Ja Mara
Member
- Aug 19, 2021
- 44
- 39
Nikianza na Taarifa zangu za awali.
Age: 24
Jinsia: mwanaume
Kuoa: Sijaoa
Urefu: 5.9ft
Uzito: kwa Sasa 76kg kwakawaida ni 89kg
Ulemavu: Sina ulemavu
Kilevi: Situmii kilevi Wala sijawai kutumia.
Upande wa familia: Akuna mwenye shidaiyo au alishawai kuanao Kiujumla Hakuna.
Ninapoishi kwa Sasa: Dar-es-salaam
Tatizo langu.
Nasumbuliwa na maumivu katika sehem kadhaa katika mwili wangu nimejaribu kutembelea hospitali mbali mbali mpaka Sasa sijapata msaada baada ya kutumia dawa walizokua wananiandikia.
Japo wengi walidai huo ugojwa ni mpya kwao ndo wanaisikia mwengine aliniaambia nikaombewe;
Nikitaka kuandika Kila kitu nitakesha.
Baada ya maumivu makali na kushindwa kutembea vizuri,pamoja na mapaja kua mazito kiasi kwamba nikikaa kwenye kiti siwezi nyanyua miguu liwe la kushoto ama kulia.
Mfano halisi wa pichaninavyo jiskia.
Age: 24
Jinsia: mwanaume
Kuoa: Sijaoa
Urefu: 5.9ft
Uzito: kwa Sasa 76kg kwakawaida ni 89kg
Ulemavu: Sina ulemavu
Kilevi: Situmii kilevi Wala sijawai kutumia.
Upande wa familia: Akuna mwenye shidaiyo au alishawai kuanao Kiujumla Hakuna.
Ninapoishi kwa Sasa: Dar-es-salaam
Tatizo langu.
Nasumbuliwa na maumivu katika sehem kadhaa katika mwili wangu nimejaribu kutembelea hospitali mbali mbali mpaka Sasa sijapata msaada baada ya kutumia dawa walizokua wananiandikia.
Japo wengi walidai huo ugojwa ni mpya kwao ndo wanaisikia mwengine aliniaambia nikaombewe;
Nikitaka kuandika Kila kitu nitakesha.
Baada ya maumivu makali na kushindwa kutembea vizuri,pamoja na mapaja kua mazito kiasi kwamba nikikaa kwenye kiti siwezi nyanyua miguu liwe la kushoto ama kulia.
Mfano halisi wa pichaninavyo jiskia.