Awe msichana
Ujuzi wa kutumia mitandao ya kijamii kwa ajili ya kuitangaza biashara
Atapewa smartphone
Mwezi mmoja kwa ajili ya kujifunza, atapewa nauli na pesa ya kula tu kwa siku. Mwezi unaifuata ndo ataanza kulipwa
Biashara ipo Nyasaka
Habari wakuu,
About
Umri wangu 25, location dar maeneo ya airport, nipo single sina mtoto, mrefu kiasi, mwembamba kiasi, sio mweupe au mweusi, na najitambua.
mimi nime jiajiri kwenye masuala ya programming developer.
Sio mlevii na situmii vitu kama bangi, mimi ni mkristo lakini sina kanisa...
Nimesoma clinical medicine.
Nimemaliza mwaka huu, hivyo ninahitaji kupata sehemu ya kujitolea kupata kujifunza zaidi na kupata uzoefu.
Nimesoma chuo cha private, na changamoto kubwa wa hivi vyuo vya private ni kupata muda mchache wa kufanya mafunzo ya wodini maana chuo chetu hakina hospitali...
Kama kichwa Cha habari kinavojieleza ukiwa ni kijana njoo tufanyie kazi. Mimi napoint viatu karume na mashati ya kiume na Sasa natafuta mtu ambaye anachukua mzigo kwangu anauza faida tunagawana nusu kwa nusu. Ishu hapa huhitaji mtaji ila inahitaji uaminifu na moyo wa kufanya kazi kutafuta...
Wadau mimi ni mwl nipo jiji la mwanza. Nimwajiriwa lkn najihusisha ktkt biashara za kilimo.
Ninaeneo la hekari km mbili na nusu. Nimejenga nyumba ya kawaida kwaajili ya kijana wa kazi pamoja na mabanda ya kuku na nguruwe.
Lkn km mnavyojua biashara yeyote inataka mtaji bila mtaji hakuna kitu...
💃🏻MDADA AWE:
♥️ Awe 18 - 40
♥️Sijali kazi, hata kama akiwa mvivu haina shida nachotaka awe na degree ya mahaba
♥️Alifundwa usichanani
♥️Awe flexible katika tendo yani hadi kuruka kichura aweze
♥️Awe mtu wa mitego ya kihisia hata wakati akiniletea chakula awe na kanga moko
♥️Awe mtu wa kazi yani...
Habari wakuu,
Natafuta wafugaji au mashamba ya kuku wa nyama wanaouza kwa bei ya jumla. Mpango wangu ni kuanza kununua kuku takribani 150 kwa wiki hii ya kwanza, na kuendelea kuongeza kiwango hadi 200 au zaidi kwa kila wiki, kulingana na uhitaji wa soko langu.
📌 Vigezo ninavyohitaji:
Kuku wa...
Mimi ni kijana wakiume mwenye Degree ya sheria,
Naamini hapa Jamii forums
Kuna watu wengi na wenye michongo, hivyo Naomba nitumie nafasi hii kuomba yeyote mwenye nafasi ya kazi either inayofanana na Sheria au tofauti basi anisaidie
Nipo Dar es salaam
Simu: 0779724159
Natafu rafiki ambaye tutakua tunaongea kiingereza tu, ni kwajili ya kupractice english speaking , mimi nafanya kazi za uhandisi electronics hardware na sofware. im a man. karibu PM kwa mawasiliano zaidi
Habari za humu wakuu,,Mimi ni muhitimu wa shahada ya Taaluma ya Maendeleo (BA-DS) kutoka University of Dodoma mwaka 2022.
Lengo la kuandika huu uzi ni kuomba connection ya nafasi kujitolea kwenye Taasisi za serikali au Taasisi binafsi,itakuwa vizuri ikiwa mkoa wa Mbeya hasa mbeya mjini...
Habari.? Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu natafuta wauzaji wajumla wa jezi za timu mbalimbali hasa jezi za msimu huu, yeyote mwenye kujua wapi naweza kupata namomba anisaidie..
Watu wengi wanauelewa ambao sio sahihi kuhusu usimp,na ndio maana wanaona kama hawa ma expert wanashawishi wanaume kuwa na roho mbaya kwa wanawake.
Ukweli hauko hivyo,ebu tufahamu kidogo tunamaanisha nini tunapo zungungumzia usimp au simp
Here we go.......
Simp ni mtu (mara nyingi mwanaume)...
Mimi ni mwanaume nina miaka 27 kwa sasa. Natafuta mwanamke wa kumuoa nimweke ndani kabisa niwe mumewe naye awe mke wangu.
Sina elimu kubwa ila najua kusoma na kuandika.
Nimepanga geto nalipa kodi 40k kwa mwezi.
Sina tattoo wala mchoro wowote.
Ni mkristo na Rastafari
Ni mrefu wa futi 6.2...
Habari
Natafuta noah road tour ama field tour tu offer ilokuwepo ni 13m isiwe imechezewa rangi niko dar nipe gari unayoijua tufanye biashara
0659756647 CALLS/WHATSAPP
Habari wadau wote wa usafiri. Natafuta engine kwa ajili ya kufufua pikipiki yangu. Sinoray 150 au 180 naielewa zaidi. Isiwe timing chain. Tafadhali tuwasiliane 0754004189
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.