nchi

  1. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania GE2020 Kishindo: Sheikh Ponda atoa neno kwenye mkutano wa Lissu Dodoma, Uwanja walipuka kwa shangwe

    Kadri muda unavyozidi kwenda ndivyo Wanaomuunga Mkono Tundu Lissu wanavyojitokeza na kuzidi kuongezeka. Mwangalie Sheikh Ponda Issa Ponda alivyotikisa Dodoma leo. Video hii hapa ==== SHEIKH PONDA: WAISLAMU TUMEKUBALIANA TUTAMPIGIA KURA LISSU Sheikh Ponda Issa Ponda amesema Mgombea wa Urais...
  2. mugah di matheo

    JamiiForums Tanzania Tanzania vs Tunisia: Watakachokifanya mashabiki wa yanga ni uhaini kwa nchi

    Kitendo cha baadhi ya mashabiki kuhamasishana wakaishangilie timu ya taifa la kigeni ni sawa na kuifanyia nchi ya kigeni ujasusi dhidi ya nchi yako ambayo huhesabiwa ni uhaini na adhabu yake ni kunyongwa hadi kufa
  3. The Assassin

    JamiiForums Tanzania Trump amesema ikitokea Biden akashinda anaweza kuhama nchi, hiyo aibu ataificha wapi?

    Rais Donald Trump akiwa kwenye mkutano wa kisiasa amesema Biden ndio mgombea mbovu kuwahi kutokea kwenye siasa za Marekani toka taifa la Marekani lilipoundwa. Trump anasema ikitokea akashindwa uchaguzi na Biden hiyo aibu ataificha wapi kushindwa na mtu mbovu kuliko wote, anasema hiyo aibu...
  4. E

    JamiiForums Tanzania Hatua za kufuata wakati wa kufanya maombi ya full funded scholarship ya kusoma nje ya nchi

    Habari za Leo ndugu na marafiki. Leo nitaelezea hatua za kufuata wakati wa kufanya maombi ya full funded scholarship ya kusoma nje ya nchi. Basi ili walau kupata mwanga wapi pa kuanzia fuatana na mimi katika hii video fupi.
  5. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Je, ni kwanini nchi ya Rwanda si tu 'inasifika' bali kwa sasa 'inaogopeka' pia kwa kuwa na 'Majasusi' mahiri kabisa kuliko nchi nyingine za EAC?

    Inasemekana huwezi kupanga Jambo baya la 'Kuidhuru' Rwanda ukiwa ndani au nje ya nchi hiyo na kama ukipanga kufanya hivyo usijulikane mapema kwani utadhibitiwa Kikamilifu kabisa. Pia wanasema huwezi 'Kuvamia' Mkoa wowote ule wa Rwanda hata kama Wewe ni Gaidi na ukauwa Wanyarwanda au...
  6. CUF Habari

    JamiiForums Tanzania GE2020 Prof. Lipumba akiwa Iringa Mjini: Nchi hii inahitaji Rais mchumi na mwenye huruma na watanzania, mkinichagua kuwa nitafuta umasikini

    NCHI HII INAHITAJI RAIS MCHUMI NA MWENYE HURUMA NA WATANZANIA MKINICHAGUA KUWA RAIS NTAFUTA UMASIKINI KATIKA NYANJA ZOTE"PROF.LIPUMBA" IRINGA MJINI Ukuaji wa uchumi wa Tanzania haujaambatana na kasi kubwa ya kupungua kwa watu masikini. Idadi ya watu masikini kwa kutumia kipimo cha taifa cha...
  7. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Wananchi, Wanafunzi na Zimamoto washirikiana kuzima moto Mlima Kilimanjaro

    Mkuu wa Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori Mweka (CAWMSO) amewaomba wanafunzi waliopo chuoni kushiriki kikamilifu katika kuzima moto katika hifadhi ya Kilimanjaro. Mamlaka za Hifadhi za Taifa ilisema sehemu ya msitu wa mlima Kilimanjaro ilianza kuungua tangu jana mchana na waliendelea juhudi za...
  8. figganigga

    JamiiForums Tanzania GE2020 Chato: Msafara wa Tundu Lissu washambuliwa kwa mawe

    Mheshimiwa Tundu Lissu aamuru Barabara ya Chato Kufungwa baada ya wafuasi wa CCM kushambulia kwa mawe msafara wake na kuharibiwa gari la vifaa vya muziki (PA). Uchaguzi 2020 - Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu
  9. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania GE2020 Lissu: Tutatengeneza nchi ya watu walio huru

    Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA: Tundu Lissu amesema watatengeneza nchi huru na yenye haki. Nchi ambayo hakuna kiongozi atakayeogopwa kuliko Mungu. Amesema kia mtu anahitaji haki na kila mtu anastahili kupata haki, awe askari mfanyabiashara, mkulima, mfugaji, mama lishe, bodaboda au kazi...
  10. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania GE2020 Tundu Lissu: Uchaguzi huu hautakuwa rahisi kwa kuwa kura ya mwaka huu ni ya ukombozi wa nchi

    MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ameendelea kuchanja mbuga kwenye mikoa ya Singida, Tabora na Shinyanga huku akisema uchaguzi huu hautakuwa rahisi kwa kuwa kura ya mwaka huu ni ya ukombozi wa nchi. Akizungumza jana katika mikutano tofauti ya...
  11. Mystery

    JamiiForums Tanzania GE2020 Hivi pamoja na "promo" yote ya mabango yaliyotapakaa nchi nzima, ni kwanini CCM inapelekwa mchamchaka na Tundu Lissu?

    Kuna msemo wa wahenga usemao kuwa kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza...................... Kwa namna CCM ilivyosambaza mabango nchi nzima, wakati wapinzani wao wa kisiasa, vyama vya upinzani, wakiwa hoi bin taabani, naweza ulinganisha usemi huo na hali halisi ya hivi sasa. Hivi unawezaje...
  12. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania RC Singida: Serikali haitasita kumchukulia hatua mtu yeyote atakayehatarisha amani ya nchi

    MKUU wa Mkoa wa Singida, Dk. Rehema Nchimbi amesema serikali haitasita kumchukulia hatua mtu yeyote atakayehatarisha amani katika kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu. Nchimbi ambaye alikuwa mgeni rasmi aliyasema hayo alipohutubia wananchi, wazazi na wanafunzi wakati wa sherehe za mahafali ya...
  13. Ndebile

    JamiiForums Tanzania Ushuhuda Kuhusu "Njama" za Mabeberu kwa Nchi Maskini

    Naanza kwa kukiri kuwa mimi sio mwandishi mzuri ila uzi wa Pascal Mayalla umenifanya nijitutumue kuandika. https://www.jamiiforums.com/threads/mebeberu-wana-malengo-na-tanzania-waanza-uzushi-wa-fujo-baada-ya-jpm-ccm-kush. Nilitaka nitumie neno wazungu au mataifa ya Magharibi badala ya...
  14. CUF Habari

    JamiiForums Tanzania GE2020 Prof. Lipumba, Dodoma - Chemba: Mkinichagua Oktoba 28, kuwa Rais wa Nchi hii nitawekeza kwa watu, kisha watu wawekeze kwenye vitu

    MKINICHAGUA OKTOBA 28, KUWA RAIS WA NCHI HII NITAWEKEZA KWA WATU, KISHA WATU WAWEKEZE KWENYE VITU"PROF. LIPUMBA" DODOMA- CHEMBA Tutahakikisha haki sawa na furaha kwa wote Haki ya Elimu kwa kila Mtanzania Haki ya Lishe Bora na uhakika kwa kila Mtanzania Haki ya Afya Bora na ya uhakika kwa...
  15. MAHANJU

    JamiiForums Tanzania GE2020 CCM wako tayari kwa lolote, hawako tayari kukikabidhi nchi kwa Upinzani. Mnalijua hilo?

    CCM kinajua kuwa siyo rahisi kushinda kwa sanduku la kura, sasa wapo tayari kwa lolote ilimradi warudi Ikulu upinzani wapende wasipende. CCM kinajua kina Madudu mengi hasa kwenye miradi hasa kwenye miradi hii mimea ya STIGLERS, SGR na ununuzi wa ndege ambao hata CAG hakueleza ni vipi...
  16. K

    JamiiForums Tanzania Nchi gani ya Ulaya ina visa rahisi?

    Wakuu habari, Ni nchi gani ya Europe ambayo mtanzania akitaka kwenda kwa matembezi mafupi visa yake haina gharama kubwa sana. Nyingi naona zinahitaji insurance ambayo ni euro 30000 ambayo ni kubwa sana. Tusaidiane wenye experience.
  17. Mung Chris

    JamiiForums Tanzania GE2020 Kuachia nchi au kuikabidhi nchi sio jambo rahisi kama tunavyofikiria

    1. Kuna watu kujiandaa kukabidhi, 2. Kuna watu au viongozi kuhakikisha mahesabu na record zingine zimekaa sawa, 3. Kuna kuhakikisha atakaye kabidhiwa hata lipiza kisasi, 4. Kuna kuhakikisha familia zao na vizazi vyao viko salama au mahali salama kabla ya kukabidhi, 5. Kuna kujihakikishia future...
  18. B

    JamiiForums Tanzania Ukiwa Rais wa nchi ni vema ukawa rafiki wa wapinzani, tenga hata muda wa kuongea nao

    Ukiwa Rais wa nchi yoyote ile ni vema ukawa rafiki au karibu na wapinzani wote hata muda wa kufanya nao mazungumzo jitahidi uupate, dunia ya sasa hivi sio dunia ya kuwa na maadui bali kuongeza marafiki ila usalama wako unakuwa ni mkubwa sana. Inaweza ikatokea mmoja akamhitaji mwingine ili...
  19. J

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli ashiriki kwa njia ya mtandao maombi ya kuiombea nchi ya Kenya Mungu aiepushie Corona

    Rais Magufuli ameshiriki kwa njia ya mtandao maombi ya kitaifa yaliyofanyika nchini Kenya kuliombea taifa hilo Mungu aliepushie ugonjwa wa Corona. Maombezi hayo yaliyofanyika Ikulu ya Kenya yalishirikisha viongozi wote wakuu wa nchi hiyo na Rais Magufuli alishiriki akiwa nchini Tanzania...
  20. Extrovert

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Bongo ndio nchi pekee ambayo mapenzi ni ajira

    "Kwa hali ilivyo sasa viumbe esp. jinsia pinzani waishio katika Tized hasa maeneo ya mijini wamegeuza swala la mapenzi kuwa kama ajira kwa maana wanadai stahiki zote a.k.a house allowance, transport allowance bila kusahau invoice za kujikimu a.k.a per diem yani misosi, saluni, vocha vocha hizi...
Back
Top Bottom