Hello
Shalom
Najua kwasababu ya upofu walionao watu ni rahisi sana mtu anayeitwa nabii kuchukiwa.
Hata kanisa linalojinasibu kuhubiri Injili siku ukiitwa nabii au ukijiita nabii tayari umeshatangaza vita. Hii ni kwasababu watu wengi wanapenda mavazi ya Kimungu na kufanya kazi za Mungu lakini...
Anza kidogo, lakini anza kwa akili.
Kila hatua unayochukua leo inaweza kubadilisha kesho ya mradi wako wa kuku.
Usifuge kwa kubahatisha tena - Fuga App inakupa taarifa sahihi, ratiba za lishe, gharama, na kumbusho za chanjo ili kufuga kwa faida.
→ Mwezi huu, fanya uamuzi wa kukuza mradi wako...
Kumekuwa na sitofahamu kati yangu na mchumba ang, last dance ilikuwa kama miez 4 iliyopita.. na kila nikimpangilia kuja ghetto ni kipengele aisee nifanyaje?
Wakuu Kwa Ufupi naendelea kurudia kile kile nilichokisema Jana !!
Hamna Uchaguzi Oktoba 2025.
LISSU anaachiwa.
Reforms zitafanyika.
Ili haya yote yatimie, Kuanzia tarehe 1-7 ya mwezi ya Nane Kuna matukio yanaenda Kuwashangaza Machawa kwelikweli !!
Oyaa Machawa wa Mama, Narudia, Mwisho wenu...
Kama umewahi kujiuliza, “Nawezaje kupata kipato cha uhakika mtandaoni?” — basi makala hii ni kwa ajili yako.
Watu wengi hufikiri lazima uwe na kompyuta kubwa, ujuzi mgumu au uwe na mtaji wa mamilioni ili kupata pesa mtandaoni.
Sio kweli.
Leo nakufundisha njia rahisi kabisa utakayoweza kutumia...
Hatuna maneno mengi. Kwetu KAZI zinajieleza zenyewe. Lisu hana ubavu wa kuchuana na Mama mwenye uwezo wake. Lisu mwenyewe juzi amekiri hilo. Unakumbuka siku Lisu alipokuwa Mahakamani amevaa tisheti imeandikwa One Heart one love. Kamuulizeni sababu.
Ila mkae mkijua Lisu mwenyewe Kasanda. Hiyo...
1. Kwanza ni-declare Interest, Mi ni moja ya wanufaika wa Internet. Nimejiajiri kupitia internet na cycle yangu kubwa ni hawa influencers, freelancers, content creators, advertisers, etc.
2. Pili lazima tukubali Kodi ndio inaendesha uchumi wa nchi yoyote Ile duniani.
Huwezi endesha nchi bila...
Naunganisha YAS POSTPAID BUNDLE kwa uharaka sana
Hakuna gharama za ziada ili upate huduma
Kigezo kikubwa ni Pesa ya kifurushi chako.
UNLIMITED YA 100,000 hii tunakuunga hata kwenye simu yako ya mkononi
Wasiliana nami whatssap
+255 765 991551
Na hakuna mpango hata mmoja niliopanga kuhutimiza ukatimia.
Nilijua nikiachana na shughuli za uchakataji kwa takribani nusu mwaka nitapiga hatua kwa kiasi fulani, walau pesa ambazo ningepigwa vizinga nizichange change nikanunue kiwanja Kiruvya, hakuna hata kimoja kilichotimia
Naanza kupatwa...
Maisha ya muajiriwa wa kawaida kabisa hapa Tanzania kwa mwezi yanasikitisha sana
Kodi -200k
Usafiri-200k
Chakula 200k
Umeme -30k
Maji -30
Matumizi binafsi-200k
Savings 100k
Yaani huyu ni mtu anayepata 940k as net per month anaweza kujenga kweli ??
Je wewe unalipwa shilingi ngapi ??
hii sofa ni balaa
inanesa nesa tu ina spring
yaan bado ina hata karatasi kwenye hizo gold
ni full white lether afu ngumu
ni L shaped na ina sehemu za kuchajia simu
bei yake mpya kabisa ni 650000 au 700000
mimi hii nimeitumia karibia mwezi mmoja tu
utaipata kwa 500,000
mahari
Dar es...
JUMLA YA SMS BILIONI 52.8 ZIMETUMWA NA KUPOKELEWA MWEZI JUNI 2025 SAWA NA ONGEZEKO LA ASILIMIA 6 UKILINGANISHA NA MWEZI MACHI 2025
idadi ya sms ndani ya nchi imeongezeka kutoka sms bilioni 50 mwezi MACHI 2025 hadi kufikia bilioni 52.8 mwezi Juni 2025 ikiwa ni sawa na ongezeko la asilimia 6...
Tetesi hizi zilikuwepo toka kipindi cha nyuma, Sasa ni dhahiri Freeman Mbowe atahamia CHAUMMA mwezi August.
CCM walikuwa wanaumiza sana kichwa kumpata mgombea mwenye ushawishi atakaegombea na Samia, Ili kuizuga jamii ya kimataifa kuwa Kuna uchaguzi wa ushindani mwaka huu.
Mbowe amefikia...
Wakuu , ukimtoa super black pia hata yule jamaa katibu Mkuu kiongozi aliyekula mshahara wa mwezi mmoja . hakupewa fomu pale Bukoba.
Yote haya mtayapata kesho
Naanza kuwa na hofu na tabiri za Mchungaji au Nabii yule wa Arusha ambaye miezi michache iliyopita alitekwa na watu wasiojulikana kabla ya kukutwa porini akiwa ametendewa vibaya hadi makalio yalikuwa yanavuja damu.
Mchungaji huyo baada ya Waziri Mkuu kuahidi bungeni kuwa atagombea ubunge na...
Waliotaka kususa wanatafuta huruma ya kurejea.
Kamwe huruma hii isitolewe na kwa nguvu za Mwenyezi maanani uchaguzi utafanikiwa kwa amani na kazi itaendelea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.