mwezi

  1. S

    GE2020 Catherine Ruge: Kwa mateso haya niliyoyapata, siwezi kusaliti chama changu na Wananchi wangu wa Serengeti walioniamini

    Ameandika hivi kupitia twitter: Kwa Mateso na Maumivu haya niliyopitia Siwezi kusaliti chama Changu na Wananchi wa Serengeti walioniamini na Kunipa Heshima Kubwa Kama Msubhati wao.
  2. dvj nasmiletz

    Inakuwaje tarehe na mwezi wa kuzaliwa na kufa vinafanana?

    Yaani unazaliwa tareh 1 mwezi wa 3 1999 na unakufa tarehe 1 mwezi wa 3 2000
  3. GENTAMYCINE

    Mtaalam wa Saikolojia: Mwanaume asipolia tena kwa kutoa kabisa Machozi mara Nne kwa Mwezi ajue anaukaribisha Uwendawazimu

    "Kiuumbaji na hata Kisaikolojia tu Mwanaume ni Mtu ambaye anakuwa amebeba mambo mengi Kichwani na Akilini mwake tena mazito mazito na makubwa makubwa kuliko Mwanamke. Hivyo basi moja ya Tiba ya haraka ili kumuepusha akae vyema Kifikra na Kuhimili mambo anatakiwa ajitahidi kila Wiki awe analia...
  4. Its Pancho

    Kuanzia mwezi huu kama huna pesa usije Dodoma

    Kama mnavyojua wandugu kuwa kwa sasa makao makuu rasmi imekuwa ni Dodoma, mpaka Rais yuko hapa, Waziri Mkuu na wadosi wengine wamehamia huku. Kwahiyo gharama za vitu na bidhaa zimesogea kidogo hasa kwa upande wa wale jamaa wa kula Faru John mbuzi katoliki. Yaani hapa nilipo naona kama ni...
  5. Jospina

    Tuzo Za Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa '''10 - 2020''' Ligi Kuu Bara ina walakini

    * MUKOKO Mechi 4 goli 1 Assist 0 Dube Mechi nne Goli 3 Assist 3 MESHACK WA GWAMBINA Mechi : 4 Goal : 4 Assist : 2 Mchezaji Bora MUKOKO Au Kuna Kigezo Kingine Kimetumika Ili Kumpata Mchezaji Bora _*Anaejua Tuelimishane Kidogo
  6. comte

    Dada huyu atakuwa dada wa mwezi huu kwa hili alilolifanya

    Rosemary Kweka 1tSpons5faohrendfg · Nikiwa kama Mgeni rasmi wa Mahafali ya 10 Shule ya Sekondari Kiloleli October 31/2020. Ni heshima ambayo inakuja na majukumu. 💁Unaambiwa mafanikio na changamoto za shule. Na hutoi tu ahadi kama wanasiasa, unatakiwa kuzitatua hizo changamoto. 💁Nashukuruni kwa...
  7. kaka9

    habari natafuta mtu ambaye yupo tayari kukodisha laptop kwa mwezi

    habari wadau natafuta mtu anayeweza kukodisha laptop kwa mwezi, kuna kazi nataka kuifanya mara moja,tutaingia mkataba na nitamlipa pesa yake kama tutakavyo kubaliana ,ambaye yuko tayari anicheki kwa namba yangu 0687234549 asanteni. note:laptop iwe na ram 4 na processor 2 kuendelea,yani iwe...
  8. FedhaBook

    SOFTWARE FedhaBook: Tunza kumbukumbu zako za mapato na matumizi bila malipo ya kila mwezi wala mwaka

    .
  9. A

    Anasema nimuhudumie kila mwezi

    .
  10. Deejay nasmile

    Je, mwezi uliozaliwa kuna matukio gani makubwa yanayokumbukwa duniani?

    Hakuna kitu kizuri kama kumbukumbu, japo kuna kumbukumbu mbaya na nzuri. Yote ni mipango hatuna budi kushukuru. Je, mwezi uliozaliwa kuna matukio gani makubwa yanayokumbukwa duniani?
  11. T

    GE2020 Rais Magufuli, ongeza mishahara mwezi huu, watumishi watakuelewa

    Hizi siku chache zilizobaki, unaweza kuzitumia vizuri kwa kuwaongezea mishahara watumishi. Hawa ni watu wasio na kinyongo na huridhika kwa kitu kidogo tu. Ili kupunguza 'technicalities' nakushauri uongeze 'flat tate' yaani ukiamua kuongeza, ongeza bila kujali ngazi ya mshahara wa mtumishi. Kwa...
  12. YEHODAYA

    Meli mpya kwa ajili ya Ukerewe yakamilika kama ilani ya CCM ilivyotaka, imeingia majini leo kuanza safari rasmi tarehe 19 mwezi huu wa Octoba 2020

    CCM Kwenye ilani iliahidi kujenga meli mpya baada ya ile ya MV NYERERE kupata ajali. Leo imekamilika kama ilani ya CCM ilivyotaka imeingia majini leo kuanza safari rasmi tarehe 19 mwezi huu wa Oktoba 2020 ina uwezo wa kubeba abiria 300. Tatizo la usafiri Ukerewe kuwa historia. Kama ilani ya...
  13. Masokotz

    Jinsi Tunavyomsaidia Mjasiriamali atimize ndoto yake

    Habari za wakati huu; Wengi huwa wananiuliza kwa nini huwa napenda kumwambia mtu aje PM pale anapohitaji ushauri wa kibiashara na uwekezaji.Ni kwa sababu hakuna solution ambayo inawatosha watu wote katika ujasiriamali na ushauri.Ili kuthibitisha leo nitaweka hapa kwa uchache kile ambacho huwa...
  14. Carlos The Jackal

    Rais Magufuli, umewadhalilisha sana wanawake weusi nchini

    Kauli yako uliyoitoa leo hii, eti huyo mgombea wako cheupe akija Ofisini mwako utamuhudumia haraka kuliko hata wanawake weusi. Ni Udhalilishaji na Unyanyasaji wa kijinsia, umeonyesha wazi kuwa wewe ni mbaguzi wa rangi. Kumbe ndo maana wanawake weupe weupe wanakula Mema ya nchi huku wachache...
  15. MK254

    Duh! Kwa mwezi wa Agosti tu, Wakenya wamefanya miamala yenye thamani ya bilioni Ksh.473.5

    Mobile money transactions have continued growing in shear volume and value having set a new Ksh.473.5 billion value record in August. This according to data compiled by the Central Bank of Kenya (CBK) which indicates a 30 per cent growth in the value of mobile transactions since March this...
  16. S

    Zanzibar kuanza kuchimba mafuta na gesi ndani ya Mwezi mmoja wa ACT wazalendo.

    Ni mkakati wa ACT wazalendo chini ya uongozi wa Maalim Seif Sharif Hamadi na timu yake ya ushindi,amesema hilo halina ubishi wala mjadala ni mazungumzo yalioasisiwa na utekelezaji wake upo mezani. Jambo ambalo limeshindwa kutekelezwa na Chama Cha Mapepari(CCM) kwa muda wa miaka 55,mapepari...
  17. Mlolongo

    Baada ya kupata taste ya kumiliki gari, mwezi January naachana na babywoka nanunua Subaru Forester

    Nimejifanyia self-assessment katika kipindi cha miezi mitano nimeona kinatosha kunipa picha ya utamu na uchungu wa kumiliki gari. Wakati naagiza gari uchumi wangu haukua stable kivile, plus little (almost none) experience ya kumiliki gari ikapelekea nikaagiza babywoka. Miezi minne kutoka sasa...
  18. Erythrocyte

    GE2020 Kata kwa Kata: Mwezi mmoja kabla ya Uchaguzi Mbeya mjini, shughuli imekwisha

    Huu ni mkutano uliopigwa leo na Mbunge wa milele wa jimbo hilo Joseph Mbilinyi kata ya Ilemi ambaye pia wenyeji wa hapo humuita Rais wa Mbeya . Mtu huyu ambaye pia ni mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA hana mambo mengi kwenye mikutano yake, hushirikiana na watu wa Mbeya tu akiwemo Mtu mzito John...
  19. rr4

    Vifaranga wa bata bukini wa mwezi na nusu

    Habari, Ninauza vifaranga wa Bata BUKINI wa MWEZI na nusu. Wamebaki watatu... Dume moja na jike mbili. Bei Ni tsh. 30,000@ kwa rejareja na tsh. 25,000@ kwa jumla. Wapo maeneo ya kiboriloni, Moshi Mkoani Kilimanjaro.
  20. YEHODAYA

    GE2020 Leo ni mwezi mmoja kamili toka kampeni zianze, CCM tu ndio inanadi Sera na Chama wengine wanajinadi wao binafsi kuwa nichague mimi

    Kampeni ni kunadi Sera na chama ili chama kishike dola. Leo ni mwezi mmoja kamili toka kampeni zianze CCM tu ndio inanadi sera na chama wengine wanajinadi wao binafsi kuwa nichague mimi. Kampeni kwao zimejikita zaidi kwenye u imimi sio chama ndio maana tunaona hata vyama vingine kama Chadema...
Back
Top Bottom