Serikali kwa sasa ijikite kwenye kuuza bidhaa nje ya nchi zaidi na kupunguza matumizi kwenye miradi ya maendeleo

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,908
51,904
Kutokana na janga hiki la Corona serikali ijikite kwenye uuzaji bidhaa nje kwa bidhaa kuanzia vyakula nk

Vikwazo vyote viondoldwe upesi kodi ,ukiritimba nk viondolewe kwa spidi ya haraka ili Ku encourage mtanzania yeyote ana yetaka kuuza chochote auze nje na yeyote wa nje anayetaka kununua chochote anunue kirahisi

Pia serikali ipunguze matumizi kwenye miradi ya maendeleo ambako pesa nyingi zinaenda huko

Huu ni wakati Wa kubana matumizi kwa serikali
 
Bidhaa gani. Nani yupo tyari kupokea bidhaa kutoka kwenye taifa lenye korona??

Sent using Jamii Forums mobile app
Hujui kinachoondelea duniani bidhaa hazisambazi corona .Ndege ,meli magari ya mizigo nchi nyingi tu duniani zinachapa kazi kama kawaida za abiria ndizo zimepigwa marufuku

Somo la corona naona Wewe kichwani mweupe.Ingekuwa corona na inaambukizwa kwa chakula usingekuwa unakula na SAA hii ungeshakufa

Mbona wala yakhe? Huogopi corona kwenye vyakula?
 
Kutokana na janga hiki la Corona serikali ijikite kwenye uuzaji bidhaa nje kwa bidhaa kuanzia vyakula nk

Vikwazo vyote viondoldwe upesi kodi ,ukiritimba nk viondolewe kwa spidi ya haraka ili Ku encourage mtanzania yeyote ana yetaka kuuza chochote auze nje na yeyote wa nje anayetaka kununua chochote anunue kirahisi

Pia serikali ipunguze matumizi kwenye miradi ya maendeleo ambako pesa nyingi zinaenda huko

Huu ni wakati Wa kubana matumizi kwa serikali
Duh...!.
Ushauri huu kwa serikali yetu saa hizi wakati tuko busy kuangalia namna ya kujiokoa na janga hili, wewe unawaza kuimarisha biashara?.

Japo ni ushauri mzuri ku mitigate the Corona economic recession lakini...
Nimeona jirani zetu Kenya kwa vile ndege zote za abiria ziko grounded wamezibadili kugeuka cargo zinapeleka mizigo ulaya.

Sisi tunawaza kwanza jinsi ya kujiokoa, tukiisha okoka ndipo tujipange kufufua uchumi.
P
 
Kutokana na janga hiki la Corona serikali ijikite kwenye uuzaji bidhaa nje kwa bidhaa kuanzia vyakula nk

Vikwazo vyote viondoldwe upesi kodi ,ukiritimba nk viondolewe kwa spidi ya haraka ili Ku encourage mtanzania yeyote ana yetaka kuuza chochote auze nje na yeyote wa nje anayetaka kununua chochote anunue kirahisi

Pia serikali ipunguze matumizi kwenye miradi ya maendeleo ambako pesa nyingi zinaenda huko

Huu ni wakati Wa kubana matumizi kwa serikali
Hio miradi ndio kete pekee ya ccm kupunguza pesa huko ni sawa na kuiuwa ccm.
 
Back
Top Bottom