Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
Hivi kwa akili za kawaida unaweza kujisifia kuhudumia watu 60,000 kati ya watu mil 60? Na wewe ukatoka kifua mbele kuwa uko vizuri! Kwamba eti soko lako limekua? Hii ni aibu kubwa.
Nilitegemea sababu hii nchi ipo uchumi wa kati basi mje na idadi ya watanzania mil 15 ambao wana uwezo wa kulipia tiketi ya laki 3 kutoka Mza kwenda Dar. Lakini taifa lina watu mil 60. Watu elfu 60 kwa kwa mwezi wanapanda ndege mnajisifu huu ni mdhaha.
Kwa kweli ni kuwa hii Atcl ya mr Matindi imefufuliwa kisiasa na wala sio kusaidia taifa kiuchumi. Maana kama unafufua shirika la ndege kwa kununua ndege nane cash lazima uhakikishe raia wako watapanda hizo ndege kwa bei nafuu. Ok je, soko la nje zitamudu?
Ni wazi kuwa kufanya maamuzi kwa kukurupuka hayafai. Leo hii tumenunua ndege,hatuwezi kuzipanda wala hakuna dalili za kuongeza pato la taifa.
Nilitegemea sababu hii nchi ipo uchumi wa kati basi mje na idadi ya watanzania mil 15 ambao wana uwezo wa kulipia tiketi ya laki 3 kutoka Mza kwenda Dar. Lakini taifa lina watu mil 60. Watu elfu 60 kwa kwa mwezi wanapanda ndege mnajisifu huu ni mdhaha.
Kwa kweli ni kuwa hii Atcl ya mr Matindi imefufuliwa kisiasa na wala sio kusaidia taifa kiuchumi. Maana kama unafufua shirika la ndege kwa kununua ndege nane cash lazima uhakikishe raia wako watapanda hizo ndege kwa bei nafuu. Ok je, soko la nje zitamudu?
Ni wazi kuwa kufanya maamuzi kwa kukurupuka hayafai. Leo hii tumenunua ndege,hatuwezi kuzipanda wala hakuna dalili za kuongeza pato la taifa.