johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,965
- 141,968
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe amesema kununua ndege siyo kipaumbele sahihi kwa maendeleo ya nchi yetu ukilinganisha na Elimu, Afya na Miundombinu.
Mbowe amesema uwekezaji kwenye ATCL unahitaji mtaji mkubwa, utaalamu uliotukuka kwa watu wetu na mbinu za kisasa kuhimili ushindani wa soko.
Hata hivyo msemaji wa serikali Dr Abbas amesema serikali kuwekeza katika ndege haimaanishi kuwa imeacha kuwekeza katika maeneo mengine.
Source BBC Dira ya Dunia
My take: Naona Mbowe ana hoja na Dr Abbas ameipangua kiufasaha.
Maendeleo hayana vyama!
Mbowe amesema uwekezaji kwenye ATCL unahitaji mtaji mkubwa, utaalamu uliotukuka kwa watu wetu na mbinu za kisasa kuhimili ushindani wa soko.
Hata hivyo msemaji wa serikali Dr Abbas amesema serikali kuwekeza katika ndege haimaanishi kuwa imeacha kuwekeza katika maeneo mengine.
Source BBC Dira ya Dunia
My take: Naona Mbowe ana hoja na Dr Abbas ameipangua kiufasaha.
Maendeleo hayana vyama!