natafuta

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Penguinelli Cactussini

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mchumba sasa na njoo

    Mimi ni mrefu futi 6.2 sina ajira nina kazi tu napambana. Ni mkristo na nampenda Yesu. Nina mwili mkubwa tu wa kutosha kuwa na ka kitambi kakufutia simu. Kwa kusema hivyo, 1. Nahitaji mwanamke awe mrefu, 2. Miaka huwa siangalii sana, 3. Elimu yoyote, 4. Rangi yoyote tu bora isiwe ana...
  2. IsDinah

    JamiiForums Tanzania Nitazipata wapi pepeta (rice flakes) nchini? Nipo Mbeya

    Habari wanajamvi, naomba msaada wenu. Natafuta pepeta (rice flakes) kwa ajili ya matumizi ya biashara ya vyakula. Nipo Mbeya lakini niko tayari kuagiza hata kutoka nje ya mkoa kama kuna wauzaji wa jumla au rejareja. Naomba mnisaidie kujua ni wapi naweza kuzipata au hata kama kuna mtu anayeuza...
  3. 4

    JamiiForums Tanzania Natafuta nafasi ya kujitolea diploma in clinical optometry mahali popote

    Natafuta nafasi ya kujitolea diploma in clinical optometry mahali popote
  4. Marxist Del Capitano

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya Kibarua (Moshi)

    Habari, natumaini mpo salama Naishi Moshi Mjini, Mimi ni kijana mchapa kazi na mahiri, hivyo kwa unyenyekevu mkubwa natafuta nafasi ya kazi ya Kibarua, popote Moshi mwenye anafaham naomba anisaidie.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta kiwanja Cha 3M kibaha

    Naweza pata kiwanja Kwa shilingi 3M? Nakihitaji ASAP
  6. Pro_active personnel

    JamiiForums Tanzania I risk for benefits natafuta kazi kwa stake hii

    Habari za muda huu wakuu Kwa changamoto za ajira apa nchini inabidi mdaa mengine ku risk kitu upate unachokihitaji Kila mtu ana ndoto ya kupata nafasi bora ya kazi… na mimi niko tayari kufanya kufanya kazi yoyote kwenye upande wa Quality | oil and Gas |weighbridge| field yoyote ya vipimo na...
  7. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta 'mwananake' mwenye uhitaji wa mume ili kujenga familia

    Tumsifu Yesu Kristo ndugu zangu. Ndugu zangu mimi ni mwanaume, miaka 40 natafuta mwanamke mwenye uhitaji wa mume ili kuishi maisha ya kumpendeza Mungu kwa kufunga ndoa na kujenga familia bora pamoja. Elimu yangu ni ya Chuo, nina kibarua cha kunipatia kipato cha kuendesha familia vizuri...
  8. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mchumba

    Hello Mwenzenu upweke utaniua Natafuta mwanamke ambae tutaenda nae kwenye mahusiano na tukiridhiana tuje kuwa mke na mume. Sifa zangu; Umri -30yrs Mjasiliamali Mkristo Sifa za mke: Umri 27yrs na kuendelea Mkristo Mwenye hofu ya Mungu Mwenye upendo wa dhati Nb. Akiwa Dar itapendeza zaidi...
  9. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta binti Salaf wa kuoa

    NATAFUTA BINTI WA KUOA. Email yangu natafutamke872@gmail.com Dini: Muislamu naitakidi na kufuata manhaj salafi Urefu: 158 cm Umri: 30 Kazi/kipato. Namshukuru Allah napata rizki kiasi cha kumudu majukumu ya ndoa. Makazi: Mara nyingi napatikana Dar es Salaam na mikoa ya jirani. Elimu ya...
  10. MulengaMulenga

    JamiiForums Tanzania Natafuta makanisa ya zamani katika jimbo la Arusha

    Je, kuna makanisa ya zamani au ya kihistoria katika jimbo la Arusha? Nilikuwa najiuliza kwanini katika majimbo mengi nchini Tanzania unakuta makanisa mengi ya zamani na mazuri ya Kanisa Katoliki, lakini katika jimbo la Arusha sijawahi kuona hata moja. Ninaposema makanisa ya zamani...
  11. D

    JamiiForums Tanzania Bado natafuta mtu anifundishe pikipiki nitachangia hela ya mafuta

    Habari natafuta mtu anifundishe pikipiki ambaye atanisaidia nitamshukuru sana nitachangia hela ya mafuta anicheki Pm au hapa hapa
  12. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mke wa kuzaa nae

    Wasifu wangu: -miaka ni 28 yrs -Elimu ni college -kazi ni mwajiriwa (sector binafsi) -Dini ni mkiristo Wasifu wa nimtakaye - atoke Kanda ya ziwa -elimu mwisho secondary -dini awe mkiristo OFfer hii itakua halali kuanzia Sasa mpaka mwezi December 2025
  13. Secret Star

    JamiiForums Tanzania Natafuta Nvidia RTX 3070 Used nina 500,000 Cash

    Wakuu nina shida na kadi Nvidia RTX 3070 kwa alienayo anicheki PM. Tafadhari
  14. S

    JamiiForums Tanzania Natafuta Chumba cha Kukaa (Living Room) Musoma mara

    Wakuu habari, Nimehamia Musoma hivi karibuni kwa ajili ya kazi na nimekuwa nikisumbuka kupata chumba kizuri cha kukaa (living room) kwa malipo ya kila mwezi. Vigezo ninavyopendelea: Iwe maeneo ya mjini (karibu na barabara kuu) Mahali pasafi na salama Bei isiyo juu sana kwa malipo ya kila...
  15. Myahudi93

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta rafiki wa kike Umri kuanzia 18

    Napatikana Kakola(Kahama) umri wangu 32. Government Employed
  16. kyakakombo

    JamiiForums Tanzania Natafuta wanaozalisha inzi aina ya Black Soldier kwa ajili ya uzalishaji wa funza

    Wadau Amani iwe kwenu Nimefuatilia kwa wenzetu huko Nigeria wanaozalisha funza agotti) kwa ajiri ya chakula cha kuku kwa kutumia inzi waitwao Black Soldier Nauliza kwa hapa Tanzania wapi naweza kupata hawa inzi ili nitumie kwenye ufugaji wangu wa kuku
  17. emmarki

    JamiiForums Tanzania Natafuta mashine ya coconut husks shreading

    Habari. Niko kisiwa cha mafia, kutokana na zao kuu kisiwa hiki kuwa ni nazi. Nazi zikishabanguliwa "kuvuliwa ganda la nje, mara nyingi haya maganda hutupwa na kuchomwa moto. Natafuta mashine ya kusaga hayo maganda kwa hapa tanzania ili niweze kupata unga nitaotengenezea coco peat kwa ajili ya...
  18. P

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mpenzi jinsia ya KIKE

    Natafuta rafiki wa kike, kabila yoyote, kuanzia miaka 40-50. Dini yoyote, mfanyabiashara au mwajiriwa. Naishi Dar. Nina miaka 50, mwanaume, urefu wa kati, maji ya kunde. Msukuma na Mjita. Mzaliwa wa Dar. Mfanyabiashara. Karibu atakayependezewa. Tafadhali naomba dharau, dhihaka na utani vikae...
  19. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mume asizidi miaka 40

    Mimi ni mama wa miaka 23 Niko Dodoma Kazi mtumishi Mrefu,mweupe sio mwembamba Wala sio mnene Mume ninayehitaji asiwe mlevi sichagui dini Wala kabila
  20. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mwanamke wa kuishi naye na kulea watoto

    Hello, mimi ni mwanaume mwenye watoto wa tatu, ni dereva Bajaji, nahitaji mwanamke wa kuishi nae na kulea watoto umri kuanzia miaka 27 hadi 35, sichagui rangi, dini wala kabila. Awe tayari kuishi Arusha
Back
Top Bottom