja wetu wa ndege za kivita jina lake yani ukilitamka aibu una ona wewe. Yani Ngerengere imekaa kushoto sana. Walibadilishe tu ilete tija.
Kuna majina mazuri ukitamka yani yanaleta ladha kinywani na mantiki kwa nini ya situmiwe?
Kwa mfano tukibadilisha hili jina la...
Siku chache zilizopita tulimsikia Mtendaji Mkuu wa shirika la ndege la ATCL, Ladislaus Matindi akiutangazia Umma wa watanzania kuwa shirika lake la ndege, kuanzia tarehe 9/01/2021 litaanza safari zake za ndege za kwenda kijijini Chato.
Ninavyojua Mimi ni kuwa unapokuwa kwenye biashara ni lazima...
Ndugu WanaJF,
Tunafahamu si kila mmoja ni mzoefu wa kufanya safari kwa usafiri wa ndege. Sababu ni nyingi, ila kwa uchache ni hofu, kipato au sababu tu ya kusafiri kwa ndege haijatokea bado.
Pia, usafiri huu licha ya kuwa ni wa haraka na uhakika, una changamoto zake lukuki ambazo zinapelekea...
The aircraft involved was a Boeing 727-223 manufactured in 1975 and formerly operated by American Airlines for 25 years. Its last
owner was reported to be Miami-based company Aerospace Sales & Leasing. [2] While on lease to TAAG Angola Airlines it had been
grounded and sat idle at Luanda for 14...
Habari hii nakumbuka ilitolewa na hata JamiiForums twitter waliripoti hii habari ila mpaka leo December 27 mbona kimya?
Je,walitawahi tangaza kuahirisha?
Na hizi zilizopo, maendeleo yake yakoje?
Mwenye majibu tafadhali.
Wakuu,
Toka last week nahaha kutafuta usafiri wa kunifikisha JRO ,lakini kila nikijaribu kufanya booking,naambiwa tarehe zote flight zimejaa.
Hii ni kweli au kuna usanii unafanyika?
Kwa hali hii ya sasa, inabidi tuwe wakweli na nafsi zetu napia tutafakari mambo kwa undani. Kwa hali ya kisiasa iliyopo, ni dhahiri kwamba kuna mambo yamejificha nje ya pazia. Uwezekano wa vikwazo ni mkubwa sana. Ni swala la muda tu
Ikitokea nchi tumewekewa vikwazo, ina maana kuna baadhi ya...
Leo nimepigiwa simu eti kamati inaomba nichangie pesa za simenti au matofali ili wafanikishe kujenga vyumba vya madarasa, mimi kama mdau wanahitaji mchango wangu.
Kama mwana JF hata mmoja haja hamasishwa au kufuatwa nyumbani basi subirini ni mkakati wanakuja. Kusema ukweli nimewapa lugha...
Mkosoaji mkuu wa Rais wa Rwanda Paul Kagame ambaye anazuiliwa gerezani kwa mashtaka ya ugaidi amesema ataishtaki kampuni ya ndege ya kibinafsi ya Ugiriki kwa kuongoza njama ya utekaji na kupelekwa kwake nchini Rwanda.
Paul Rusesabagina - ambaye jukumu lake wakati wa mauaji ya kimbari ya Rwanda...
Mwanaume mmoja anashikiliwa na Polisi la Vegas Marekani baada ya kufanya kitendo cha Hatari cha kupanda bawa la ndege ya abiria iliyokuwa inakaribia kupaa.
Bawa la ndege ni moja ya sehemu ambazo Binadamu huwa haruhusiwi kukanyaga na ndege zote huwa Zinawekwa maandishi ya tahadhari ya kutofanya...
Kama title inavyosema hapo juu. Ningependa kufahamu majina ya ndege wafuatao kwa lugha yenu ya asili. Unapotaja, naomba unijuze ni jina la kabila lipi.
Vile vile nimejaribu kuweka majina yao ya Kiswahili (in blue). Sina uhakika wa 100% kama ndivyo wanavyoitwa kwa Kiswahili. Hivyo basi, kama...
Hii ndio taarifa mpya kwa sasa kuhusiana na ruti mpya ya ndege za ATCL, kwamba baada ya ukaguzi wa Uwanja huo na kuonekana uko sawa ndege hizo zitaanza kupeleka abiria na kuwachukua kutokea Chato.
Hayo yamebainishwa na ofisa wa shirika hilo Mh Kavishe.
Nikipanda Ndege ( japo niweke tu wazi sijawahi Kupanda zaidi ya kuziona tu Angani zikipaa ) halafu nikitua kule niendako iwe ni hapa Afrika Kwetu au Mamtoni ( Ulaya ) kisha nikashuka na ile Mito ya Kuegemea iliyoko katika Siti, nikabeba pia na Headphones, Mataulo, Sabuni, Toilet Paper na...
Tanzania tuna ndege za Bomberdier, Boeing na Airbus.
Ndege zetu Ni mpya Sana na Ni nzuri Sana, Tena tulinunua kwa pesa taslim. Kama tujuavyo, usafiri wa ndege Ni wa gharama kubwa, Tena na vipuli vyake ni gharama kubwa, na vinauzwa tu na mzalishaji wa ndege.
Airbus ni Ufaransa, Boeing USA, na...
Wakati Tundu Lissu akiondoka nchini kwenda Ubelgiji kwa matibabu leo, amesindikizwa na mabalozi watatu ambao ni balozi wa Marekani, Ujerumani na Ubelgiji.
Washirika hawa watatu kwa hakika upo ujumbe wanaoutuma kwa serikali ya Tanzania.
Baada tu ya Tundu Lissu kuondoka nchini salama, balozi wa...
Kuanzia siku ya Jumapili, Uwanja wa ndege wa Bujumbura umefunguliwa kwa ajili ya ndege zinazofanya safari kimataifa baada ya kufungwa kwa miezi saba kutokana na janga la virusi vya corona.
Burundi imekuwa nchi ya mwisho ya Afrika mashariki kufungua anga yake baada ya Tanzania mwezi May, Sudani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.