Nina ShambaPori lenye ukubwa wa heka 100 lipo Gwata mkoa wa Pwani ambalo limejaa miti mikubwa sana hivyo natafuta maboss ambao watahitaji kuvuna mikaa na kuni tuongee biashara napatikana kwa namba 0743699500 for call/whatsapp.
habari wakuu naomba ushauri kazi zangu zinahusisha kwa kiasi fulani wateja kuwa na internet hivyo najikuta nalazimika kuwaunganisha wateja wangu na watu wa internet provider mara nyingi.
nimepiga calculation zangu nimekuta nimeunganisha takriban wateja 16 ndani ya mwezi tu hawa wote...
Salaam wanajukwaa mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 32.
Nilimaliza Bachelor Degree ya Banking and Finance (IFM) 2014.
Nikasome Masters Degree of Finance and Investment (Coventry University- IAA).
Nimefanya contractual jobs na Kampuni tofauti.
Mwenye fursa akihitaji CV yangu nipo tayari...
Mimi ni kijana mwenye miaka 25, nipo, Dar Es Salaam.
Nisiwapotezee muda, naombeni kazi kwa yeyote anayeweza niona nafaa;
Ninaweza fanya kazi yotote, haswa ambayo sio ya kutumia nguvu sana kulingana na afya yangu.
Nina uwezo wa kuongea na watu vizuri (kiingereza na kiswahili).
Nina elimu ya...
Habari za leo wakuu.
Nimejaribu kutafuta hiyo television kwenye maduka mbalimbali kwa Dar es Salaam na sijafanikiwa.
Nyingi ambazo nimeziona ni LG QNED80, ila ninahitaji model ya namba 85.
Imenibidi kuulizia humu nadhani nitapata mwongozo.
Habari za majukumu wakuu,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31 ninaishi Dar es salaam, Ninawaomba kwa yeyote anaeweza kunisaidia kupata kazi nitashukiru sana, Nimeambatanisha CV yangu tafadhali nahitaji msaada wenu, Ahsante.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30
1. Ni msomi ngazi ya Bachelor Degree
2. Kazi yangu ni usafirishaji wa mizigo.
2.Dini ni mkristu.
SIFA ZA MWANAMKE NINAYE TAFUTA
1. Awe tayari kuolewa.
2. Hata akiwa na mtoto ni sawa.
3. Awe dini yeyote.
4. Awe hajawahi kwenda jela au asiwe na jinai.
Aliye...
Habari JF,
Natafuta chumba chakupangisha maeneo ya Mbezi Beach (Mbuyuni, Africana, Makonde, Shule, Kogoo, Tank Bovu, Massana) au isipite Goba Kayuni ukienda na njia ya Goba
Chumba kiwe ni kikubwa na Master.
Mwenye nyumba aisiwe kwenye nyumba moja.
Wapangaji wasiwe wengi (8+).
Kuwe na uzio/fensi...
Habari ndugu zangu, mimi ni dereva wa tax mtandao natafuta gari ya mkataba au hesabu kwaajili ya kazi za abiria kupitia application za uber, bolt, indrive na nyinginezo.
Kwa mawasiliano 0786168340
Kama mada inavyojieleza hapo juu na kama waswahili wasemavyo wa kushiba huonekana mezani, awamu hii tofauti sana na hali ilivyokuwa kuelekea uchaguzi wa mwaka 2015, sijaona viashiria vingi muhimu vinavyotoa matumaini ya ccm kuanguka katika uchaguzi unaokuja.
Mwaka 2015 kulikuwa na vuguvugu...
Habari!
Jamani natafuta mtu anaehitaji kuanzisha kampuni ya ulinzi. Ninayo leseni lakini sina mtaji natafuta mtu mwenye mtaji tufanye partnership Kama umekuwa interested
Mawasiliano.
0672650624
Wakuu natafuta soko la mashati meupe ya shule, ya mikono mirefu na mifupi. Nauza kwa bei ya kiwandani , kuanzia dozen 50. Nipo Dar. Kuna Size Small Medium Large, 38, 40,42 na 2, 3, 4 . Toa oda tufanye biashara
Wakuu habarini za muda,
Nimerudi mbele yenu wakuu kama kichwa cha habari kisemavyo naombeni mnipatie kazi yoyote na mahali popote.
Niko tayari kufanya Niko Mwanza NNA UJUZI WA COMPUTER ila hata kazi za nguvu naweza natanguliza shukrani wakuu PM yangu iko wazi 24/7 kwa kwenye uwezo wa kunisaidia
Habari WanaJamiiForums,
Ninahitaji kuwa competent kwenye kuongea kingereza hivo natafuta mtu au watu ambao wako na mitazamo sawa na mimi ili tutafute namna ya kuongea japo kila siku usiku kwa lugha ya kingereza.
Ningefurahi zaidi kupata waliofika hatua ya chuo kikuu kama mimi ili sote...