natafuta

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Natafuta CPU ya computer

    Habari, Natafuta CPU ya computer desktop nina sh 50000 nipo Dar hata kama ni zile model za zamani ilimradi iwe inafanya kazi. Ni PM specification
  2. N

    Natafuta Mtaalamu wakuweza kuandika e-newsletter kwa kutumia MailChim

    Wandugu habarini za majukumu. Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza, nataka mtaalamu tajwa. Connent nitaziandika mwenyewe, yeye kazi yake ni kui-design kwenye MailChimp na kushare na mimi. NB: Tayari nsha-create account ya MailChimp. Kama unaweza kuifanya/ unamjua mtu anayeweza hii...
  3. T

    Natafuta Volunteer 20 wenye taaluma ya Clinical medicine (8), nursing (7) na physiotherapy (5)

    Habari. Nahitaji Volunteers 20 wenye taaluma ya Clinical medicine (8), nursing (7) na physiotherapy (5) wa hapa Dar es salaam ngazi ya diploma kusaidia shughuli ya upimaji kwa watu wenye uhitaji maalum., Wanafunzi wa NTA level 5/6 pia wanaruhusiwa Usaidizi huo utaambatana na posho ndogo ya...
  4. P

    Natafuta Mawakala wa bidhaa hizi

    Habari, NATAFUTA NAMBA ZA AGENTS WAFUATAO: 1.SABUNI ZA MCHE 2.SABUNI ZA UNGA 3.SABUNI ZA KUOGEA 4.DAWA ZA MENO 5.MISWAKI 6.DAWA ZA MBU 7.TISSUE 8.SIAGI ZA AINA ZOTE 9.MAFUTA YA KULA 10.TAMBI ZAINA ZOTE 11.VIBERITI 12.DAWA ZA CHOONI 13.MAJANI YA CHAI 14.KAHAWA 15.MAZIWA YA UNGA 16.ROICO...
  5. Kizibo

    Natafuta mchumba (mwanamke)

    Habari za wakati huu wakuu, Mimi najitokeza kutafuta mchumba (binti) mwenye asili ya Mishamo, Katumba au Ulyankulu. SIFA ZAKE ★ Umri 20-26. ★Awe mweupe kiasi (asiwe mweusi wala mweupe sana). ★Awe mrefu kiasi (asiwe mrefu sana wala mfupi sana). ★Awe na mwili wa kawaida, asiwe mnene sana ★Awe...
  6. C

    Natafuta mwenza wa Maisha

    Mimi ni kijana wa kiume 29 yrs natafuta mwenza wa Maisha (mpenzi) mwenye vigezo vifuatavyo 1. Umri 22+ 2. Dini (Christian) mcha Mungu 3. Location - Tanzania Elimu sio kigezo kwangu kwa maana mimi nataka mke ambaye ni wife material na sio Professor. Kwa ambaye yuko interested ani PM na...
  7. Mjomba Nchumari

    Biashara ya Online Media: Natafuta Patner

    Habari za kazi wakuu !! Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa uhai na kuendeleza harakati za maisha, niko hapa kutafuta mtu aliye serious tufanye biashara ya Online Media. Mimi nina uzoefu wa miaka 5 kufanya kazi hizi ninaweza kuendesha (manage) page zote kuanzia Facebook, YouTube, Instagram...
  8. Yohana Ezekiel Kanyamala

    Natafuta kazi ya kuwa Katibu Muhtasi

    Naitwa Yohana Kanyamala, natafuta Kazi katika fani ya Secretary (Katibu Muhtasi) Nina ujuzi mbalimbali pia, kama kutumia kompyuta na nyinginezo
  9. Martin Ntuli

    Natafuta part time job za jioni kwa mkoa wa Dar es Salaam

    Age 25, mkazi wa kigamboni. On serious note natafuta kazi za jioni / night shift. Mwenye connection au idea ya sehemu kind naombeni connection ya Kazi. Huku uraiani sio poa mambo ni tight kinoma ni bora kupata mia ukajua umepata kwa jasho lako kuliko kuwa mifuko iliyotoboka. Asanteni.
  10. A

    Natafuta kazi yoyote halali

    Poleni na mihangaiko ya siku nzima Wakubwa zangu kwa Wadogo zangu., Kama mada inavyojieleza natafuta kazi yoyote halali ambayo inaweza kunikwamua kwenye hii hali mbaya niliyonayo ya kiuchumi maana nimekuja kujikuta nina msongo mkubwa wa mawazo. Sifa zangu: Mtahiniwa wa mitihani ya ATEC 2(Hapa...
  11. warzone

    Natafuta kijana wa kuuza juisi za matunda

    Habari za humu jf, nina tafuta kijana (akiwa wa kike itakuwa vizuri) kwaajili ya kuuza na kutembeza juisi za matunda maeneo mbalimbali. Umri: Chini ya miaka 24 Location Dar es Salaam (Kigamboni) Mshahara: Makubaliano kima cha chini ni 150,000/= kwa mwezi (kwa kama akiweza kuuza angalau dumu 3...
  12. ElsaAnna

    Wakuu natafuta kazi

    Wana jf kwema, natafuta kazi yoyote iwe halali nipo Arusha, professionally mm ni mwalimu wa Geography na history. Nina ujuzi wa computer. Fluent in English and Swahili.
  13. amrwanda

    Natafuta kazi ya kunyoa Dar au Arusha

    Habari zenu, Mimi ni kinyozi mzoefu natafuta kazi ya kunyoa, nipo tayari kufanya kazi Dar au Arusha, Aliye tayari a nitumie mawasiliano yake pm.
  14. K

    Natafuta kazi za Video production na Matangazo kwa kulipa anayeleta dili

    Habari wadau. Tumefungua Ofisi mpya studio tunatafuta kazi za video production, kuandaa matangazo, video shooting, Event Management kwa mwenye dili hilo anicheki tuangalie tunafanyaje. NB: Malipo yapo kwa atakayeleta dili.
  15. W

    Natafuta Mume aliye serious anayetaka mke. Nina miaka 36

    Mimi ni mwanamke, umri 36, naishi Singida, makazi rasmi ni Arusha. Kazi ni Secretary nimeajiriwa na kampuni binafsi, sijaolewa nina mtoto 1, Mkristo mhofu ya Mungu, body size medium, situmii pombe. Natafuta mchumba/mume, umri miaka 37-40, awe Mkristo, mwenye hofu ya Mungu, mwenye kazi yoyote...
  16. L

    Natafuta kazi ya ualimu

    Habarini ndugu, jamaa na marafiki. Mimi ni mwalimu wa Chemistry na Biology. Nina uwezo wa kufundisha primary, secondary na advanced level. Nipo mbeya. Please mwenye kujua shule yenye uhitaji au connection anijulishe. Namba ya simu: 0766698323
  17. Marashaaa95

    Natafuta audio/soundtrack ya kwenye movie ya my darling

    WAKUU Nilikua natafuta SOUNDTRACK ya movie ya MY DARLING ya Mussa Banzi ndani ya ile movie kaimba yule KIPOFU aliitwa TAFU Eeebwana eeeh lile Beat sijui alinyonga P FUNK MAJANI Maana ni balaa nikikumbuka. Beat kali,Ujumbe mkali na muimbaji aliimba kwa hisia sana . YouTube hii movie haipo ,nahisi...
  18. M

    Natafuta web designer

    Kama wewe ni web designer mzuri nipe ofa yako PM kwa ku-design website kama hii ya Findel International. Biashara yangu ni kama yao 100%. Kitu ambacho sitataka kama wao ni huo mfumo wa malipo (payment integration)... kwa sasa sihitaji. Visit hiyo website kupitia link niliyokuwekea kisha njoo...
  19. Justine Marack

    Natafuta wimbo au teaser ya kipindi cha watoto zamani huko RTD. Wimbo unaimba Chei Chei shangazi

    NATAFUTA wimbo au teaser ya kipindi Cha watoto zamani huko RTD. Wimbo unaimba Chei Chei shangazi. Tufirahi shangazi tufirahi shangazi
  20. Kilimbatzz

    Natafuta unlock codes za Samsung Note 10 5G

    Natafuta codes za simu tajwa hapo juu, Mwenye nazo aje tuyajenge, nakaribisha wadau wote
Back
Top Bottom