mwanaume

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. seedfarm

    Mbunge Masaburi: Kuna wabunge na viongozi mashoga

    Mbunge Mama Masubiri akichangia hoja bungeni amesema kuna viongozi wanawafahamu ni mashoga ndio maana kuna ukakasi kwenye kukemea jambo hilo Mbunge Mama Masaburi amesema zamani wao ukizaa mtoto wa kiume unasema nimezaa mjeshi lakini siku hizi watoto wa kiume ni nyoronyoro sana Mbunge Mama...
  2. Pdidy

    HAKI ZA MWANAUME KTK NDOA N ZIPI??

    ZItafuteee mapema Usipozijuaa wenzioo watakusaidiaaaa nduguuu Zitafutee uzifanyie KAZI Na nyie wanawake tafuteni kujua haki zenu ktk ndoaaa
  3. Mr Why

    Hela ya Mwanaume ni ngumu, usiwe na mazoea ya kuomba msaada kutoka kwa Wanaume wenzio, wengine watarudisha kupitia mke wako

    Hela ya Mwanaume ni ngumu, usiwe na mazoea ya kuomba msaada kutoka kwa Wanaume wenzio, wengine watarudisha kupitia mke wako Binadamu wanatofautiana sana, wema ni wachache, jinsia yetu ya kiume inatofautiana sana kifikra, wapo baadhi ya wenzetu fikra zao zimejikita sana kwenye ngono kwa maana...
  4. Mstahiki Mea

    Mwanaume kukosa mtoto ni huzuni zaidi kuliko mwanamke akikosa

    Kutokana na msukumo wa jamii na hali ilivyo mwanaume kukosa mtoto ni huzuni zaidi kuliko ilivyo kwa mwanamke. Karibu kwenye mjadala
  5. S

    Ujue umeme uliopo katika sehemu za siri za mwanamke na kazi zake

    Habari ndugu zangu wapendwa! Hii mada inaweza isieleweke kwa baadhi ya watu! Wengi wakisikia neno umeme wanawaza mitambo, nguzo, waya, transfoma n.k kwakweli vyote hivi hivi siyo Umeme! Ukweli ni kwamba Umeme ni nishati au nguvu inayosafiri. Swali? Binadamu anaweza kuwa na umeme? Ni kweli...
  6. N

    Hatimae nimekuwa mwanaume kamili nimeachana na ushoga

    Siamini ninachokiona wana JamiiForums, Mungu amenisaidia na hili tatizo sasa hivi najiona ni mwanaume kamili toka mbarikiwe wote mlionisaidia kwa mawazo yenu. Siri ya mafanikio ni sala pamoja na mazoezi. Nilipata manzi mmoja hapa nilimshenyenta mpaka mm nikajishangaa. Kwa ambao wanapitia...
  7. Braza Kede

    Iwekwe sheria umri wa Mwanaume kuoa uanzie miaka 30

    Ndio, umri wa mwanaume kuoa uanzie miaka 30. Ndoa sio jambo dogo, ni uamuzi mkubwa sana. Ndoa ni mkataba ule. Iwekwe kwenye sheria kabisa kama mwanaume hujafika 30 marufuku kuishi na mtoto wa mtu. Umri wa 30 walau mtu anajitambua anachofanya. Mwanaume ndo baba wa nyumba lazima ajitambue...
  8. Shaas

    Mwanaume kama huyu unaishije nae?

    Mfano mwanaume ni muongeaji sana pia mjuaji kila kitu ana kijua yeye… Pia hakutafuti mpaka akiwa na shida zake yaani ana tumia udhaifu wako nisaidieni kujua
  9. Zemanda

    Mwanamke kutaka mwanaume a'provide kwao ni lazima ila kumheshimu na kumtii mwanaume ni option

    Ukitazama kwenye mahusiano ya watu wengi utagundua kuwa wanawake hudhania kumtii mwanaume,kusikiliza maagizo yake na kuyafanyia utekelezaji bila kuhoji maswali yasiyo ya lazima,kuwa msikilizaji mzuri na sio mzinguaji au mpinzani, kuwa mshirika na sio hasimu, hivi vyote kwao hudhania ni option...
  10. Moto wa volcano

    Uzuri wa mwanamke / pesa za mwanaume sio kila kitu kwenye maisha ya ndoa

    Wanaume wengi wapo kwenye ndoa isiyo sahihi kwasababu ya uzuri wa mwanamke na wanawake wengi wapo kwenye ndoa isiyo sahihi kwasababu ya pesa za huyo mwanaume. Ndani ya ndoa mtu ndio anakuja kutambua kumbe kwenye ndoa kuna vitu muhimu zaidi ya uzuri wa mwanamke na mwanamke pia anatambua kumbe...
  11. D

    Dhana ya kwamba mwanamke anayekuvumilia wakati huna pesa ana mwanaume anayempa pesa

    Wajumbe mko pouwaaa?Nimeona tushare pamoja juu ya hii dhana,ambapo inasemekana kwamba mwanamke anayekuvumilia wakati huna pesa ana mwanaume anayempa pesa ndiyo maana anakuwa mtulivu na hana bugudha na wewe.Hivi watafiti mnasemaje Yana ukweli haya au kutiana presha tu
  12. Stability

    Sijawahi kuona mwanaume ameoa mwanamke mwenye makalio makubwa.

    Tipwa Tipwa wamebaki kwa ajili ya burudani tu za kutolea stress za mihangaiko. Wengine Unakutaga wanahagaika in their 20s, wanauza utu kwa ajili ya starehe na pesa za kuhongwa, wakishafikia 35 sasa ndio wanaanza kutafuta mabwana na kuja na nyuzi humu wakitafuta wazee wa miaka 50 maana wanajua...
  13. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Halafu mwanaume unawezaje kwenda photoShop kupiga picha za kupost siku ya Happybirthday yako?

    Ni kweli hainihusu kabisa lakini lazima uambiwe ukweli bana. Mwanaume unatakiwa uwe tofauti na jinsia ya kike bana. Mods ni Vyema na haki sasa mkawaorodhesha watu wenye I'd zaidi ya moja maana tunapata upinzani mkali sana kumbe unashindana na jamaa yuleyule mwenye ID 3 😁 Mkiwaorodhesha...
  14. DeepPond

    Johari: Nipate mume yeyote, kigezo ni awe anapumua

    "Mwanamke yeyote ndoto yake kubwa kuwa na Mume, katika maombi yangu yote hilo naliomba sana lakini siwezi kumpangia Mungu atayajibu lini". "Mkisikia natangaza harusi mjue maombi yamejibu, nipate mwanaume yeyote ili mradi TU awe anapumua" - Muigizaji Johari Chanzo: EATV
  15. R

    Mwanamke mrembo kuzaa na mwanaume masikini ni mapenzi ya kweli, bahati, hajui kukataa, ushirikina au ni kitu gani ?

    Mabinti warembo / Visu / Pisi Kali huwa wana demand kubwa, atafatwa na wanaume wa aina nyingi, yeye ni kuchagua tu Inapotokea mwanamke mrembo kampenda hadi kumzalia mwanaume masikini huwa ni kipi . Mapenzi ya kweli Ni cha wote Ushirikina / Ndumba Bahati ama kuna cha ziada
  16. drakeman

    Mimi ni mwanaume nahitaji mwanamke matured

    Hello, How are you guys, kama kichwa cha habari kilivyo jieleza, mimi ni mwanaume mwenye sifa zifuatazo 1. Mrefu mweusi 2. Umri wangu 30 3. Graduate, Christian 4. Muajiliwa/ nimejiajiri pia ,wala sivuti sigara, wala siendi club 5. Ninaishi Dar es salaam Sifa za mwanamke nimtakaye 1. Uwe...
  17. fact only

    Bahati ya mwaka, nyumba inauzwa

    Habari wana JF. Milioni 18 tu unapata nyumba ya vyumba 3 na sebure maji yapo umeme ni kuvuta tu . Location ni Saku mwisho karibu na mwanagati Dar es salaam HAKUNA UDALALI. Hivyo basi. ∆ Kama ukipangisha ✓ ∆ Kama utageuza kuwa sehemu ya ufugaji ✓. ∆ Kama utahitaji kuishi ✓...
  18. haszu

    Inakuwaje mdada pisi kali, anatembea na mwanaume mwenye muonekano wa kienyeji?

    Unakuta jamaa hata perfume haijui, umbo na sura havieleweki ila ndo yuko na pisi moja imenyooka, how? Mtoto wa kike mzuri shart atoke na kijana handsome, mwenye muonekano. Hata wakipata watoto wanakua wanapendeza, huku kuchanganya madawa kuna haribu mbegu. Money is not everything. Think about...
  19. appoh

    Tafadhali mwanaume usifanye tendo nyumba ya maumbile utakua mgumba soma hapa

    Usile tigo ni hatar sanaaa kwako kwa sababu katika uume wako kuna mirija miwili mrija wa mbegu za kiume na mrija wa maaji maji ya kubeba shahawa . Maji maji ni mengi sanaa shahawa no chache hata huwez kuziona ila majimaji unayaona. Kinyesi kikiingia kwenye mrija wa majimaji ya shahawa...
  20. Mtunza siri zako

    Kitu gani ulikiona kwa mwanaume au mwanamke ukajua huyu siyo wako wa maisha (sio future mume / mke)

    Niliona uchafu wa haja kubwa kwenye nguo yake ya ndani, nikajua kama mwanaume hawezi kutawaza vizuri basi pia hawezi kuja kua kichwa cha familia yangu. Niliona anavyoongea kwa dharau na mzazi yake nikajua huyu hana heshima kuanzia nyumbani kwao, hanifai. Alinipigha alivyotoka mpirani amelewa...
Back
Top Bottom