Wasanii na Wanamuziki wengi kugombea Uraisi nchi za Afrika je wasomi na wataalamu wamekata tamaa au nini?

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,909
51,904
Ukifuatilia siasa za Africa sasa hivi wasanii ndio wanaanza kuibuka kugombea vyeo vya uraisi africa

Mfano Raisi wa Madagascar Andry Nirina Rajoelina alikuwa DJ wa mziki

Bob Wine wa Uganda ni Mwanamuziki kagombea Uraisi uganda

Tanzania Freeman Mbowe alikuwa DJ wa Muziki na alishagombea uraisi Tanzania uchaguzi wa 2005

Raisi wa Liberia George Weah alikuwa mcheza mpira nk

Swali ni je Africa tumeishiwa vichwa vya wasomi wabobezi na wataalamu wabobezi wa kugombea uraisi ? Ni nini kimetokea hadi hali hii inajitokeza?
 
Cv ya george weah ameipata kwa uwezo wake mkubwa sana.. ambao hata ukiwachukua ma professor 1000 wa africa waunganishe ujuzi wao hawamfikii... elimu ni zaidi ya cheti
 
Ukifuatilia siasa za Africa sasa hivi wasanii ndio wanaanza kuibuka kugombea vyeo vya uraisi africa

Mfano Raisi wa Madagascar Andry Nirina Rajoelina alikuwa DJ wa mziki

Bob Wine wa Uganda ni mwanamuziki kagombea uraisi uganda

Tanzania Freeman Mbowe alikuwa DJ wa Muziki na alishagombea uraisi Tanzania uchaguzi wa 2005

Raisi wa Liberia George Weah alikuwa mcheza mpira nk

Swali ni je Africa tumeishiwa vichwa vya wasomi wabobezi na wataalamu wabobezi wa kugombea uraisi ? Ni nini kimetokea hadi hali hii inajitokeza?
Hivi wewe unaweza kujilinganisha hata na mmoja hapo?

Ova
 
Ukifuatilia siasa za Africa sasa hivi wasanii ndio wanaanza kuibuka kugombea vyeo vya uraisi africa

Mfano Raisi wa Madagascar Andry Nirina Rajoelina alikuwa DJ wa mziki

Bob Wine wa Uganda ni mwanamuziki kagombea uraisi uganda

Tanzania Freeman Mbowe alikuwa DJ wa Muziki na alishagombea uraisi Tanzania uchaguzi wa 2005

Raisi wa Liberia George Weah alikuwa mcheza mpira nk

Swali ni je Africa tumeishiwa vichwa vya wasomi wabobezi na wataalamu wabobezi wa kugombea uraisi ? Ni nini kimetokea hadi hali hii inajitokeza?
Mfumo wa siasa za kiafrika mbovu,
 
Hivi wewe unaweza kujilinganisha hata na mmoja hapo?

Ova

Kuandika wimbo tu na kutunga melody watu wengi wafurahi sio kazi ndogo... unatumia akili kubwa kuliko msomi alieajiriwa sehemu anafata to do list aliyoandikiwa..

Hata maofisi wanajua wasomi wengi hawana akili ndio maana wanawaandikia working manuals na Standard operating procedures.. maana wanajua wakiruhusu watumie akili zao wataaribu kazi
 
Mleta mada anayo hoja nzito! Ila kwa kuwa amemtaja Mhe. Freeman Mbowe basi wajibu hoja kwa mihemuko wameacha hoja wamerukia kumshambulia mleta hoja! Huo ndio ugonjwa wa Watanzania wengi kwani hawajui mijadala kazi yao kubwa ni ku-attack personalities tu!
Ukweli ni kuwa wasomi wengi hususani hapa Tanzania ni watu wanafiki,waoga,wanaojipendekeza kwa wenye madaraka hadi wanadharauliwa ( mfano rahisi ni Prof.Palamagamba Kabudi)!
Wasomi wengi mbali ya kuwa na "utajiri wa vyeti" ni watu wachumia tumbo sana! Ni wa watu wa "analysis paralysis"!
 
Mleta mada anayo hoja nzito! Ila kwa kuwa amemtaja Mhe. Freeman Mbowe basi wajibu hoja kwa mihemuko wameacha hoja wamerukia kumshambulia mleta hoja! Huo ndio ugonjwa wa Watanzania wengi kwani hawajui mijadala kazi yao kubwa ni ku-attack personalities tu!
Ukweli ni kuwa wasomi wengi hususani hapa Tanzania ni watu wanafiki,waoga,wanaojipendekeza kwa wenye madaraka hadi wanadharauliwa ( mfano rahisi ni Prof.Palamagamba Kabudi)!
Wasomi wengi mbali ya kuwa na "utajiri wa vyeti" ni watu wachumia tumbo sana! Ni wa watu wa "analysis paralysis"!
Umejaza maelezo mengi yasiyo na kichwa wala miguu, hebu jibu urais unasomewa wapi?

Kwanini unaona kwa akili zako mbovu msanii hawezi kuwa Rais?

Huyo msomi wako kuutaka urais au kutokuutaka that's his personal decision, na usiuite uamuzi wa mtu unafiki, huna hoja yoyote wewe na huyo kilaza mwenzio.
 
Mleta mada anayo hoja nzito! Ila kwa kuwa amemtaja Mhe. Freeman Mbowe basi wajibu hoja kwa mihemuko wameacha hoja wamerukia kumshambulia mleta hoja! Huo ndio ugonjwa wa Watanzania wengi kwani hawajui mijadala kazi yao kubwa ni ku-attack personalities tu!
Ukweli ni kuwa wasomi wengi hususani hapa Tanzania ni watu wanafiki,waoga,wanaojipendekeza kwa wenye madaraka hadi wanadharauliwa ( mfano rahisi ni Prof.Palamagamba Kabudi)!
Wasomi wengi mbali ya kuwa na "utajiri wa vyeti" ni watu wachumia tumbo sana! Ni wa watu wa "analysis paralysis"!
Unafiki umejengwa na mfumo wa siasa kama sii wa Kitanzania wa kiafrika,wapo wazalendo maslahi na wazalendo halisi , uongo?
 
Back
Top Bottom