Selemani See
Member
- Aug 27, 2023
- 20
- 30
Mimi ni kijana mwenye miaka 25, nipo, Dar Es Salaam.
Nisiwapotezee muda, naombeni kazi kwa yeyote anayeweza niona nafaa;
Ninaweza fanya kazi yotote, haswa ambayo sio ya kutumia nguvu sana kulingana na afya yangu.
Nina uwezo wa kuongea na watu vizuri (kiingereza na kiswahili).
Nina elimu ya chuo (bado mwanafunzi) nina experience na kazi ya ufundishaji masomo ya kiingereza na literature kwa ngazi ya O'level. Pia, nina experience ya kufanya kazi za mitaani kama kuosha vyombo, usafi na nyingine nyingi Ninaweza kuandika, kuedit na kutunga mashairi, riwaya na tamthilia.
Mwisho kabisa, sibagui kazi, mi nafanya kazi yotote inayopatikana mtaani au sehem yoyote.
Naomba kuwasilisha
Nisiwapotezee muda, naombeni kazi kwa yeyote anayeweza niona nafaa;
Ninaweza fanya kazi yotote, haswa ambayo sio ya kutumia nguvu sana kulingana na afya yangu.
Nina uwezo wa kuongea na watu vizuri (kiingereza na kiswahili).
Nina elimu ya chuo (bado mwanafunzi) nina experience na kazi ya ufundishaji masomo ya kiingereza na literature kwa ngazi ya O'level. Pia, nina experience ya kufanya kazi za mitaani kama kuosha vyombo, usafi na nyingine nyingi Ninaweza kuandika, kuedit na kutunga mashairi, riwaya na tamthilia.
Mwisho kabisa, sibagui kazi, mi nafanya kazi yotote inayopatikana mtaani au sehem yoyote.
Naomba kuwasilisha