Check na Yahya electronics au fatma electronics_lgbrandshop majina yao ya insta huko.Habari za leo wakuu.
Nimejaribu kutafuta hiyo television kwenye maduka mbalimbali kwa Dar es Salaam na sijafanikiwa.
Nyingi ambazo nimeziona ni LG QNED80, ila ninahitaji model ya namba 85.
Imenibidi kuulizia humu nadhani nitapata mwongozo.
Hio Ni new tu mkuu napatikana kkooUnapatikana wapi mkuu, na unaiuza bei gani?
Je ni brand new au used?
TV za LG kwa model hyo lazima uwe umejipanga mzigo upo inapatikana wap? Kama vp karibu napatikana ArushaHabari za leo wakuu.
Nimejaribu kutafuta hiyo television kwenye maduka mbalimbali kwa Dar es Salaam na sijafanikiwa.
Nyingi ambazo nimeziona ni LG QNED80, ila ninahitaji model ya namba 85.
Imenibidi kuulizia humu nadhani nitapata mwongozo.
TV za LG kwa model hyo lazima uwe umejipanga mzigo upo inapatikana wap? Kama vp karibu napatikana Arusha
85inch - 8,500,000/=
75inch - 6,000,000/=
65inch - 3,500,000/=
Asante sana mkuu, nadhani hiyo 65 inches itakuwa nzuri zaidi.
Naomba unitumie picha niweze kuona.
0742500503 nipigieAsante sana mkuu, nadhani hiyo 65 inches itakuwa nzuri zaidi.
Naomba unitumie picha niweze kuona.