naomba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. L

    JamiiForums Tanzania Nataka kiwanja cha hati lakini gharama za kufanya transfer naskia ni kubwa naomba ushauri

    Naomba ushauri kuna kiwanja nimekipenda kununua kina hati miliki lakini naskia gharama za kufanya transfer ni kubwa je nifanyeje ili kupunguza gharama au nitafute ambacho hakina hati militias nipime nitafute hati miliki
  2. Martha Amosi Mwakalibule

    JamiiForums Tanzania Naomba kazi ya marketing au sales, vitu ninavyoweza, ku offer katika kazi ni pamoja na kuwa na idea za ubunifu kukuza biashara, kutengeneza content,

    Habari mimi ni mwanafunzi wa chuo procurement and supply Natafuta kazi ya marketing au sales naamini nitafanya vizuri, hii yote niweze kumudu Ada na Familia yangu shukran 🙏.
  3. 1Africa54

    JamiiForums Tanzania Habari za hasubuhi wafanyakazi, wafanya biashara na wajasiliamali naomba anae jua biashara ya kujenga frem za kupangisha anipe maelekezo

    Wana JAMII FORUM naomba anae jua biashara ya frem za kupangisha anipe maelekezo nahitaji kuwekeza kwenye hii sector
  4. Mzalendo2015

    JamiiForums Tanzania Nabii Rolinga: Madhara ya kumwaga damu, suluhisho ni kukaa pamoja

    https://youtu.be/gRFTQaTOCUg?si=7yOQzFaQ7gsU5Y8a Rais wetu na mama yetu mpendwa, Dr. Samia Suluhu Hassan, kama Serikali yako ni sikivu na wewe mwenyewe ni msikivu, hebu sikiliza sauti hii ya mtume wa Mungu. Kwa imani yako kama Mwislamu unaye mwabudu Allah, naomba utafakari ushauri huu wa...
  5. bab-D

    JamiiForums Tanzania Bachelor degree in project planning and management (BDPPM) na Bachelor degree in environmental planning and management (BPM)

    Wakuu naomba tumshauri ndugu mmoja ni mwajiriwa (KILIMO) ila anataka kuhama kada na anapendelea kusoma kozi hizi? Swali baada ya kusoma anaweza hamia kada zipi Kwa kozi hizi? BACHELOR DEGREE IN PROJECT PLANNING AND MANAGEMENT (BDPPM) na BACHELOR DEGREE IN ENVIRONMENTAL PLANNING AND MANAGEMENT...
  6. Thecoder

    JamiiForums Tanzania Naomba mnipe maoni na ushauri juu ya hili wakuu

    Mambo vipi wakuu... Niko na hii platform ambayo inakwenda kwa jina la ulumbi.com ni marketplace ambayo inamuunganisha mwandishi na msomaji. Kwa maana iko na milango miwili ya kwamba unaweza kujisajiri kama user au writer na ukijisajiri kama writer utapata dashboard ya writer na huko ndio...
  7. L

    JamiiForums Tanzania Kwa Wanasimba TU, wate mliomlaumu Jean Ahoua naomba Kwa pamoja mumtake radhi

    Nasema kwa Wanasimba TU,wale wote mliomtukana,mliomponda ,mliomlaumu na mliomshambulia mchezaji Jean Ahoua wa Simba,baada ya kukosa goli siku ya mechi ya kwanza baina ya Simba na Stellenbosch huko zanziber. Muombeni msamaha Shujaa Ahoua. Nawataka wote mumuombe radhi na msamaha kijana huyo,kwa...
  8. Daby

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri kwa member anayeitwa Perry

    Kwanza nakulaumu saana kwa ujinga ulioufanya. Nimeangalia ID yako umejiunga JF 2011 ikimaniisha wewe ni mtu mzima. I'm disappointed of you. Kosa mlililolifanya hasa wewe ni kutokusimama na dada yenu....haijalishi yeye ni mkubwa kwako lakini kiafrika mwanaume hasa wa age yako unatakiwa uwe...
  9. Now and then

    JamiiForums Tanzania Wakuu hizi mvua zinaleta ongezeko la Mbu naomba ushauri hasa sisi wenye watoto!

    Nataka mdada mmoja mjamzito niende nae clinic watupe net Mbu zitaniuwa walahi wakuu
  10. iddy mweka

    JamiiForums Tanzania Usaili wa ajira za polisi 2025

    Jamani naomba nisaidieni location ya ofisi ya polisi wanapofanyia usaili (kuanzia kesho) kwa watu wa kidato cha nne na sita wilaya ya ilala. siku na muda kamili kwa ziada ya maelezo nitashukuru
  11. Perry

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba mnishauri kuhusiana na huyu dada yangu mkubwa

    Mambo wakuu? Nina dada yangu mkubwa ana umri kama 38yrs hivi,sasa huyu dada alikua anaishi na mwanaume wake ila hawakua wamefunga ndoa,wameishi kama miaka 8 kama sikosei.wamebahatika kupata watoto watatu mpaka sasa, mumewe ni muajiriwa kwenye shirika flani kubwa tu hapa nchini,dada yangu yeye...
  12. 1Africa54

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua utaratibu wa wanandoa walio ajiriwa serikalini kuhama

    Habari wana JAMII FORUM naomba kuuliza ni taratibu zipi kwa mwanandoa kuhama kikazi serikalini na kumfata mwenza wake ambae kapangwa mbali yaani halmashauri tofauti Pia mume anaruhisiwa kumfata mke au ni mke ndio Sheria inamtaka tu ? Je inachukua mda gani kwa mwanandoa wa ajira mpya kuhama...
  13. 1Africa54

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua utaratibu wa wanandoa walio ajiriwa serikalini kuhama

    Habari wana JAMII FORUM naomba kuuliza ni taratibu zipi kwa mwanandoa kuhama kikazi serikalini na kumfata mwenza wake ambae kapangwa mbali yaani halmashauri tofauti Pia mume anaruhisiwa kumfata mke au ni mke ndio Sheria inamtaka tu ? Je inachukua mda gani kwa mwanandoa wa ajira mpya kuhama...
  14. O

    JamiiForums Tanzania Mimi ni mgeni humu naomba mnipokee

    Habari zenu, Jamani mi ni mgeni naomba mnipokee nikihitaji ushauri msichoke kunishauri.
  15. NAMDORY

    JamiiForums Tanzania Manispaa wamekuja dukani kukagua leseni, wadai sina Service Levy, nini maana yake?

    Leo Manispaa wamekuja dukani kwangu kukagua Leseni ya biashara. Hiyo ninayo,lakini wakaniambia Sina Service Levy. Nauliza nini maana ya Service Levy? Inamaanisha nini ijapo nimeilipa.
  16. The Spartan

    JamiiForums Tanzania Midoli: naomba kujuzwa chochote unacho kijua kuhusu midoli

    Wakuu, natumaini mnaendelea vizuri na majukumu yenu ya kila siku. Kuna huu mjadala nimeukuta somewhere lakini nikaona si mbaya kama nikiuletajamvini hapa sote tuchangie mawazo. Suala ni kuhusu hii midoli yenye wadadawanapenda kuweka ndani au watoto kuchezea...baadhi ya watu wamekuwa wakitoa...
  17. R

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa standard size za matofali ya cement kwa milimita.

    Tofali la inch 6: Length = x mm Width = x mm Depth = x mm Tofali la inch 5: Length = x mm Width = x mm Depth = x mm
  18. M

    JamiiForums Tanzania NAOMBA KUULIZA FAVORS ANAZOPATA MTU MWENYE ULEMAVU KWENYE AJIRA ZA SERIKALI KUPITIA AJIRA PORTAL

    Napenda kujua Naomba kujua favor anzopata mtu mwenye ulemavu kwenye ajira za utumishi ikiwa labda kafeli oral au hata written wanamsaidiaje hapo? Nina ndugu yangu Kaomba Hz kazi za ualimu masomo ya biashara yeye kakatika mkono
  19. L

    JamiiForums Tanzania Naomba mnielimishe kuhusu hiki kitu

    Wakuu hbr za majukumu ningependa kuelimishwa kuhusu maswala ya green card kwa watu wanaopenda kwenda kuishi nje na kufanya kazi huko na je ilifungiwa na rais trump?
  20. Fbn

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jamani jamani naomba msije jichanganya kuwa na mahusiano na wanawake wa uswahilini

    Ukiambiwa dunia ni usiku na mchana ndio haya. Malezi waliokulia wanawake wa uswahilini ni ya ajabu yani kuanzia shida wanazopitia na kutofatiliwa na wazazi wao yanapelekea kuwa watu wa ajabu. Kuna kipindi cha dada mmoja Geah habibu pale youtube mnaweza kujifunza vituko huko
Back
Top Bottom