Binafsi mm imewahi nitokea kama mara 3 hivi.
1. Mara ya kwanza ni kipindi niko chuo, nimeweka apointment na manzi ameniambia anakuja sa 12, hivyo nichukue chumba, nikaenda lodge fulani hivi classic nikalipa 25, nikarudi hostel nikawa na msubiria, sa 12 imefika hajafika bado but anasema nakuja...
Habarini wana JamiiForums, hope wote mpo home mnaenjoy weekend.
Sasa basi, ebu ngoja tuingie kwenye mada nimekutana na uzi huko watu wanalalamika eti mwanamke anadhalauriwa sana, sasa nataka niwape siri ambayo wengi hamjui. Mwanamke ukimpa madaraka lazima akutawale; utashikwa masikio utafinywa...
Kibaiolojia, mwanamke anazeeka haraka sana kuliko mwanaume. Je, mwanaume kuoa mwanamke anayemzidi umri? Mfano kwa miaka 5 na kuendelea, huwa wanalenga starehe za muda mfupi au huwa na malengo ya kudumu katika maisha yao?
Wajuzi wa mambo karibuni kwa mjadala
Joyce Wairimu Kariuki (62) amhukumiwa kwenda jela miaka 35 baada ya kukuta na hatia ya ujambazi. Amekutwa na hatia ya kuhusika kupora vyombo vya moto kwa mwaka 2018 na 2019
Rekodi za Upelelezi wa Makosa ya jinai zinamtambua mama huyo kuwa ni mwanamke aliyewahi kutumikia kifungo cha miaka 15...
Oyaaa wanawake wenzangu, maandiko yanasema kabisa mwanaume utakula kwa Jasho na wewe mwanamke utazaa kwa uchungu. Halafu home una kisiki cha mpingo kimekaa home kimitego kinasuburi ulete nyama na ndizi au mchele, Thubutuuuuu mxiuuuuu ya shangazi yake. Utakuwa umelogwa wewe.
Piga mateke ngumi...
NGUVU YA MWANAMKE
Siandiki ili kuwasifia Wanawake au kwa maslahi mengine yoyote yale isipokuwa kujifunza. Natamani kueleweka wazi kuwa maandiko yangu yote likiwemo hili ni kwa ajili ya kujifunza tu na siyo nje ya hapo.Siandiki ili kuifanya jinsia yoyote ile kujiona bora yenye thamani kuliko...
NGUVU YA MWANAMKE
Siandiki ili kuwasifia Wanawake au kwa maslahi mengine yoyote yale isipokuwa kujifunza. Natamani kueleweka wazi kuwa maandiko yangu yote likiwemo hili ni kwa ajili ya kujifunza tu na siyo nje ya hapo.Siandiki ili kuifanya jinsia yoyote ile kujiona bora yenye thamani kuliko...
DOKEZO:
Leo nimeamua kushusha uzi huu kutokana na video iliyovuma sana mitandaoni hasa twitter ndani ya siku tatu zilizopita. Video ilikuwa ikionyesha Jamaa akimletea zawadi ya Happybirthday mpenzi wake, ikiwa imefungwa kwenye mfuko mkubwa tu kana kwamba ni zawadi yenye ukubwa wake. Mwanamke...
Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Irene James mwenye miaka 36 amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi Tabora kwa tuhuma za kuwafanyia unyanyasaji wa kingono watoto saba (7) wa kike wenye umri kati ya miaka Minne (4) hadi Saba (7) ambao ni watoto wa majirani zake.
Akisoma maelezo ya...
Usioe ama. Kuolewa. kukamilisha IBADA ya ndoa
Italia
WHY IT IS IMPORTANT TO MARRY A PRAYERFUL SPOUSE
1. God will teach him/her how to love you through prayer
2. God will reveal things concerning you to him/her for your welfare
3. She/he will nourish your prayer life
4. She/he will protect...
Nachukia mwanamke wa kupendea mtu kisa ana pesa nachukia sana tena sana. yaani unapendwa sababu una hali bora,
Mwanamke wa hivi nawashauri wanaume muwe naye makini mimi binafsi inanitokea sana yaani kama nalala na bundi aiseee wanawake wote amna hata mmoja ambaye hajawahi kuniomba pesa at first...
Siku moja wikiendi nilitembelewa na rafiki yangu hapa mjini Mbeya akitokea wilaya ya Mwakyembe huko tukakubaliana tukutane Kiwanja kimoja hapa mjini kinaitwa Mwailubi.
Lakini huyu rafiki alikuja na rafiki pia, tukakaa pale tukitupia moja baridi moja moto kifupi tulikuwa tunalipa kodi ya nchi...
MWANAMKE MWANAHARAKATI
Na, Robert Heriel
Siku hizi dunia imebadilika na kuchukua sura ya kisogo. Kumeibuka makundi ya watu wajiitao wanaharakati katika mambo mbalimbali katika jamii. Wanaharakati walikuwepo tangu kale, zamani za mababu na enzi ya enzi. Zamani wanaharakati walijipambanua kama...
Baadhi ya wanaume hasa vijana wanapovunja mahusiano na wasichana/wapenzi wao huanza kuwatolea siri za ndani hasa maungoni na kuzitangaza hazarani kwa kudhani kuwa wakifanya hivyo watakuwa wanawakomoa na wanawake/wasichana hao hawatapata wapenzi wengine.
Mfano waweza kukuta kijana wa kiume...
Every thing in the physical realm represents something in the realm of the spirit
And every thing in the physical realm is connected band attached to something in the realm of the supernatural
Na kila kitu katika ulimwengu wa damu ,macho na nyama kinawakilisha kitu Fulani katika ulimwengu wa...
Nimemuonea huruma sana huyu jamaa alichofanywa na huyu mwanamke wake wa zamani. Maneno aliyoambiwa nadhani yameacha vidonda vikubwa na kama akipona basi, itakuwa ni baada ya muda mrefu sana. Vijana wangu, sampuli za namna hii siyo nzuri kwa afya yako, zikimbie kila zinapojaribu kukukaribia.
SITARAJII KUOA Mbunge Wala Waziri Wala Mkuu wa Wilaya au Mkoa Wala Katibu Tawala.Labda Kama kunizalia watoto au kunifariji kimahaba.
DON NALIMISON, nitaoa Msanii mwenzangu ama Mwanamziki au Mwanamitindo kutoka Nchini Marekani au Uingereza au Miss kutoka Miss World. G9ty. JIPANGENI UPYA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.