Natafuta viashiria muhimu vya CCM kuanguka uchaguzi unaokuja na upinzani kushinda sivioni

The Phylosopher

JF-Expert Member
Mar 11, 2015
1,503
2,046
Kama mada inavyojieleza hapo juu na kama waswahili wasemavyo wa kushiba huonekana mezani, awamu hii tofauti sana na hali ilivyokuwa kuelekea uchaguzi wa mwaka 2015, sijaona viashiria vingi muhimu vinavyotoa matumaini ya ccm kuanguka katika uchaguzi unaokuja.

Mwaka 2015 kulikuwa na vuguvugu kubwa sana la kisiasa kiwango cha kushawishi hata baadhi ya waliopata kuwa mawaziri katika serikali ya ccm kuhamia upinzani.

Mbali na hiyo hama hama Toka chama tawala kwenda ccm iliyojulikana kama kimbunga Kila Kona ya nchi kulikuwa na mijadala mingi sana iliyokuwa na mwelekeo wa kuichoka ccm na kuuchoka ufisadi uliokithiri miongoni mwa watawala.

Zaidi ya hayo hata chaguzi ndogo zilizoitishwa kipindi hicho ziliipa wakati mgumu sana ccm hata kama walishinda iliwalazimu kushinda Kwa mbinde sana.

Oparesheni zilizofanywa na wapinzani zilikuwa na mguso na mvuto mkubwa sana Kwa wananchi, hali ni tofauti sana awamu hii, mambo yako baridi sana. Unaweza uliza hata watanzania kumi kati yao asitokee hata mmoja anaejua hali ya vuguvugu la kisiasa nchini.

Zaidi sana mwamko mkubwa wa kisiasa umeibukia kwenye dpw vinginevyo hali kisiasa ingepooza zaidi.
 
Kama mada inavyojieleza hapo juu na kama waswahili wasemavyo wa kushiba huonekana mezani, awamu hii tofauti sana na hali ilivyokuwa kuelekea uchaguzi wa mwaka 2015, sijaona viashiria vingi muhimu vinavyotoa matumaini ya ccm kuanguka katika uchaguzi unaokuja.

Mwaka 2015 kulikuwa na vuguvugu kubwa sana la kisiasa kiwango cha kushawishi hata baadhi ya waliopata kuwa mawaziri katika serikali ya ccm kuhamia upinzani.
Mbali na hiyo hama hama Toka chama tawala kwenda ccm iliyojulikana kama kimbunga Kila Kona ya nchi kulikuwa na mijadala mingi sana iliyokuwa na mwelekeo wa kuichoka ccm na kuuchoka ufisadi uliokithiri miongoni mwa watawala.

Zaidi ya hayo hata chaguzi ndogo zilizoitishwa kipindi hicho ziliipa wakati mgumu sana ccm hata kama walishinda iliwalazimu kushinda Kwa mbinde sana.

Oparesheni zilizofanywa na wapinzani zilikuwa na mguso na mvuto mkubwa sana Kwa wananchi, hali ni tofauti sana awamu hii, mambo yako baridi sana. Unaweza uliza hata watanzania kumi kati yao asitokee hata mmoja anaejua hali ya vuguvugu la kisiasa nchini.

Zaidi sana mwamko mkubwa wa kisiasa umeibukia kwenye dpw vinginevyo hali kisiasa ingepooza zaidi.
Tatizo la vyama vya upinzani ni kama vinaweza katika umoja wao wa dhati kututafutia mgombea U Rais mwaka 2025 tumpigie kura ambaye ana uzoefu, maono na uelewa wa utawala na uendeshaji (due process) ambao unakubalika kimataifa pia na wananchi wengi hapa Tanzania. Huyo mtu kwa kuanzia si lazima awe mwanachama wa chama cho chote cha siasa, mradi wamkubali kwanza. Hili likiwezekana hata Katiba mpya isiyoegemea maslahi yo yote isipokuwa ya taifa la sasa na baadaye inaweza kupatikana ! Bila hivyo ndipo mambo yanayotikea Afrika Magharibi yatakuja kwetu huku Afrika Mashariki.Tusifike huko. Mark my advice.
 
Tatizo la vyama vya upinzani ni kama vinaweza katika umoja wao wa dhati kututafutia mgombea U Rais mwaka 2025 tumpigie kura ambaye ana uzoefu, maono na uelewa wa utawala na uendeshaji (due process) ambao unakubalika kimataifa pia na wananchi wengi hapa Tanzania. Huyo mtu kwa kuanzia si lazima awe mwanachama wa chama cho chote cha siasa, mradi wamkubali kwanza. Hili likiwezekana hata Katiba mpya isiyoegemea maslahi yo yote isipokuwa ya taifa la sasa na baadaye inaweza kupatikana ! Bila hivyo ndipo mambo yanayotikea Afrika Magharibi yatakuja kwetu huku Afrika Mashariki.Tusifike huko. Mark my advice.
Hili ndilo tatizo la Watanzania! Watalaumu upinzani, watataka 'ulete hivi na vile' ndio eti waupigie kura!......mbona hamtazami hayo kwa CCM?
Mwenye akili atauliza swali moja tu: Jee, tangu CCM ije madarakani, hali yangu na ya wale niwapendao imebadilika kuwa nzuri au mbaya? Bas. Kama ni mbaya, usiulize tena nani atakayekuja. Hata akiwa ni nyani anayesimama, mpigie. Kwa maana 'you have nothing to lose, na 'it is possible he would change your miserable condition.
Watanzania hawana right thinking. Sijui ni elimu au uchawi. Mi naona ni vyote! Maana Wa- Burkinabe hawana elimu kubwa hivyooo!
Ndiyo maana Afrika nzima, chama kilichoko madarakani tangu Uhuru hadi sasa ni CCM pekee!
 
Hili ndilo tatizo la Watanzania! Watalaumu upinzani, watataka 'ulete hivi na vile' ndio eti waupigie kura!......mbona hamtazami hayo kwa CCM?
Mwenye akili atauliza swali moja tu: Jee, tangu CCM ije madarakani, hali yangu na ya wale niwapendao imebadilika kuwa nzuri au mbaya? Bas. Kama ni mbaya, usiulize tena nani atakayekuja. Hata akiwa ni nyani anayesimama, mpigie. Kwa maana 'you have nothing to lose, na 'it is possible he would change your miserable condition.
Watanzania hawana right thinking. Sijui ni elimu au uchawi. Mi naona ni vyote! Maana Wa- Burkinabe hawana elimu kubwa hivyooo!
Ndiyo maana Afrika nzima, chama kilichoko madarakani tangu Uhuru hadi sasa ni CCM pekee!
Mimi sio mwanaccm ila ni mtanzania wa kawaida lakini ukizungumzia hali yangu ikoje! Unataka nijilinganiahe na nani?
Na huyu anayetaka nimchague ameonyesha mfano gani kuwa ana kitu cha tofauti?
Ni nchi gani ilipiga hatua kubwa Kwa kigezo Cha kuondoa chama tawala, au ni kupokezana tu ulaji?
 
Kama mada inavyojieleza hapo juu na kama waswahili wasemavyo wa kushiba huonekana mezani, awamu hii tofauti sana na hali ilivyokuwa kuelekea uchaguzi wa mwaka 2015, sijaona viashiria vingi muhimu vinavyotoa matumaini ya ccm kuanguka katika uchaguzi unaokuja.

Mwaka 2015 kulikuwa na vuguvugu kubwa sana la kisiasa kiwango cha kushawishi hata baadhi ya waliopata kuwa mawaziri katika serikali ya ccm kuhamia upinzani.

Mbali na hiyo hama hama Toka chama tawala kwenda ccm iliyojulikana kama kimbunga Kila Kona ya nchi kulikuwa na mijadala mingi sana iliyokuwa na mwelekeo wa kuichoka ccm na kuuchoka ufisadi uliokithiri miongoni mwa watawala.

Zaidi ya hayo hata chaguzi ndogo zilizoitishwa kipindi hicho ziliipa wakati mgumu sana ccm hata kama walishinda iliwalazimu kushinda Kwa mbinde sana.

Oparesheni zilizofanywa na wapinzani zilikuwa na mguso na mvuto mkubwa sana Kwa wananchi, hali ni tofauti sana awamu hii, mambo yako baridi sana. Unaweza uliza hata watanzania kumi kati yao asitokee hata mmoja anaejua hali ya vuguvugu la kisiasa nchini.

Zaidi sana mwamko mkubwa wa kisiasa umeibukia kwenye dpw vinginevyo hali kisiasa ingepooza zaidi.
Tukio la Mtwara na Lushoto last week
 
Hili swala Bandari ,watu kuondolewa kwenye makazi yao ya miaka na miaka,vitu kupanda bei kiholela Kila kukicha,kupanda Kodi ya majengo ...##inshort halibua kiuchumi ni mbaya mtaani na inaonekana hali itaendelea kua mbaya zaidi
 
Kama mada inavyojieleza hapo juu na kama waswahili wasemavyo wa kushiba huonekana mezani, awamu hii tofauti sana na hali ilivyokuwa kuelekea uchaguzi wa mwaka 2015, sijaona viashiria vingi muhimu vinavyotoa matumaini ya ccm kuanguka katika uchaguzi unaokuja.

Mwaka 2015 kulikuwa na vuguvugu kubwa sana la kisiasa kiwango cha kushawishi hata baadhi ya waliopata kuwa mawaziri katika serikali ya ccm kuhamia upinzani.

Mbali na hiyo hama hama Toka chama tawala kwenda ccm iliyojulikana kama kimbunga Kila Kona ya nchi kulikuwa na mijadala mingi sana iliyokuwa na mwelekeo wa kuichoka ccm na kuuchoka ufisadi uliokithiri miongoni mwa watawala.

Zaidi ya hayo hata chaguzi ndogo zilizoitishwa kipindi hicho ziliipa wakati mgumu sana ccm hata kama walishinda iliwalazimu kushinda Kwa mbinde sana.

Oparesheni zilizofanywa na wapinzani zilikuwa na mguso na mvuto mkubwa sana Kwa wananchi, hali ni tofauti sana awamu hii, mambo yako baridi sana. Unaweza uliza hata watanzania kumi kati yao asitokee hata mmoja anaejua hali ya vuguvugu la kisiasa nchini.

Zaidi sana mwamko mkubwa wa kisiasa umeibukia kwenye dpw vinginevyo hali kisiasa ingepooza zaidi.
Hii ilisababishwa na the late Dr.Magufuli kupiga marufuku shughuli za kisiasa.Kwa hiyo kuna hali flani ya kuanza upya.
 
Kama mada inavyojieleza hapo juu na kama waswahili wasemavyo wa kushiba huonekana mezani, awamu hii tofauti sana na hali ilivyokuwa kuelekea uchaguzi wa mwaka 2015, sijaona viashiria vingi muhimu vinavyotoa matumaini ya ccm kuanguka katika uchaguzi unaokuja.

Mwaka 2015 kulikuwa na vuguvugu kubwa sana la kisiasa kiwango cha kushawishi hata baadhi ya waliopata kuwa mawaziri katika serikali ya ccm kuhamia upinzani.

Mbali na hiyo hama hama Toka chama tawala kwenda ccm iliyojulikana kama kimbunga Kila Kona ya nchi kulikuwa na mijadala mingi sana iliyokuwa na mwelekeo wa kuichoka ccm na kuuchoka ufisadi uliokithiri miongoni mwa watawala.

Zaidi ya hayo hata chaguzi ndogo zilizoitishwa kipindi hicho ziliipa wakati mgumu sana ccm hata kama walishinda iliwalazimu kushinda Kwa mbinde sana.

Oparesheni zilizofanywa na wapinzani zilikuwa na mguso na mvuto mkubwa sana Kwa wananchi, hali ni tofauti sana awamu hii, mambo yako baridi sana. Unaweza uliza hata watanzania kumi kati yao asitokee hata mmoja anaejua hali ya vuguvugu la kisiasa nchini.

Zaidi sana mwamko mkubwa wa kisiasa umeibukia kwenye dpw vinginevyo hali kisiasa ingepooza zaidi.
Umevitafutia wap hivo viashiria? But kama umevitafutia mjengoni pale Lumumba huez ona viasharia zaid ya kuendelea kuota CCM kutawala milele!!
 
Back
Top Bottom