Ameandika hivi kupitia twitter:
Kwa Mateso na Maumivu haya niliyopitia Siwezi kusaliti chama Changu na Wananchi wa Serengeti walioniamini na Kunipa Heshima Kubwa Kama Msubhati wao.
"Kiuumbaji na hata Kisaikolojia tu Mwanaume ni Mtu ambaye anakuwa amebeba mambo mengi Kichwani na Akilini mwake tena mazito mazito na makubwa makubwa kuliko Mwanamke. Hivyo basi moja ya Tiba ya haraka ili kumuepusha akae vyema Kifikra na Kuhimili mambo anatakiwa ajitahidi kila Wiki awe analia...
Kama mnavyojua wandugu kuwa kwa sasa makao makuu rasmi imekuwa ni Dodoma, mpaka Rais yuko hapa, Waziri Mkuu na wadosi wengine wamehamia huku.
Kwahiyo gharama za vitu na bidhaa zimesogea kidogo hasa kwa upande wa wale jamaa wa kula Faru John mbuzi katoliki.
Yaani hapa nilipo naona kama ni...
*
MUKOKO
Mechi 4
goli 1
Assist 0
Dube
Mechi nne
Goli 3
Assist 3
MESHACK WA GWAMBINA
Mechi : 4
Goal : 4
Assist : 2
Mchezaji Bora MUKOKO
Au Kuna Kigezo Kingine Kimetumika Ili Kumpata Mchezaji Bora
_*Anaejua Tuelimishane Kidogo
Rosemary Kweka
1tSpons5faohrendfg ·
Nikiwa kama Mgeni rasmi wa Mahafali ya 10 Shule ya Sekondari Kiloleli October 31/2020. Ni heshima ambayo inakuja na majukumu.
💁Unaambiwa mafanikio na changamoto za shule. Na hutoi tu ahadi kama wanasiasa, unatakiwa kuzitatua hizo changamoto.
💁Nashukuruni kwa...
habari wadau
natafuta mtu anayeweza kukodisha laptop kwa mwezi, kuna kazi nataka kuifanya mara moja,tutaingia mkataba na nitamlipa pesa yake kama tutakavyo
kubaliana ,ambaye yuko tayari anicheki kwa namba yangu 0687234549 asanteni.
note:laptop iwe na ram 4 na processor 2 kuendelea,yani iwe...
accounting
bei
biashara
computer
duka
fedha
jumla
kumbukumbu
kusimamia
kutunza
maduka
malipo
management
management system
mapato
matumizi
mauzo
mfumo
mwaka
mwezi
offa
pharmacy
rejareja
software
supermarket
system
wamiliki
yako
Hakuna kitu kizuri kama kumbukumbu, japo kuna kumbukumbu mbaya na nzuri. Yote ni mipango hatuna budi kushukuru.
Je, mwezi uliozaliwa kuna matukio gani makubwa yanayokumbukwa duniani?
Hizi siku chache zilizobaki, unaweza kuzitumia vizuri kwa kuwaongezea mishahara watumishi. Hawa ni watu wasio na kinyongo na huridhika kwa kitu kidogo tu.
Ili kupunguza 'technicalities' nakushauri uongeze 'flat tate' yaani ukiamua kuongeza, ongeza bila kujali ngazi ya mshahara wa mtumishi. Kwa...
CCM Kwenye ilani iliahidi kujenga meli mpya baada ya ile ya MV NYERERE kupata ajali. Leo imekamilika kama ilani ya CCM ilivyotaka imeingia majini leo kuanza safari rasmi tarehe 19 mwezi huu wa Oktoba 2020 ina uwezo wa kubeba abiria 300.
Tatizo la usafiri Ukerewe kuwa historia.
Kama ilani ya...
Habari za wakati huu;
Wengi huwa wananiuliza kwa nini huwa napenda kumwambia mtu aje PM pale anapohitaji ushauri wa kibiashara na uwekezaji.Ni kwa sababu hakuna solution ambayo inawatosha watu wote katika ujasiriamali na ushauri.Ili kuthibitisha leo nitaweka hapa kwa uchache kile ambacho huwa...
Kauli yako uliyoitoa leo hii, eti huyo mgombea wako cheupe akija Ofisini mwako utamuhudumia haraka kuliko hata wanawake weusi.
Ni Udhalilishaji na Unyanyasaji wa kijinsia, umeonyesha wazi kuwa wewe ni mbaguzi wa rangi.
Kumbe ndo maana wanawake weupe weupe wanakula Mema ya nchi huku wachache...
Mobile money transactions have continued growing in shear volume and value having set a new Ksh.473.5 billion value record in August.
This according to data compiled by the Central Bank of Kenya (CBK) which indicates a 30 per cent growth in the value of mobile transactions since March this...
Ni mkakati wa ACT wazalendo chini ya uongozi wa Maalim Seif Sharif Hamadi na timu yake ya ushindi,amesema hilo halina ubishi wala mjadala ni mazungumzo yalioasisiwa na utekelezaji wake upo mezani.
Jambo ambalo limeshindwa kutekelezwa na Chama Cha Mapepari(CCM) kwa muda wa miaka 55,mapepari...
Nimejifanyia self-assessment katika kipindi cha miezi mitano nimeona kinatosha kunipa picha ya utamu na uchungu wa kumiliki gari.
Wakati naagiza gari uchumi wangu haukua stable kivile, plus little (almost none) experience ya kumiliki gari ikapelekea nikaagiza babywoka.
Miezi minne kutoka sasa...
Huu ni mkutano uliopigwa leo na Mbunge wa milele wa jimbo hilo Joseph Mbilinyi kata ya Ilemi ambaye pia wenyeji wa hapo humuita Rais wa Mbeya .
Mtu huyu ambaye pia ni mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA hana mambo mengi kwenye mikutano yake, hushirikiana na watu wa Mbeya tu akiwemo Mtu mzito John...
Habari,
Ninauza vifaranga wa Bata BUKINI wa MWEZI na nusu.
Wamebaki watatu... Dume moja na jike mbili.
Bei Ni tsh. 30,000@ kwa rejareja na tsh. 25,000@ kwa jumla.
Wapo maeneo ya kiboriloni, Moshi Mkoani Kilimanjaro.
Kampeni ni kunadi Sera na chama ili chama kishike dola.
Leo ni mwezi mmoja kamili toka kampeni zianze CCM tu ndio inanadi sera na chama wengine wanajinadi wao binafsi kuwa nichague mimi.
Kampeni kwao zimejikita zaidi kwenye u imimi sio chama ndio maana tunaona hata vyama vingine kama Chadema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.