ushauri kuhusu service provider mzuri wa internet - fiber

covid 19

JF-Expert Member
May 9, 2014
4,882
10,605
habari wakuu naomba ushauri kazi zangu zinahusisha kwa kiasi fulani wateja kuwa na internet hivyo najikuta nalazimika kuwaunganisha wateja wangu na watu wa internet provider mara nyingi.

nimepiga calculation zangu nimekuta nimeunganisha takriban wateja 16 ndani ya mwezi tu hawa wote nimewaunganisha kwa internet provider tofauti 4, nimejaribu kuongea na wawili naona bado hawana mfumo wa freelancer kwa kampuni zao hawa wawili wanaleta nyodo siwataki tena .. sasa imeona kama hii ni fursa pia kwangu nahitaji internet provider wanaoweza kuingia contract na mimi nikawa napata na commission kabisa sio bure tena. ikiwa ni fiber itakuwa poa zaidi.
 
For telecom go to Voda and Tigo..voda as first choice and tigo as second.::voda infrastructure yao iko very high and speed is always super compared to all telecom in tz.
As ISP
Kuna Raha and Simbanet…both infrastructure yao ipo in most areas especially mijini plus support yao sio mbaya.
 
For telecom go to Voda and Tigo..voda as first choice and tigo as second.::voda infrastructure yao iko very high and speed is always super compared to all telecom in tz.
As ISP
Kuna Raha and Simbanet…both infrastructure yao ipo in most areas especially mijini plus support yao sio mbaya.

Nafikiri alimaanisha ile internet ya kufungiwa waya "Fiber" hao Voda na tigo sidhani kama wanayo
Naamini yupo mjini hivyo nashauri acheki na TTCL
 
For telecom go to Voda and Tigo..voda as first choice and tigo as second.::voda infrastructure yao iko very high and speed is always super compared to all telecom in tz.
As ISP
Kuna Raha and Simbanet…both infrastructure yao ipo in most areas especially mijini plus support yao sio mbaya.
Sidhani kama mmemuelewa...

Anachotaka ni Commission / kwahio Kampuni zinazoweza kumpa commission kwa kazi anayofanya sababu mpaka sasa ameshawaunganisha watu wanne kutokana na kazi zake (amewapatia kazi makampuni manne) kwahio hapo angekuwa kwenye contract na hizo kampuni angelipwa na sio kufanya kazi ya kanisa kama alivyofanya
 
Sidhani kama mmemuelewa...

Anachotaka ni Commission / kwahio Kampuni zinazoweza kumpa commission kwa kazi anayofanya sababu mpaka sasa ameshawaunganisha watu wanne kutokana na kazi zake (amewapatia kazi makampuni manne) kwahio hapo angekuwa kwenye contract na hizo kampuni angelipwa na sio kufanya kazi ya kanisa kama alivyofanya
Regardless of that request ilahao wapo okay…all companies do that nijinsi wewe unavyo negotiate
 
Regardless of that request ilahao wapo okay…all companies do that nijinsi wewe unavyo negotiate
Swali lake ndio linakuja hapo kati ya hao ambao wapo Okay who is the best na ukinegoatiate wanatoa kiasi gani au wapi ni rahisi kutoa..., nadhani hayo ndio maswali yake kama nimemuelewa vizuri
 
habari wakuu naomba ushauri kazi zangu zinahusisha kwa kiasi fulani wateja kuwa na internet hivyo najikuta nalazimika kuwaunganisha wateja wangu na watu wa internet provider mara nyingi.

nimepiga calculation zangu nimekuta nimeunganisha takriban wateja 16 ndani ya mwezi tu hawa wote nimewaunganisha kwa internet provider tofauti 4, nimejaribu kuongea na wawili naona bado hawana mfumo wa freelancer kwa kampuni zao hawa wawili wanaleta nyodo siwataki tena .. sasa imeona kama hii ni fursa pia kwangu nahitaji internet provider wanaoweza kuingia contract na mimi nikawa napata na commission kabisa sio bure tena. ikiwa ni fiber itakuwa poa zaidi.
Jamaa wa zuku aliniahidi 100,000 kwa kila watu 5, yeye naye anapata tu commision ina maana na wao wanapata zaidi ya hiyo.

Sema fiber inategemea na eneo.
 
Back
Top Bottom