carcinoma
JF-Expert Member
- Mar 5, 2017
- 5,059
- 13,718
Habari za mida hii wakuu.
Kufuatana na janga hili la ugonjwa wa COVID 19 unaosababishwa na kirusi cha corona,
Kumekuwa na mjadala kuhusu lockdown ya nchi nzima ambapo baadhi ya watu wanamtaka Rais wa nchi aidhinishe total lockdown.
Na wengine wakitaka hali iwe hivi hivi ilivyo.
Ninadeclear interest kwamba mimi ni mmoja wa watu ambao hawaungi mkono jambo la total lockdown sababu ikiwa ni kwamba nchi kama yetu ambapo kipato cha watu wengi kinategemea kufanya kazi kula siku ndio wapate ridhiki zao.. sasa ukifanya total lockdown kuna watu watu watakufa kwa njaa.
DG wa WHO amesema ili kufanya lockdown inabidi upime uzito wa athari za watu kukaa ndani na kutoka nje..
Chini hapa ni screenshot ya press ya DG wa WHO ambapo ameongelea kuhusu lockdown kwa developing countries
Nini maoni yako..
#carcinoma01
Kufuatana na janga hili la ugonjwa wa COVID 19 unaosababishwa na kirusi cha corona,
Kumekuwa na mjadala kuhusu lockdown ya nchi nzima ambapo baadhi ya watu wanamtaka Rais wa nchi aidhinishe total lockdown.
Na wengine wakitaka hali iwe hivi hivi ilivyo.
Ninadeclear interest kwamba mimi ni mmoja wa watu ambao hawaungi mkono jambo la total lockdown sababu ikiwa ni kwamba nchi kama yetu ambapo kipato cha watu wengi kinategemea kufanya kazi kula siku ndio wapate ridhiki zao.. sasa ukifanya total lockdown kuna watu watu watakufa kwa njaa.
DG wa WHO amesema ili kufanya lockdown inabidi upime uzito wa athari za watu kukaa ndani na kutoka nje..
Chini hapa ni screenshot ya press ya DG wa WHO ambapo ameongelea kuhusu lockdown kwa developing countries
Nini maoni yako..
#carcinoma01