Profesaa
Member
- Dec 18, 2015
- 6
- 4
Habarini Ndugu zangu,
NAHITAJI MSAADA WENU KATIKA HILI
1. Ninapata changamoto hii ya suala zima la ANUWANI SAHIHI ya kujazwa kipindi natuma maombi ya kazi katika mfumo wa ajira portal. Mfano kuna baadhi ya post nafasi za kazi unakuta umeandikiwa moja kwa moja anuwani ya kuwasilisha maombi yako chini ya tangazo hilo, lakini yapo matangozo mengine ya nafasi za kazi unasoma mwanzo mwisho haoni au kukuta anuwani bali unaambiwa maombi yote yafanyike kwa kuingia katika tovoti ya Ajira Portal.
Mfano CHANGAMOTO kama hii ya HELBS AJIRA ZILIZO TANGAZWA 05/06/2022 tangazo lake sijui anuwani ipi sahihi ya kutuma maombi.
SWALI:
JE, ANUWANI IWE ya wao HELBS au ya KATIBU MKUU OFISI YA RAIS
NAHITAJI MSAADA WENU KATIKA HILI
1. Ninapata changamoto hii ya suala zima la ANUWANI SAHIHI ya kujazwa kipindi natuma maombi ya kazi katika mfumo wa ajira portal. Mfano kuna baadhi ya post nafasi za kazi unakuta umeandikiwa moja kwa moja anuwani ya kuwasilisha maombi yako chini ya tangazo hilo, lakini yapo matangozo mengine ya nafasi za kazi unasoma mwanzo mwisho haoni au kukuta anuwani bali unaambiwa maombi yote yafanyike kwa kuingia katika tovoti ya Ajira Portal.
Mfano CHANGAMOTO kama hii ya HELBS AJIRA ZILIZO TANGAZWA 05/06/2022 tangazo lake sijui anuwani ipi sahihi ya kutuma maombi.
SWALI:
JE, ANUWANI IWE ya wao HELBS au ya KATIBU MKUU OFISI YA RAIS