Hashimu lwenje
JF-Expert Member
- Oct 2, 2017
- 415
- 359
Biashara ya ndege haiwezi kuleta faida kabla payback period haijafika ni vyema unapotwambia imeingiza hasara uwe unatupa na pay back period ilikua ni miaka mingapi. Na je tayari ilishafikiwa. Ila kama hiyo hasara unaikokotoa bila kutwambia payback period ilikua ni miaka mingapi hapo watanzania utawachanganya.
Mimi nadhani tungepewa hesabu nzima, tusiandikiwe tu hasara.
Tupewe pesa iliyotumika kufanya investiment ni kiasi gani kwa ndege zote.
Alafu tuambiwe kila ndege zinaingiza kiasi gani kwa mwaka.
Hiyo ndio hesabu tunayoitaka, Mimi nacho kijua na kukielewa hiyo ni long term business ambayo inatumia higher investiment. Hivyo haiwezi kuleta faida kabla haijafikia payback period.
Twambie kwanza pay back period ilikua ni ya miaka mingapi ndipo uje na hiyo hesabu ya hasara.
Ukitwambia tu hasara hatuwezi kuelewa vizuri.
Maana bado siijui payaback period
Ipo miradi mingi mikubwa ambayo ikiianza usitegemee kupata faida ndani miaka minne, it's impossible. Tuna mradi wa LNG, huo mradi payback period yake ni ndefu sana. Tusitegemee kuja kuanza kupata faida ndani ya muda mfupi. Katika Biashara kubwa lazima uwe mvumilivu.
Mimi kiukweli ningependa kusikia tu return of investiment imefikia kiasi gani basi. Hapo ningechakachua kichwa na kujua wapi tunaelekea.
Mimi nadhani tungepewa hesabu nzima, tusiandikiwe tu hasara.
Tupewe pesa iliyotumika kufanya investiment ni kiasi gani kwa ndege zote.
Alafu tuambiwe kila ndege zinaingiza kiasi gani kwa mwaka.
Hiyo ndio hesabu tunayoitaka, Mimi nacho kijua na kukielewa hiyo ni long term business ambayo inatumia higher investiment. Hivyo haiwezi kuleta faida kabla haijafikia payback period.
Twambie kwanza pay back period ilikua ni ya miaka mingapi ndipo uje na hiyo hesabu ya hasara.
Ukitwambia tu hasara hatuwezi kuelewa vizuri.
Maana bado siijui payaback period
Ipo miradi mingi mikubwa ambayo ikiianza usitegemee kupata faida ndani miaka minne, it's impossible. Tuna mradi wa LNG, huo mradi payback period yake ni ndefu sana. Tusitegemee kuja kuanza kupata faida ndani ya muda mfupi. Katika Biashara kubwa lazima uwe mvumilivu.
Mimi kiukweli ningependa kusikia tu return of investiment imefikia kiasi gani basi. Hapo ningechakachua kichwa na kujua wapi tunaelekea.