IBRA wa PILI
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 1,448
- 2,289
Yani simba na yanga kukutana terehe 3 ya mwezi wa saba muda huo ligi si inatakiwa iwe imeisha jamani ina mana wameshindwa kubalance muda hapa katikati kuna hatari ya kutokea mazingaombwe mengne utasikia mechi imeludishwa nyuma Ngoja tuone.
Alafu hapo ligi inaenda mpaka tarehe 18 mwezi wa saba kasoro siku chache kutimia mwezi wa 8 mida huo timu zinakua zipo na maandalizi ya msimu ujao na hata kambini kabisa du
Alafu hapo ligi inaenda mpaka tarehe 18 mwezi wa saba kasoro siku chache kutimia mwezi wa 8 mida huo timu zinakua zipo na maandalizi ya msimu ujao na hata kambini kabisa du