Viongozi wa nchi zilizostawi kiviwanda na kiuchumi, G20, wanatarajia kukutana kwa mazungumzo kupitia video Alhamisi wiki hii kuhusu janga la kimataifa la Covid-19,
Mkutano huo unakuja wakati viongozi kadhaa duniani wanalaumu kundi hilo la nchi zilizostawi kiviwanda na kiuchumi, G20, kwa...