NKOME, GEITA VIJIJINI
WANANCHI WA NKOME WANANYANYASWA KWA KUPOKONYWA NYAVU NA KUWEKWA NDANI NICHAGUENI NIWE RAIS WA NCHI HII TUMALIZE TATIZO LA UNYANYASAJI"PROF. LIPUMBA"
Mgombea Urais wa jamhuri ya muungano wa tanzania Prof. Lipumba amesema hayo katika mkutano wa kampeni uliyofanyika kata ya...
WANAWAKE NCHI HII HAWAPATI HUDUMA BORA WAKATI WA KUJIFUNGUA NICHAGUENI KUWA RAIS WA NCHI HII NITATOA HUDUMA BORA YA AFYA NA KUDHIBITI VIFO VYA WAJAWAZITO NA WATOTO."PROF.LIPUMBA
BUKOBA MJINI
Nitahakikisha kuwa Bajeti ya Wizara ya Afya inapanda na kufikia asilimia 15 ya
Bajeti ndani ya miaka...
Mapokezi anayopata Tundu lissu kila mahali anakopita ni ishara ya watu kuchoka na watu wamechoka kweli kweli wala siyo utani.
√ Vijana wanalia na ukosefu wa ajira
√ Watumishi wanalia na nyongeza ya mishahara
√ Wastaafu wanalia na malipo yao ya uzeeni
√ Wajasiriamali wadogo wanalia na...
Kila nchi ina misingi yake iliyowekwa na waasisi wa nchi hizo.ziko nchi mpaka sasa wanaangaika kuweka misingi ya amani ili wapate maendeleo lakini mpaka sasa bado.Mfano wa nchi hizo ni Somalia,Burundi,Congo,central Africa, Sudan, nk.kwa kukosa misingi inayowaweka wananchi wake pamoja wakajiona...
Kukutane baada ya tarehe 28)10/2020 tutapata majibu hapa hapa kwa sababu naamini Tundu Lissu atakua Rais wa nchi hii ingawa atatangazwa kwa taabu sana.
Ushindi wake umedhihiri kila ninapopita mtaani wanasema ni aheri Lissu anaweza kuleta amani kwenye nyoyo zao, wanasema aheri Lisu atawaletea...
Nchi yetu haina dini ila kila mtu anaruhusiwa kuabudu dini yo yote apendayo. Hii ni kwa mjibu wa katiba ya nchi yetu.
Tangia aanze kampeni zake mgombea huyu amekuwa akiambatana na askofu mmoja wa kanisa fulani anayeitwa Askofu Mwamakula na sheikh mmoja anayeitwa Sheikh Katimba. Katika mikutano...
Najua vijijini na kwenye kata hakuna mawakala wa ttcl na airtel, kwanini msiwaajili walimu hawa wanaojua customer service vizuri wakawa mawakala kwa kuwapa mafunzo kidogo ya kutatua matatizo ya mtandao. Mh Dr. Jakaya Kikwete aliwahi sema 'degree yeyote mtu anaajiliwa kazi yeyote kutoa sheria na...
Habarini
Katika kutafakari tutafikaje 28 october, likanijia hili wazo tena fikra za kuanzia at family level
Kwenye familia, vikao vya kifamilia vikikaa yule mwenye uafadhali kimaisha ndie mara nyingi anakuwa anasikilizwa na kupewa majukumu ya kiuongozi the same as katika ukoo
Kwenye ubunge...
Waungwana,
Chunguzeni leo hii nchi zote ambazo ni kinara wa mfumo wa Serikali za majimbo (federal government) duniani ni nchi ambazo zilikuwa zinakabiliwa Sana na tatizo la kukosa umoja wa Kitaifa kutokana na Vita, udini au Kukosa lugha ya kuwaunganisha.
Marekani walikuwa mataifa huru 50...
Hapa JF tunapigana vijembe na hasa watu wa CHDEMA wakijaribu kuonesha kwamba wao wako fit kuliko CCM na kwa ujumla hawazungumzii vyama vingine utadhani kweli nchi hii ni ya CCM na CDM. CCM wana udhaifu wa kuwa na viongozi ambao wanahangaikia kuiba na kujitajilisha na chama kuwa maficho ya watu...
Baada ya kuanza kampeni za kuwania Urais katikati ya kitovu cha nchi na kwenda mikoa mbalimbali, leo mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi amerejea mjini Dodoma na kulakiwa na wananchi mbalimbali wa mkoa.
Katika furaha isiyo kifani, Dkt Magufuli amecheza wimbo wa 'Tanzania ya sasa'...
Kwa ambao washawahi kuishi nje ya Tanzania nina imani watakuwa na ufaham wa hiki nilichokiandika hapa.
Nimewahi kuishi ktk nchi ambayo ina mchanganyiko wa raia kutoka katika nchi mbali mbali duniani nikajiridhisha kwa macho yang kwamba raia wengi wanaotoka Tanzania ni wafupi wafupi mno...
Wana wema wa MUNGU.
Ni ukweli ambao kwa wengine utawaumiza, na wengine utawafurahisha, lakini hakuna dalili yeyote ya upinzani kushimda nafasi ya uraisi, kwa sababu zifuatazo:
1: Mtandao wa CCM unawabeba.
Yaani CCM wametengeneza vyema mtandao wa kuwafikia wananchi. Mathalani,mabango na...
HOJA ZA DK HUSSEIN MWINYI ZINATOSHA KUMPA NCHI OKTOBA, 28
Dkt. Hussein Mwinyi mgombea wa nafasi ya Urais Zanzibar anastahili kuchaguliwa kwa kura za ndio nyingi na kupewa nchi ili awaongoze Wazanzibar, nimefatilia mikutano yake ya kampeni na kubaini kuwa ni miongoni mwa wagombea bora wenye...
MKITUPA RIDHAA YA KUONGOZA NCHI HII TUTABORESHA SEKTA MUHIMU ZA UCHUMI NA KILIMO.
BUHIGWE, KIGOMA
Historia ya maendeleo ya uchumi duniani inaonesha kuwa maendeleo ya viwanda hutanguliwa au kuambatana na mapinduzi
ya kilimo.
Ongezeko la uzalishaji na tija katika sekta ya kilimo huongeza...
Kwa mujibu wa Ayo tv ile Choppa ya CCM tayari imetua Urambo mkoani Tabora kwa ajili ya kutumika katika kampeni.
Sasa ni mashambulizi kutoka kila kona ardhini, angani na majini, Tundu Lissu lazima akae.
Maendeleo hayana vyama!
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.
Eti ndugu zangu watanzania (wale tu mnaofuatilia siasa za kimataifa kwa muda mrefu kama mimi);
Kwanini Russia ilishindwa kumtetea Saddam Hussein wa Iraq ila kwa sasa inamkingia kifua Bashar Al-Assad wa Syria ilhali nchi hizi mbili zinapakana...
Kabla ya Tanganyika kujipatia Uhuru, vijana ndiyo walipigania kufa na kupona ili nchi yetu iachiwe na wakoloni, hatimae wakoloni walituachia nchi yetu, ndiyo maana leo hii tuna siku ya mashujaa( Hawa Ni vijana) waliopigania nchi yetu. Kwakuwa Sasa hivi tupo katika kipindi Cha uchaguzi mkuu, Kuna...
TUMCHAGUE PROF.LIPUMBA AWE RAIS WA NCHI HII NA MIMI NIWE MAKAMU WA RAIS WA NCHI HII TUWEZESHE WATU WENYE ULEMAVU KUPATA ELIMU NA AJIRA"
BI.HAMIDA ABDALLAH HUWEISHI
MGOMBEA MAKAMU WA RAIS CUF."
KASULU, KIGOMA.
Serikali itakayoongozwa na CUF itatenga fungu maalum la kuwawezesha watu wenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.